uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    GE2025 Mwalunenge achukua fomu kugombea ubunge Mbeya Mjini

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi Patrick Mwalunenge Amechukua rasmi fomu ya Kuomba kuteuliwa na tume huru ya Taifa Ya uchaguzi kugombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Kupitia Chama Cha Mapinduzi Ccm Mwalunenge Amechukua fomu hiyo siku chache baada ya kuteuliwa na Chama chake kukiwakilisha katika...
  2. tonicimmobility

    GE2025 Arusha na heshima yao yote wananunuliwa kwa nyama na baada ya kula hawana chao tena

    Siasa za Tanzania zimeharibika sana, Jamaa mmoja kutoka Burkinafaso jina lake Captain Thomas Sankara mwaka 1979 aliwahi kusema ''who feeds you controls you'' sasa leo naanza kuelewa alikuwa anamaanisha nini. Ona wanaojiita wadudu wa Arusha, wanaojiona ndio wajanja wenye akili timamu...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Watu wa Arusha: Samia usichanganye siasa na mila hatutaki mazoea na wewe

    Wazee wa Arusha kabla hawajapitishiwa bahasha walikuwa siliasi kuikataa CCM na uongozi wa Samia lakini sasa hivi sijui nini kimewapata, ule ujanja akilini hawana tena. Wananchi wa kitanzania siku wakija kuacha kushibishwa kwa siku moja ili wauzwe maisha yao na vizazi vyao ndipo wataanza kuwa na...
  4. Waufukweni

    GE2025 Mwabukusi: Mabadiliko yamefanyika kwenye Sheria za Uchaguzi, unapobadilisha sheria, tujiulize unataka kutibu nini?

    Rais wa TLS Boniface Mwabukusi amesema, "Hatukatai kwamba kulikuwa na mabadiliko, mabadiliko yamefanyika ya Kisheria kwenye Sheria za uchaguzi, lakini tuwe wa kweli unapobadilisha unataka kutibu nini? Hiyo ndiyo hoja siyo mabadiliko tu"
  5. Waufukweni

    GE2025 TLS yaomba kukutana na Rais Samia

    Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS kimeomba kikutana na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa dharura ili kuweza kuwasilisha kwake naoni ya wadau mbalimbali juu ya changamoto ambazo zinapaswa kutatuliwa kabla ya uchaguzi ili kuliwezesha taifa kuingia kwenye uchaguzi likiwa na amani na haki iweze...
  6. Waufukweni

    GE2025 Rais wa TLS, Mwabukusi: Uchaguzi wa mwaka 2025 umeleta mgawanyiko wa Kisiasa, Kidini na Kikabila

    Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi aemesema Uchaguzi wa Mwaka huu umekuwa na changamoto na hii inatokana na yaliyojiri wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2018 ambapo iliuwa trend ya ukuaji wa demokrasia ya Vyma vingi katika taifa letu. "Uchaguzi...
  7. tonicimmobility

    Ngoja tuunde chama cha waliokatwa - CCW

    Masoud Kipanya anasema ''ngoja tuunde chama cha waliokatwa - CCW'' Soma pia: Ni vigumu watu wote 27 waliokatwa kutulia na kukubali matokeo
  8. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Jambo TV wamechapisha taarifa kuwa John Heche amesema Gwajima Lengo lake ni urais kupitia CHADEMA

  9. Waufukweni

    GE2025 Ng’ombe 200 wachinjwa kwa ajili ya wananchi wa Arusha kumsindikiza Makonda kuchukua fomu

    Wananchi mbalimbali na wanachama wa chama cha mapinduzi wamejitokeza kwa ajili ya kumsindikiza mgombea ubunge kupitia chama hicho kwa ajili ya kwenda kuchukua fomu kwa ajili ya Ubunge. Hata hivyo sherehe hizo zimepambwa na vyakula ikiwemo nyama na ng'ombe 200 wamechinjwa kwa ajili ya kusherekea.
  10. R

    GE2025 Wachimbaji madini: Anayechukia Rais Samia kusifiwa ajinyonge

    Wakuu, Haya sasa waliochangia kampeni wameanza kufoka huku, ila tunajua hii ni njaa tu baadae waweze kujitwalia fedha bila tozo ----------------------------- Wachimbaji wa Wadogo wa Madini Mkoa wa Singida wamesema Wataendelea Kumpongeza na Kumsifu Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa...
  11. R

    GE2025 Ukweli ni kwamba Oktoba 29, 2025 Chawa Baba Levo anashinda Ubunge Kigoma Mjini

