uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwakilishi wa TEC kwenye UAPISHO wa Rais Samia akiwaombea waliofariki dunia katika maandamano

    Kanisa katoliki sio wanafiki wamenyooka hii ni leo kwenye UAPISHO wa mchongo Mwenyezi Mungu,"Tunawaombea wotewaliopoteza Maisha Yao Wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu Wa 2025 Uwapokee kwako Mbinguni. Pia wale wote Walioumia au Kupoteza Mali zao wapone Haraka, Tunaomba hayo kwa Njia ya kristo...
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia: Vijana walioandamana wametoka nje ya Tanzania

    "Tumesikitishwa na kuhuzunishwa na matukio ya uvunjifu wa amani, upotevu wa maisha na uharibifu wa mali za umma na mali za watu binafsi. Kilichotokea hakiendani na taswira na sifa za kitanzania na sio Utanzania. Haikutushangaza kuona kuwa baadhi ya vijana waliokamatwa kutokana na tabia hiyo...
  3. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tume imemtangaza Rais, Wabunge wamefikia wapi...!!?

    Kwanza napenda kusema kuwa nimeshangaa sana kwa uchaguzi wa Rais kuisha na kutangazwa wakati Wabunge na madiwani hawajajulikana. Zaidi ya Baba Revo kumbwaga Zitto sijasikia jina la Mbunge au Diwani yeyote aliyechaguliwa mpaka sasa zaidi ya wale wa Zanzibar. Tunaomba tujulishwe mgao wa CHAUMA...
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA: Matokeo yaliyotangazwa hayana uhalisia, hakukufanyika uchaguzi Tanzania

    TAARIFA YA AWALI YA CHAMA JUU YA KINACHOITWA MATOKEO YA UCHAGUZI TANZANIA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapinga vikali kinachoitwa matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi. Matokeo haya hayana uhalisia wowote kwani ukweli ni kwamba hakukufanyika uchaguzi Tanzania...
  5. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 INEC bado haijatoa majina ya washindi wa majimbo ya ubunge uchaguzi wa 29 Oktoba 2025

    KWIKWI YA KUTANGAZA MATOKEO YA WASHINDI WA MAJIMBO YA UBUNGE, TATIZO NI NINI ? Tugeukie ubunge matokeo ya ubunge , baraza la wawakilishi, madiwani. Ni takribani siku 4 zimepita bado matokeo ya ubunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano kutolewa. Uchaguzi wa majimbo ya ubunge Tanzania Bara na...
  6. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bunge la Ulaya laitaka Tanzania KUSITISHA matokeo ya Uchaguzi

    Bunge la Ulaya limeitaka Tume Huru ya Uchaguzi nchini Tanzania (INEC) kusitisha kutangaza matokeo ya uchaguzi hadi uchunguzi wa kina ufanyike, kufuatia maandamano na madai ya dosari katika mchakato wa uchaguzi. Katika taarifa yake, bunge hilo limehimiza jeshi la Tanzania kuchukua nafasi ya...
  7. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tume ya Uchaguzi wanatafuta kitu? Waache ule ujinga mara moja

    Tume ya uchaguzi wanapaswa kutulia mara moja huu ujinga wakutangazia matokeo hewa waache kabisa hatuna utani.
  8. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wito wa mwisho: Askari Polisi msitolewe kafara… Wekeni Silaha zenu chini

    Wananchi wana hasira nyingi na nyinyi mnachukuliwa kama alama ya uovu wa serikali. Wengi wenu ni vijana wadogo mnaopewa maelekezo na maafande na mnafuata. Mna nafasi moja tu..tu ajua wapo askari wengi wazuri lakini hatuwajui ni kina nani hadi watakapoweka silaha chini. Nawaita wekeni silaha...
  9. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kilimanjaro: Prof. Mkenda afurahia muitikio wa wnanachi kupiga kura

    Mgombea ubunge Jimbo la Rombo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Prof.Adolf Mkenda, ameshiriki kwenye zoezi upigaji kura katika kituo cha Nduweni, huku akiridhishwa na wingi wa wapiga kura waliojitokeza.
  10. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof. Mkumbo: Hali ya hewa ni nzuri wananchi jitokezeni kupiga kura

    Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo kupitia @ccmtanzania Professa Kitila Mkumbo amepiga kura leo katika kituo cha Ubungo Plaza jijini Dar Es Salaam Source Jambo TV
  11. PAYE

