Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla, amepiga kura leo Oktoba 29, 2025, katika kituo cha AICC Hospital jijini Arusha na kupongeza maandalizi ya uchaguzi, akisema utaratibu ni mzuri na usalama umehakikishwa katika vituo vyote vya kupigia kura mkoani humo.
“Nimepiga kura. Nawaasa wananchi...
Mgombea Urais Ada Tadea, Georges Busungu amesema hali ni shwari hadi sasa utulivu upo na watu wamehamasika kujitoeza kupiga kura licha kulikuwa na kelele za maandamano hadi sasa.
Georges Busungu amepiga Kura yake Misungwi Mwanza. Aidha alitolea ufafanuzi kwanini jina lake hapo awali...
Utangulizi
Oktoba 29, 2025 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu katika mazingira yanayoelezwa kuwa yenye hali wasiwasi mkubwa na taharuki. Uchaguzi huu unakuja takriban mwaka mmoja baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, uliosababisha mijadala mikubwa kutokana na matukio ya...
Wakuu,
Yaani asubuhi asubuhi mshasema maandamano yamefeli? Ndio kwanza siku imeanza mbona mnatukatia tamaa mapema hivi? Hamuamini kuwa wanannchi tunaweza kuleta mabadiliko wenyewe?
VItuo si vinafunguliwa, tunaamka na kutoka na vitambulisho vyetu huko huko tunaungana barabarani, mlitaka watu...
Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara amepiga kura yake leo katika kituo cha Buyuni Jimbo la Ubungo.
Baada ya kupiga kura alizungumza na wanaHabari akisema hadi sasa vituo vya kupiga kura utaratbu upo sawa na wananchi wanaendelea kujitokeza lakini pia...
Mwanasiasa na mwanaharakati nchini Kenya, Martha Karua amezungumzia kuhusiana na sheria ya Tanzania kuweka uhalali wa Maandamanohivyo kwa wananchi wanaopanga kuandamana wana haki, pia amesisitiza Serikali isiingilie maamuzi ya wananchi
"sheria za tanzania zinawaruhu raia kufanya maandamano, na...
Tulia: Watu wengi wamenza kupiga kura na wengine wanaendelea kujitokeza na Jimbo la Uyole litaongoza idadi ya watu watakao piga kura
Tulia amepiga kura katika kituo cha Tamukereli ambacho kipo kata ya Itenzi baada ya kupiga kura Tulia Akson amefurahishwa kuona watu wengi wamejitokeza hadi muda...
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 ngazi ya Urais Zanzibar kama jinsi matukio yanavyotujia kutoka kwenu. Ukiwa na taarifa yoyote upande huu tafadhali usisite kuweka.
Wapiga kura walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura walikuwa 717,557, ambao ndio...
Wakuu,
Mpaka sasa motandao ya Youtube, TikTok na Signal imeliwa kichwa, haipatikani mpaka utumie VPN, yote hii ikiwa ni kuzuia wananchi kupata taarifa wakati muhimu kabisa wa uchaguzi ambao wananchi wana haki na wanastahili kupata taarifa kujua kinachoendelea katika siku muhimu inayoenda...
facebook
freedom of expression
instagram
kichwa
maandamano oktoba 2025
maandamano oktoba 29
mitandao
mtandao haupatikani
mtandao kuzimwa kwenye uchaguzi
mtandao kwenye uchaguzi
nayo
signal
telegram
tiktok
uchaguzi2025uchaguzimkuu2025
uhuru wa habari
uhuru wa maoni
whatsapp
youtube
Uzoefu wangu katika kupiga kura unaonesha siku ya uchaguzi mkuu ni siku muhimu inayotoa fursa ya majirani kufahamiana.Kupiga kura ni alama muhimu ya kuthibitisha utanzania wako na pia ukazi wako katika eneo husika.
Asubuhi na mapema nitaenda kuwatambua majirani zangu ambao hatujuani tunatoka...
Tunajua kupiga kura ni haki ya kila mtu lakini sio kwamba ni kulazimishana. Wahusika wa uchaguzi wanatakiwa kuwashawishi wananchi kwenda kupiga kura na sio kutumia nguvu. Nimepita maeneo ya mtongani nimekuta jamaa mmoja kapigwa watu wamemzingira.
Ikabidi niulize bodaboda walioko eneo hilo ndo...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuwa Mbunge katika jimbo hilo, Manispaa ya Kigoma itatoa nafasi kwa wanawake kujifungua bure.
Zitto ametoa kauli hiyo leo, Oktoba 28, wakati wa hafla ya kufunga kampeni...
"Si vyema kubaki na kulalamika Mitandaoni, wanaofanya maamuzi ya mwelekeo wa nchi yetu ni wale wanaopiga kura na sio wale wanaonung'unika. Lawama, kebehi na matusi havichagui wala kubadilisha Viongozi bali kura huchagua na kukataa Viongozi wazembe, twendeni kwa wingi wetu tukapige kura."...
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka Kusini Pemba, Zanzibar, Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kusini Pemba una jumla ya Majimbo ya uchaguzi (9) ambayo ni:
Chake Chake - Nassor Said...
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka Kaskazini Pemba, Zanzibar, Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kaskazini Pemba una jumla ya Majimbo ya uchaguzi (9) ambayo ni:
Gando - Salim Mussa Omar...
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka Kaskazini Unguja, Zanzibar, Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kaskazini Unguja una jumla ya Majimbo ya uchaguzi (8) ambayo ni:
1. Nungwi - Dkt...
Japo CCM na serikali na majeshi yake wanatangaza kuwa kesho ni siku ya uchaguzi, huu si uchaguzi bali uchafuzi.
Kula fedha za CCM ila kura usipige. Utapiga ya nini na kupoteza muda wakati wameishajishindisha? Wapo watakaoogopa kuandamana. Jamani, hata kuwanyima kura ili waaibike nako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.