uchawa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania kuna kundi lingine linaloonekana kupuuzwa kwa uchawa, "MACHIFU"

    Katika nafasi ya uchawa hili kundi haliwezi kukosa top 3 Nyerere pamoja na madhaofu yake alilitendea haki taifa kwa kuwavua mamlaka hili kundi.
  2. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wananchi: Wabunge waache "uchawa" wafanyekazi ya kuwatumikia watanzania

    Kufuatia kuanza rasmi kwa shughuli za Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wananchi jijini Dodoma wametoa wito kwa Wabunge kuachana na tabia ya ushabiki na kusifia kila jambo linalowasilishwa Bungeni, ambapo wameeleza kuwa ni muhimu kwa Wabunge kusimamia haki, misingi ya Katiba na...
  3. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Falsafa ya Samuya ya uchawa naomba aifahamuye anielimishe hapa tafadhali

    Marehemu John Magufuli alikuja na falsa ya hapa kazi na wanyonge. Samuya alikuja na uchawa na kazi iendelee. Je, hii falsafa inamaanisha nini kwako binafsi kama mdau katika taifa lake?
  4. D

    JamiiForums Tanzania Ufisadi wa kidola, kukosa kuwajibishana na Uchawa kumeua Mwendokasi na leo vimeangusha Treni; Mungu aepushe visije vikaangusha serikali

    Kingekuwa ni kitu kizuri leo kutwa yote wangeimba “AJALI YA MAMA” na tusioimba tungebezwa, tungeitwa KENGE, SISIMIZI, NYWINYWI, NYWINYWINYWI. Lakini Mungu huyu ni fundi sana, kapiga kwenye mshono na hadi tarehe 29 atapiga pigo jengine palepale kwenye mshono kama si kusugulia chumvi. Uchafu...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya Kanisa dhidi ya haki, Bakwata na uchawa wa je unasimama na nani?

    Huu ndiyo ukweli wenyewe Kanisa limeamuwa kusimama na haki dhidi ya watawala huku Bakwata na baadhi ya Waisilamu wameamua kugeuka chawa kwa kweli Taifa linaenda kuwaka moto
  6. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Uchawa umekulipa nini? Na utaenda kuishi vipi bila uchawa? Au uliishia kupiga picha na viongozi na kualikwa bungeni

    Najua ni moja kati ya maswali ambayo yanawasumbua baadhi ya vijana wakiwaza wanaenda kuishi vipi baada ya anguko la serikali ya kikoloni. Watakula nini? watalipa vipi kodi? na je ni muda wa kuanza kutumia akili zao? Nitaandika uzi kuhusu ajira kadhaa za muda ambazo machawa wanaweza kuanza...
  7. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Unataka kujenga nchi 2020s na unawekeza zaidi kwenye UCHAWA uko sawa?

    Mambo lazima yagome, huwezi kufanya huu ujinga na tukaulelea hakuna hiyo namna. Sasa hivi wananchi wa Tanzania wamekosa wawikilishi kabisa kwasababu raisi achallengiwi wenye chochote kila Waziri ni Chawa wake, Kila Naibu waziri ni chawa wake, kila mbunge ni chawa wake, kila diwani ni chawa...
  8. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Tusiilaumu Akili Mnemba (AI) kwa Kifo cha kazi ya UCHAWA. Tufurahi kuwa tunaenda kushuhudia hiki kifo, Tunaenda kuponya kizazi chetu na kinachofuata

    Ieleweke kifo cha UCHAWA kinaelekea kutokea sio kwasababu ya maendeleo ya kiteknolojia na matumizi makubwa ya AI (Akili Mnemba). Kifo cha uchawa kinatokea kwasababu ya misingi ya uanzishaji wa hii ajira kabisa, tokea mwanzo ilitolewa kwa watu ambao: Wako tayari kuwazunguka waTanzania wenzao...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baraza la Wazee Namtumbo: Samia amekuwa kielelezo cha uongozi wenye dira, huruma na usikivu

    Wazee wangu nawaona huruma hivi. Pesheni vipi? au ndio mmeshalambisha asali ================ Baraza la Wazee wa Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, limetoa tamko rasmi likionesha uungwaji mkono wao kwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao...
  10. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Poleni na Kifo cha CCM, ila mimi sijalia