    JamiiForums Tanzania Takwimu za wapiga Kura Uchaguzi Mkuu 2025

    Takwimu za wapiga Kura Uchaguzi Mkuu 2025 Idadi ya Wagombea Ubunge Manyara Wanawake - 4 Wanaume - 13 Idadi ya Wagombea Ubunge SIMIYU Wanawake - 7 Wanaume - 20 Idadi ya Wagombea Ubunge SINGIDA Wanawake - 16 Wanaume - 15 Idadi ya Wagombea Ubunge SONGWE Wanawake - 3 Wanaume - 13 Idadi ya...
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakili Kulanga: Wananchi endeleeni kujitokeza kupiga kura

    Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Moshi Mjini, Wakili Sifaeli Kulanga, ametoa tathmini ya mwenendo wa zoezi la kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.Akizungumza Wakili Kulanga amesema, vituo vyote vimefunguliwa na kuwataka wananchi kufika kwenye vituo kwa lengo la kupiga kura na...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwananchi: Mapema tu, Napiga kura narudi nyumbani kula pilau

    Wapiga kura wamepanga foleni katika kituo cha shule ya Msingi Msasani B jijini Dar es Salaam, tayari kwa kuwachagua viongozi wao katika nafasi za Urais, Ubunge na Udiwani.Miongoni mwao ni Bisura Shaban Ally ambaye amesema akimaliza kupiga anarejea nyumbani kupika pilau ale na familia yake, ikiwa...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkoa wa Dar es Salaam: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

    Wakuu, Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Dar es Salaam. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka. Mkoa wa Dar es Salaam una jumla ya majimbo ya uchaguzi (12) ambayo ni Jimbo la Kinondoni Jimbo la...
  15. Influenza

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC wa Arusha, Amos Makalla: Nimepiga kura! Utaratibu ni mzuri, hakutakuwa na foleni. Mje mpige kura

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla, amepiga kura leo Oktoba 29, 2025, katika kituo cha AICC Hospital jijini Arusha na kupongeza maandalizi ya uchaguzi, akisema utaratibu ni mzuri na usalama umehakikishwa katika vituo vyote vya kupigia kura mkoani humo. “Nimepiga kura. Nawaasa wananchi...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais Ada Tadea, Georges Busungu apiga kura asema zoezi lipo safi na utulivu zile kelele hazipo tena

    Mgombea Urais Ada Tadea, Georges Busungu amesema hali ni shwari hadi sasa utulivu upo na watu wamehamasika kujitoeza kupiga kura licha kulikuwa na kelele za maandamano hadi sasa. Georges Busungu amepiga Kura yake Misungwi Mwanza. Aidha alitolea ufafanuzi kwanini jina lake hapo awali...
  17. JF Summary

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025: Matukio na taarifa Mubashara za Uchaguzi

    Utangulizi Oktoba 29, 2025 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu katika mazingira yanayoelezwa kuwa yenye hali wasiwasi mkubwa na taharuki. Uchaguzi huu unakuja takriban mwaka mmoja baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, uliosababisha mijadala mikubwa kutokana na matukio ya...
  18. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona mnatukatisha tamaa mapema hivi wakati ndio kwanza siku imeanza? Tulieni Polisi wapate surprise!

    Wakuu, Yaani asubuhi asubuhi mshasema maandamano yamefeli? Ndio kwanza siku imeanza mbona mnatukatia tamaa mapema hivi? Hamuamini kuwa wanannchi tunaweza kuleta mabadiliko wenyewe? VItuo si vinafunguliwa, tunaamka na kutoka na vitambulisho vyetu huko huko tunaungana barabarani, mlitaka watu...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais SAU Majalio Kyara: Utaratibu wa vituo upo vizuri kwahiyo wananchi endeleeni kujitokeza kupiga kura

    Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara amepiga kura yake leo katika kituo cha Buyuni Jimbo la Ubungo. Baada ya kupiga kura alizungumza na wanaHabari akisema hadi sasa vituo vya kupiga kura utaratbu upo sawa na wananchi wanaendelea kujitokeza lakini pia...
  20. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Martha Karua: Sheria ya Tanzania inaruhusu Maandamano, Samia aache utawala wa kimabavu

    Mwanasiasa na mwanaharakati nchini Kenya, Martha Karua amezungumzia kuhusiana na sheria ya Tanzania kuweka uhalali wa Maandamanohivyo kwa wananchi wanaopanga kuandamana wana haki, pia amesisitiza Serikali isiingilie maamuzi ya wananchi "sheria za tanzania zinawaruhu raia kufanya maandamano, na...
Back
Top Bottom