uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    PostGE2025 Video: Wananchi wakiimba 'hakuna muuaji kama Samia, hakuna na hata kuwepo'

    Ni sauti za Watanzania walioko katika majonzi na hasira, wakiimba kwa uchungu wimbo maarufu wa “Hakuna Mungu Kama Wewe”, lakini wakiwa wameubadilisha na kuimba, “Hakuna muuaji kama Samia, hakuna na hata kuwepo.” Ukijaribu kuvaa viatu vya akina mama hawa, unaweza kuhisi uzito wa maumivu na hasira...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 TLS kuwasaidia kisheria bila malipo watuhumiwa waliokamatwa au kufunguliwa mashtaka kuhusiana na matukio ya Uchaguzi Mkuu 2025

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa kushirikiana na mashirika ya haki za binadamu nchini, yakiwemo Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kinapenda kuutangazia umma kuwa kitatoa msaada wa kisheria bure kwa watuhumiwa wote...
  3. Mafyangula

    GE2025 Babu Tale sina mpinzani jimboni Morogoro Kusini Mashariki, ndio maana nimeshinda kwa asilimia 91

    Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamisi Shaban Taletale, maarufu kama Babu Tale ameeleza sababu ya yeye kukosa upinzani kwenye jimbo lake ambalo ameshinda kwa asilimia 91.
  4. Common Folk

    GE2025 Mch. Stephen Ling'hwa: Hapo jirani na Kanisa letu wameuliwa watu 13, tukimsikia mtu anasema wameuliwa watu 10 nchi nzima tunamshangaa

    “TUNAPOSIKIA MTU AKISEMA WAMEKUFA WATU 10 TU NCHI NZIMA, TUNAMSHANGAA SISI KAMA WATUMISHI WA MUNGU” "Hapo juu kanisani kwetu watu 13 wamekufa kwa mpigo, na maeneo mengine katika mji wetu, ilionekana miili imelala mabarabrani. Kwa hiyo tunaposikia mtu anasema wamekufa watu 10 nchi nzima...
  5. DuaZaMama

    PostGE2025 Askofu Stephano Musomba: Tunawaombea waliouawa wakati wa uchaguzi mkuu, kwa sababu hawa hawajaumwa walipigwa risasi

    Misa Takatifu ya kuwaombea waliouwawa na waliojeruhiwa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Tanzania 2025 | Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria, Jimbo Katoliki Bagamoyo ikiongozwa na Askofu Stephano Lameck Musomba O.S.A “Tunaadhimisha misa hii nia zetu tatu, kwanza tunawaombea waliouawa...
  6. DuaZaMama

    PostGE2025 Wakili Fulgence Massawe: Serikali ya Tanzania inatumia vibaya sheria ya UHAINI

    Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania , wanakosoa namna serikali imeanza kuitumia vibaya sheria ya makosa ya uhaini, baada ya mwishoni mwa juma lililopita, waandamanaji waliokamatwa kusomewa shtaka la uhaini. Wakili Fulgence Massawe ni mkurugenzi wa utetezi na mageuzi...
  7. Waufukweni

    GE2025 Wawakilishi 14 wa ACT-Wazalendo wagoma kuhudhuria Uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi wadai Uchaguzi ulijaa dhulma na uhuni

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Sisi Wawakilishi 14 kutoka Chama cha ACT Wazalendo - 10 wa Majimbo na wanne wa viti maalumu vya wanawake - tulilitafakari tukio la uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi na kumpima mtu atakayelihutubia Baraza na majibu yetu yakawa, kwa dhulma iliyopita na uhuni...
  8. Waufukweni

    Mwananchi aliyepigwa Risasi ya Tumbo: Wamedhamilia kutuua wanatupiga Risasi za moto, Risasi hii hapa ninayo

    Mwananchi mmoja aliyepigwa risasi tumboni wakati wa maandamano amesema kuwa "Wamedhamilia kutuua wanatupiga Risasi za moto, Risasi hii hapa ninayo"
  9. Waufukweni

    GE2025 Tito Magoti kuhusu Maridhiano: Ni jambo la aibu kusikia wito wa namna hiyo, akaridhiane na Watanzania wanaovuja damu

    "Ni jambo la aibu kusikia wito wa namna hiyo, ni matusi kwa Watanzania lakini pia ni kuvunjiana heshima...Anaridhiana na nani?, kwa sababu gani?...kutokea wapi?."- Wakili Tito Magoti akijibu hoja kuhusu kinachoitwa Maridhiano.
  10. PAYE

    Mtaalamu wa Saikolojia: Kuendelea kukamata na kutishia watu hakuponyi taifa, waliokamatwa waachiwe na 4R zitumike kuanza upya

    Akizungumza kuhusu hali ya baada ya uchaguzi, Mtaalamu wa Saikolojia, Leonard Mgina amesema kuwa kuendelea kuwakamata watu kutokana na matukio yaliyotokana na uchaguzi kunachochea majeraha ya kisaikolojia na kudhoofisha jitihada za kujenga taifa lenye umoja na amani. “Ni muhimu sasa kuelekeza...
  11. DuaZaMama

