Anandika kada wa CHAUMMA yericko nyerere.......................
Kwa maoni yangu, kilichotokea 29/10/2025 lilikuwa JARIBIO LA MAPINDUZI LILILOFELI. Kila nikitazama tafsiri ya “maandamano ya umma” inakataa kukaa kwenye tukio la siku ile. Kwamba ni fujo linakosa nguvu ya kimanti na kivitendo...
Kenani Kihongosi, Katibu Mwenezi wa CCM akiwa LIVE instagram, "Mtu yuko nje ya Nchi anakwambia andamana na wewe unaingia barabarani unafanya uhalifu, hii haikubaliki, lazima tulinde amani yetu. Niongelee watu kufa kwenye nini..?! wewe mbona hujafa..? maana yake ulitulia nyumbani kwako"
Tume ya Uchaguziya Zanzibar, kufuatia kukamilika kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025; katika Mkutano wake wa Novemba 4, 2025, imefanya Uteuzi wa Wajumbe wa Viti maalum vya Wanawake katika Baraza la Wawakilishi.
Uteuzi huo umefanyika chini ya masharti ya...
Binafsi Nimeshuhudia mambo hovyo kabisa kwenye uchaguzi wa 29/10/2025 Kwa masikitiko, hali ni mbaya zaidi kuliko tulivyoweza kudhani. Nilishuhudia kwa macho yangu jinsi baadhi ya wasimamizi wa uchaguzi walivyokuwa wakipokea maelekezo ya wazi ya kuhakisha Mama Samia anashinda kwa kishindo Katika...
Katika jambo ambalo halikutarajiwa katika jimbo la Ukonga na wachunguzi wengi na watafiti wa siasa ni kitendo cha Mhe.Jerry William Silaa na aliyekuwa Waziri wa Habari Teknolojia na Mawasiliano ya Habari kushindwa kutetea jimbo lake mbele ya Bakari Shingo, aliyekuwa mgombea ubunge wa Act katika...
TAARIFA RASMI YA USAFIRI (TRAVEL ADVISORY)
Dodoma, Novemba 04, 2025
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuufahamisha umma, wageni na wadau wa Sekta ya Utalii ndani na nje ya nchi, kwamba hali ya amani na utulivu imerejea na shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi zinaendelea baada ya...
Wakati Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ulipofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, huku Huduma za Mtandao wa Intaneti zikiwa zimezimwa, Vyombo vya Habari vikuu (Mainstream Media) kama televisheni na redio, pamoja na Vyombo vya Habari vya Mtandaoni, vilitarajiwa kutoa taarifa sahihi na zenye uwiano kuhusu yale...
Yaani kila siku tunaona maajabu ya mwaka😂😂😂. Mlianza kusema walioandamana sio Watanzania, haikutosha mkasema waliokufa sio Watanzania mkadhani wananchi ni wajinga! Video zikaanza kuibuliwa hadi na kila inayotoka mnaulizwa huyu sio Mtanzania?
Na Mungu alivyojua kuwaumbua, hata chawa wenu...
Huyu kichwa maji Mwijaku na huo upara wake kama ugali wa moto anaendelea kujibaraguza tu hapa! Yani anaendelea kutia hasira sana.
NDugu zangu uchaguzi umekwisha na sasa tuijenge nchi yetu najuwa tuna hasira, chuki, tunamaumivu ila tusamehane, Tulipokesea sisi mtusamehe na tuijenge nchi yetu...
Licha ya kubeba vitambulisho vyao vya uangalizi, waangalizi wetu waliokuwa Mjini Tanga walikabiliwa na mahojiano makali kutoka kwa vyombo vya usalama, nyaraka zao rasmi zikiwemo pasipoti, zilichukuliwa (ingawa baadaye zilirudishwa), na walilazimishwa kufuta picha zinazohusiana na kazi ya...
MC Raji Maarufu kama Shemeji wa Taifa kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram amezungumza kuhusu kuumizwa na namna uchaguzi ulivyofanyika Tanzania ambapo Mgombea wa CCM Samia Suluhu Hassan alishinda kwa 98% jambo ambalo ni ngumu kutokea huku damu za watu wengi zikimwagika na Viongozi wa...
Huenda ningekuwa ni miongoni mwa waenda zao baada ya kuponea chupu chupu kushambuliwa na waandamanaji nikiwa msimamizi wa kituo X cha kupigia Kura.
Kilichoniokoa ni kuvua t-shirt na kofia na kutimua mbio...
Binafsi sitakuja tena kuweka rehani uhai wangu hadi nihakikishiwe usalama wangu...
Kwa Masikitiko Makubwa tunapenda kuwataarifu kuhusu kifo cha Wakili Peter Elibariki Makundi (Roll No. 5937), mwanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Tawi la Ubungo, aliyefariki dunia kwa bahati mbaya siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, baada ya kupigwa risasi katika eneo la...
Watumishi wa umma hasa walimu wamekuwa na hali ngumu, wananchi walijiapiza kuwa ikiwa Samia atashinda uchaguzi huku wanajua kura hazijapigwa basi watadili na hawa watumishi wa umma walioshiriki kutia mikono yao damu
Kuna mwalimu namjua binafsi kutoka Kahama, ambaye baada ya kumaliza jioni...
Kwenye vituo vingi watu hawakujitokeza kupiga kura kutokana na wananchi wengi kujiapiza kutoka kwaajili ya maandamano kupinga uchaguzi huo dhalimu. Kwenye sehemu ambako watu walijitokeza kwenye maeneo mengi walikuwa hawafiki 50.
Sasa kufika jioni ambako wasimamizi walikuwa wanafanya...
Mkuu wa Idara ya Tathmini na Ufuatiliaji wa Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation ya Francis Forodhan wakiwa ni waangalizi wa ndani wa uchaguzi ameeleza namna Mchakato na uendeshwaji wa Uchaguzi Mkuu Zanzibar ulivyofanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja na Mkoa wa Kusini Unguja katika...
Mbunge Mteule wa jimbo la Tabora mjini kupitia CCM Hawa Subira Mwaifunga amewashukuru wakazi wa Tabora mjini kwa imani yao na mapenzi makubwa waliyoyaonyesha kwake baada ya kushinda na kutangazwa kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka mitano (2025-2030);
Ambapo ameahidi kwenda kuwa...
Ndugu Wachezaji, Mashabiki na Wanaharakati wa Amani,
Tanzania yetu imetoka katika kipindi kigumu cha kisiasa, kipindi ambacho baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki zetu wamepoteza maisha mikononi mwa vyombo vya dola wakati wakisimama kudai haki zao za kidemokrasia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka...
Maneno yaliyopo mtaani ni kuwa kinachoendelea sasa ni kuwa polisi wanazika watu makundi kwa makundi ili kufuta ushahidi kwa yaliyotekea - mass grave, na maeneo mengine wanachoma maiti.
Na hili linathibitishwa zaidi maana watu wakienda hospitali kudai maiti zao-maitti hakuna! Yaani hospitgali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.