    Wakuu habari, Nimegundua tu CCM wana akili sana na wanawaza kimkakati zaidi Tunaweza kuona chawa hafai kuwa kiongozi, lakini wao wametumia ushawishi wa uchawa katika siasa na kuangalia wingi wa wafuasi, japo wajumbe huwa hawasomeki moja kwa moja. Kwa hili nyomi naona kabisa Baba Levo anachukua...
  12. Waufukweni

    GE2025 CCM Arusha kuchinja ng'ombe zaidi ya 100

    Zoezi la uchukuaji wa Fomu wa nafasi ya Ubunge jimbo la Arusha Mjini kwa Mgombea wa Nafasi hiyo Mhe. Paul Makonda litaambatana na burudani kutoka katika vikundi mbali mbali vya Muziki lakini pia Ng'ombe zaidi ya 100 kwa ajili ya nyama choma kama anavyobainisha Katibu Mwenezi wa CCm Wilaya ya...
  13. Waufukweni

    GE2025 Nasra Ramadhan: Ilani ya CCM 2025/30 itaipeleka Dar kuwa kama New York, vijana wamechagua 'Future bila Stress'

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Nasra Mohamed Ramadhan, amesema Ilani ya CCM ya mwaka 2025/30 itaipeleka Dar kuwa kama New York, akisisitiza Vijana wamechagua 'Future bila Stress' katika uzinduzi wa Kijani Chat Bot uliofanyika leo Agosti 25, 2025 jijini Dar es...
  14. PAYE

    GE2025 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya kugombea Jimbo jipya la Uyole

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackon, leo tarehe 25 Agosti 2025, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya wananchi wa jimbo jipya la Uyole katika Uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Dkt. Tulia amechukua fomu hiyo katika ofisi za tume huru ya Uchaguzi zilizopo katika...
  15. tonicimmobility

    GE2025 Kazi imeanza, mgombea awasili eneo la tukio bila mapokezi ya wananchi

    Kumeshaanza kuchangamka, mgombea kutoka CCM awasili eneo la tukio bila ya mapokezi kutoka kwa wananchi. Gari linapita barabarani na hakuna hata mmoja anaetoka nje kumpokea, watu wako bize na kazi zao kama hawamuoni anavyopita barabarani. Hii hali ikiendelea hivihivi tutaelewana tu...
  16. tonicimmobility

    Wakuu nawakumbusha tu kuwa leo ndio siku ya 10, usielewa usiulize

    Jamaa aliaga akisema msipofungua kanisa la ufufuo na uzima baada ya siku kumi nitarudi tena, sasa hivi nikirudi jambo nitakaloliongea litachafua hali ya hewa. Na mpaka sasa hivi hakuna tamko lolote kutoka kwa ofisi ya msajili wa taasisi za kidini, unavyowaza jamaa atakuja na comeback gani kama...
  17. Stephano Mgendanyi

    GE2025 Adv. Stephane Byabato ampigia chapuo wananchi Eng. Mutasingwa, Ubunge Bukoba Mjini

    ADV. STEPHEN BYABATO AMPIGIA CHAPUO KWA WANANCHI ENG. MUTASINGWA, UBUNGE BUKOBA MJINI Salaam sana ndugu zangu Naomba tusambaze ujumbe huu Leo jumatatu ni siku ya tatu tangu Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iteue wagombea Ubunge na Bukoba Mjini ikatuletea ndugu yetu Eng Johnston Johansen...
  18. DuaZaMama

    GE2025 Je, unapoenda kupiga kura, unazingatia mtu unayemjua binafsi au mgombea anayetoa sera bora?

    Wakuu! Tunapoelekea kwenye uchaguzi, kumekuwa na harakati nyingi za kisiasa ambapo wagombea wanachuana vikali. Mara nyingine wananchi wamekuwa wakiwapinga au kuwakataa baadhi ya wagombea walioteuliwa na vyama. Swali linalojitokeza ni: Je, wajibu wa mwananchi ni kumchagua mtu anayemjua binafsi...
  19. Just Pray

    GE2025 Rukwa: Deus Sangu achukua fomu jimbo la Kwela

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kwela, Mkoa wa Rukwa Deus Sangu siku ya leo amechukua fomu ya kugombea ubunge ikiwa ni utekelezaji wa kanuni za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa wagombea wote kuanzia nafasi ya Udiwani, Ubunge na Urais. Sangu ameongozana na wanachama wa CCM Jimbo la Kwela, na...
  20. Waufukweni

    GE2025 Ummy Mwalimu: Wajibu wetu ni kuheshimu taratibu za Chama, tumuunge mkono Kassim Amar Mbaraka na Rais Samia

    Baada ya Ummy Mwalimu baada ya Jina lake kukatwa kwe Ubunge Tanga Mjini, amesema ni wakati wa kumuunga Mkono Kassim Amar Mbaraka (Makubel) na kumpa kura za ndio Rais Samia
Back
Top Bottom