    Poleni na kifo ila mimi sijalia. Nalia na ndugu wa Ali kibao, nalia na ndugu wa Mdude, nalia na wamama hospitali wanapambania afya zao na za watoto wao, nalia na watanzania wanapambana usiku na mchana ila wanakutana na kodi za ajabu kwenye kila kitu. Nalia na waTanzania walio na wanaouawa...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Dini zote kufanya matembezi ya Amani sio Uchawa

    Viongozi Wa Dini Wanavyofanya Matembezi Ya Amani Sio Kufanya Uchawa Bali Ni Kuliombea Taifa Amani Tulionayo Izidi Kudumu Kwenye Taifa Hili” Sheikh Walid Ameyasema Hayo Wakati Wa Matembezi Ya Amani Amani Yaliyofanyika Leo Septemba 20
  12. PROFOUND NOTION

    JamiiForums Tanzania Kaka na Dada zangu acheni uchawi, hakuna mahala utawafikisha

    UCHAWI UPO; Asili yake ni kukufumbaza ili uone kama unakufanikisha ila kaisili unakula Aura, Nafsi na kizazi chako. Asili ya uchawi ni maangamizi, utakupa vipesa vya kwenye bishara yako lakini utalipa kwa damu yako au wanaonganika na wewe. Asili ya uchawi ni uharibifu utakuponesha ugonjwa...
  13. OLS

    JamiiForums Tanzania BoT kushinda award ya Global inclusion ni sahihi au ni uchawa wa kimataifa?

    Benki Kuu ya Tanzania imeshinda Global Award of Financial Inclusion. Ikumbukwe Tanzania sio nchi inayoongoza kwa unafuu wa Financial Inclusion tozo nyingi, na namna ambazo zinazidi kufanya watu wasipende kutumia namna za kidigitali za kutuma fedha. Haya mambo haya yananistaajabishaga sana basi...
  14. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Video: Wanasimba wakataa uchawa wa kisiasa

    Mimi shabaki lialia wa Yanga sc ,nimefurahishwa sana na kitendo cha mashabiki wa makolo kukataa ukisabengo wa kisiasa katika mambo ya timu yao.. Mashabiki wa Simba sc hakika mtakumbukwa kwa msimamo wenu thabiti wa kukataa kutumika kama daraja la watawala kujipatia umaarufu kunuka kupitia...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Uchawa na kubebana chanzo cha kufanya vibaya Taifa Star CHAN-2025

    wakuuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza...tusitafute mchawi wa kwanini tunashindwa na timu kama Madagscar au Sudan nchi ambazo hazipo kwenye top 20 ya ligi bora za Africa kwa wachezaji wa nyumbani.. kilichotugharimu 1. Benchi la ufundi buree hamna kitu pale...watu wamewekwa pale kisiasa ...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Watu weusi uchawa ulianza kipindi cha Obama kuwa Rais kama mtakuwa na kumbukumbu

    Mtu mweusi aliposhika madaraka marekani kulikuwa na kiwango cha uchawa kila kona kwa watu weusi mpaka kwao. Nakumbuka ilifikia kule marekani uchawa ulifikia mpaka kwa wasanii kuanza kumuimba na wakina lucas mwashamba wa kipindi kile yani walikuwa wengi kila kona obama kama huku na kila jambo ni...
  17. maiko sultan

    JamiiForums Tanzania Kipindi ambacho hakukuwa na uchawa wala utekaji watu walikuwa wakiburudika na nyimbo za kuponda CCM

  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk...
  19. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Bashe: Nchi Hii Umezuka Mtindo wa Mtu Anaesema Ukweli wa Kilichofanywa na Serikali/Rais Kuitwa Chawa

    Nakubaliana kabisa na Waziri Bashe. Kuna makenge ambayo yamekuja na msemo kwamba ukielezea mambo Mazuri ambayo wao (makenge) hawapendi kusikia na in most cases ni mafanikia ya Serikali ya Rais Samia unaitwa Chawa. https://youtu.be/B26JzIGiuQ8?feature=shared My Take Ni Bora Kuitwa Chawa kuliko...
  20. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Ukiondoa uchawa na kumaliza miradi ya Jiwe, rais Samia amefanikisha nini?

    Twaelekea kwenye uchaguzi. Tumtathmini rais Samia Suluhu Hassan. Nionanvyo mimi, amfanikisha yafuatayo: Mosi, kuwakamata wapinzani na kuwafungulia kesi za kubambikiwa, Pili, ameweza kuwa daktari kwa muda mfupi tena bila kupoteza muda darasani, Tatu, amejitahidi kukaa kimya na kusema sana kiasi...
Back
Top Bottom