    PostGE2025 Ubalozi wa Denmark watoa pole kwa waliopoteza wapendwa wao wakati wa uchaguzi mkuu 2025

    Ubalozi wa Denmark nchini Tanzania umetuma salamu za pole kwa familia na jamii kwa ujumla ambazo zimepoteza wapendwa wao kutokana na matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi. Kupitia taarifa iliyotolewa leo, ubalozi huo umeeleza kuwa unaenzi maisha ya wote waliotangulia mbele ya haki, pamoja na...
  12. W

    GE2025 Ubalozi wa Sweden: Tumesikitishwa sana na vifo viliyotokea baada ya Uchaguzi Tanzania, tunasimama pamoja na wito wa haki na maridhiano

    Ubalozi wa Sweeden kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii wameandika kuwa; We stand behind the call for jusice and reconciliation built on collective and inclusive commitment to healing. …. Tunasimama pamoja na wito wa haki na maridhiano, uliyojengwa juu ya dhamira ya pamoja na jumuishi ya...
  13. Waufukweni

    Ian Khama: Simtambui Samia kama Rais wa Tanzania sababu uongozi kaupata kwa mauaji na ukandamizaji wa wananchi

    Katika kongamano la African Renaissance lililofanyika Lukenya University nchini Kenya, Rais wa zamani wa Botswana, Ian Khama, alitoa kauli yenye mguso akisema “hamtambui Rais Samia Suluhu Hassan kama kiongozi halali wa Tanzania.” Alieleza kuwa uchaguzi wa mwaka 2025 ulitawaliwa na vitisho, vifo...
  14. PAYE

    GE2025 Diaspora wa Watanzania Canada waandamana: Samia sikiliza kilio cha Watanzania. Waachie Polepole, Lissu, Heche, Niffer

    Diaspora wa Watanzania nchini Canada, ambayo inajumuisha moja ya jamii kubwa zaidi ya raia wa Tanzania wanaoishi nje ya Afrika, wameandamana ikiwa ni juhudi za kimataifa za kupigania madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu kufuatia uchaguzi wa Oktoba 29 nchini Tanzania na kusababisha mauaji...
  15. Waufukweni

    GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa: Wanalipwa kuchochea vurugu, nchi yetu wameichoma moto

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohamed Ali Kawaida amevunja ukimya na kuzungumza kwa mara ya kwanza kuhusu matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea tarehe 29 na 30 Oktoba 2025, akisema kwa masikitiko kuwa vurugu hizo zimefanywa kwa kiasi kikubwa na vijana...
  16. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania: Novemba 7, 2025

    Watanzania 463 Wakabiliwa na Mashtaka ya Uhaini, Unyang’anyi kwa kutumia silaha - akiwemo Mfanyabiashara Jenifer Jovin (Niffer) Jamhuri imewafungulia kesi Watanzania 240 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, Ijumaa Novemba 7, 2025, wakikabiliwa na mashtaka matatu ya uhaini; la...
  17. Inside10

    GE2025 Wakatoliki Dar Kuombea Watu Waliofariki Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu

    Taarifa iliyotolewa na Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, imeeleza Askofu Mkuu Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, OFMCap, amewaalika Mapadri, Watawa na Waamini wote kushiriki Misa Maalum ya kuwaombea Wafu itakayoadhimishwa Jumatatu, Novemba 10, 2025. "Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi...
  18. R

    PostGE2025 Vurugu Oktoba 29 zasababisha Mfumuko wa bei za bidhaa, vijana washauriwa kuacha Mihemko na kulinda amani

    Wananchi wa Mkoa wa Dar Es salaam wameeleza kuwa mfumuko wa bei kwa bidhaa mbalimbali nchini pamoja na ukosefu wa huduma na bidhaa muhimu kulikotokana na ghasia na vurugu za Oktoba 29, 2025 kumewaathiri kiuchumi, wakiwataka Vijana kuacha mihemko na kutokubali kurubuniwa katika kuharibu amani na...
  19. Black Opal

    PostGE2025 Waombelezaji wanatishwa, hakuna kuongelea misiba iliyotokea wakati wa maandamano, wanamaliza misiba bila miili!

    Wakuu, Hiki ndio kinachoendelea mtaani kipindi hiki! Wakati wa maandamano wananchi walishuhudia wapendwa wao wakipigwa risasi na polisi na kuona miili ikizagaa mtaani wengine mpaka siku tatu. Walipojaribu kuchukua miili hii kwa taratibu nyingine za kupumzisha wapendwa wao, polisi waliwakataza...
  20. DuaZaMama

    PostGE2025 Naibu Katibu Mkuu TEC: Tunawaombea kwa Mwenyezi Mungu wote walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea wakati wa uchaguzi

    Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Padri Chesco Msaga, ameongoza ibada maalum ya kuwaombea wote waliopoteza maisha katika ghasia zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza wakati wa mahubiri yake leo, Novemba 7, 2025, Katika misa iliyofanyika makao makuu ya...
Back
Top Bottom