uchawa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mashamba Makubwa Nalima

    Uchawa umekulipa nini? Na utaenda kuishi vipi bila uchawa? Au uliishia kupiga picha na viongozi na kualikwa bungeni

    Najua ni moja kati ya maswali ambayo yanawasumbua baadhi ya vijana wakiwaza wanaenda kuishi vipi baada ya anguko la serikali ya kikoloni. Watakula nini? watalipa vipi kodi? na je ni muda wa kuanza kutumia akili zao? Nitaandika uzi kuhusu ajira kadhaa za muda ambazo machawa wanaweza kuanza...
  2. Mashamba Makubwa Nalima

    Unataka kujenga nchi 2020s na unawekeza zaidi kwenye UCHAWA uko sawa?

    Mambo lazima yagome, huwezi kufanya huu ujinga na tukaulelea hakuna hiyo namna. Sasa hivi wananchi wa Tanzania wamekosa wawikilishi kabisa kwasababu raisi achallengiwi wenye chochote kila Waziri ni Chawa wake, Kila Naibu waziri ni chawa wake, kila mbunge ni chawa wake, kila diwani ni chawa...
  3. Mashamba Makubwa Nalima

    Tusiilaumu Akili Mnemba (AI) kwa Kifo cha kazi ya UCHAWA. Tufurahi kuwa tunaenda kushuhudia hiki kifo, Tunaenda kuponya kizazi chetu na kinachofuata

    Ieleweke kifo cha UCHAWA kinaelekea kutokea sio kwasababu ya maendeleo ya kiteknolojia na matumizi makubwa ya AI (Akili Mnemba). Kifo cha uchawa kinatokea kwasababu ya misingi ya uanzishaji wa hii ajira kabisa, tokea mwanzo ilitolewa kwa watu ambao: Wako tayari kuwazunguka waTanzania wenzao...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Baraza la Wazee Namtumbo: Samia amekuwa kielelezo cha uongozi wenye dira, huruma na usikivu

    Wazee wangu nawaona huruma hivi. Pesheni vipi? au ndio mmeshalambisha asali ================ Baraza la Wazee wa Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, limetoa tamko rasmi likionesha uungwaji mkono wao kwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao...
  5. Mashamba Makubwa Nalima

    Poleni na Kifo cha CCM, ila mimi sijalia

    Poleni na kifo ila mimi sijalia. Nalia na ndugu wa Ali kibao, nalia na ndugu wa Mdude, nalia na wamama hospitali wanapambania afya zao na za watoto wao, nalia na watanzania wanapambana usiku na mchana ila wanakutana na kodi za ajabu kwenye kila kitu. Nalia na waTanzania walio na wanaouawa...
  6. W

    Viongozi wa Dini zote kufanya matembezi ya Amani sio Uchawa

    Viongozi Wa Dini Wanavyofanya Matembezi Ya Amani Sio Kufanya Uchawa Bali Ni Kuliombea Taifa Amani Tulionayo Izidi Kudumu Kwenye Taifa Hili” Sheikh Walid Ameyasema Hayo Wakati Wa Matembezi Ya Amani Amani Yaliyofanyika Leo Septemba 20
  7. PROFOUND NOTION

    Kaka na Dada zangu acheni uchawi, hakuna mahala utawafikisha

    UCHAWI UPO; Asili yake ni kukufumbaza ili uone kama unakufanikisha ila kaisili unakula Aura, Nafsi na kizazi chako. Asili ya uchawi ni maangamizi, utakupa vipesa vya kwenye bishara yako lakini utalipa kwa damu yako au wanaonganika na wewe. Asili ya uchawi ni uharibifu utakuponesha ugonjwa...
  8. OLS

    BoT kushinda award ya Global inclusion ni sahihi au ni uchawa wa kimataifa?

    Benki Kuu ya Tanzania imeshinda Global Award of Financial Inclusion. Ikumbukwe Tanzania sio nchi inayoongoza kwa unafuu wa Financial Inclusion tozo nyingi, na namna ambazo zinazidi kufanya watu wasipende kutumia namna za kidigitali za kutuma fedha. Haya mambo haya yananistaajabishaga sana basi...
  9. mwehu ndama

    Video: Wanasimba wakataa uchawa wa kisiasa

    Mimi shabaki lialia wa Yanga sc ,nimefurahishwa sana na kitendo cha mashabiki wa makolo kukataa ukisabengo wa kisiasa katika mambo ya timu yao.. Mashabiki wa Simba sc hakika mtakumbukwa kwa msimamo wenu thabiti wa kukataa kutumika kama daraja la watawala kujipatia umaarufu kunuka kupitia...
  10. E

    Uchawa na kubebana chanzo cha kufanya vibaya Taifa Star CHAN-2025

    wakuuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza...tusitafute mchawi wa kwanini tunashindwa na timu kama Madagscar au Sudan nchi ambazo hazipo kwenye top 20 ya ligi bora za Africa kwa wachezaji wa nyumbani.. kilichotugharimu 1. Benchi la ufundi buree hamna kitu pale...watu wamewekwa pale kisiasa ...
  11. Fbn

    Watu weusi uchawa ulianza kipindi cha Obama kuwa Rais kama mtakuwa na kumbukumbu

    Mtu mweusi aliposhika madaraka marekani kulikuwa na kiwango cha uchawa kila kona kwa watu weusi mpaka kwao. Nakumbuka ilifikia kule marekani uchawa ulifikia mpaka kwa wasanii kuanza kumuimba na wakina lucas mwashamba wa kipindi kile yani walikuwa wengi kila kona obama kama huku na kila jambo ni...
  12. Waufukweni

    PreGE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk...
  13. ChoiceVariable

    Bashe: Nchi Hii Umezuka Mtindo wa Mtu Anaesema Ukweli wa Kilichofanywa na Serikali/Rais Kuitwa Chawa

    Nakubaliana kabisa na Waziri Bashe. Kuna makenge ambayo yamekuja na msemo kwamba ukielezea mambo Mazuri ambayo wao (makenge) hawapendi kusikia na in most cases ni mafanikia ya Serikali ya Rais Samia unaitwa Chawa. https://youtu.be/B26JzIGiuQ8?feature=shared My Take Ni Bora Kuitwa Chawa kuliko...
  14. The Father of All

    Ukiondoa uchawa na kumaliza miradi ya Jiwe, rais Samia amefanikisha nini?

    Twaelekea kwenye uchaguzi. Tumtathmini rais Samia Suluhu Hassan. Nionanvyo mimi, amfanikisha yafuatayo: Mosi, kuwakamata wapinzani na kuwafungulia kesi za kubambikiwa, Pili, ameweza kuwa daktari kwa muda mfupi tena bila kupoteza muda darasani, Tatu, amejitahidi kukaa kimya na kusema sana kiasi...
  15. Ponjoro wa Kinondoni

    Dini ya Allah inaruhusu uchawa?

    Mwijaku ni moja kati ya wafia dini ya Allah na anadai kuwa hata mtume alikuwa na chawa walioitwa Maswahaba na anadai hao jamaa walikuwa na makhaba na mtume hivyo si vibaya mtu kuwa chawa. Kumbe Allah anaruhusu haya mambo au Mwijaku anatudanganya?
  16. Magufuli 05

    Acha uchawa. Pambania maisha Yako. Pambania Tanzania

    Huwa nasikitika sana tu yuvisisiemu namna tunatumika masikini na wanasiasa. Hawa wanasiasa wanawatumia tu ili wao wafanikishe mambo yao. Mwisho wa siku nyie mnabaki masikini wa kutupwa. Enyi vijana. Acheni uchawa. Pambania maisha Yako,pambania Tanzania. Nawaambieni nchi yetu inaongozwa na...
  17. S

    Mtazamo: Mpina alikuwa anajaribu kujenga hoja kuwa wanaosema hawamdai Mama wanapotosha, na Mama ajue nchi hii kila mahali bado changamoto ni nyingi

    Ukitafakari kwa makini, utagundua huu ndio ujumbe ambao Mpina alikuwa anajaribu kuifikisha kwa Mama Samia. Mpina alilenga kuwakosoa wanaosema hawamdai Mama wakati hii nchi na watu wake ni masikini na majlmbo kuna changamoto nyingi sana na huo ndio ukweli na huu ndio ulikuwa ujumbe wa Mpina kwa...
  18. Nehemia Kilave

    Adui wa Tanzania ni Mtanzania na maadui wa Mtanzania ni umaskini na Uafrika . Uchawa unaliangamiza Taifa , tuukatae kwa nguvu zote

    Uchawa unaliangamiza Taifa hakuna kusema ukweli , hakuna Uzalendo tena . Umaskini,Tamaa ,Uvivu na kupenda madaraka umefanya kuisahau Tanzania , palipo na pesa hakuna haki , hakuna kukemea ubaya na kuimba mapambio ya aliyeshika rupia . Ni lini tutaupinga kwa nguvu Uchawa na machawa wakalijua...
  19. Marco Seth

    Uchawa umezidi . Unaonaje huko mbeleni nchi inapoeleke?

    Uchawa unazidi kwenye nchi Hii Unaonaje huko mbeleni na hii hali?
Back
Top Bottom