Ni sauti za Watanzania walioko katika majonzi na hasira, wakiimba kwa uchungu wimbo maarufu wa “Hakuna Mungu Kama Wewe”, lakini wakiwa wameubadilisha na kuimba, “Hakuna muuaji kama Samia, hakuna na hata kuwepo.” Ukijaribu kuvaa viatu vya akina mama hawa, unaweza kuhisi uzito wa maumivu na hasira...
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa kushirikiana na mashirika ya haki za binadamu nchini, yakiwemo Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kinapenda kuutangazia umma kuwa kitatoa msaada wa kisheria bure kwa watuhumiwa wote...
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamisi Shaban Taletale, maarufu kama Babu Tale ameeleza sababu ya yeye kukosa upinzani kwenye jimbo lake ambalo ameshinda kwa asilimia 91.
“TUNAPOSIKIA MTU AKISEMA WAMEKUFA WATU 10 TU NCHI NZIMA, TUNAMSHANGAA SISI KAMA WATUMISHI WA MUNGU”
"Hapo juu kanisani kwetu watu 13 wamekufa kwa mpigo, na maeneo mengine katika mji wetu, ilionekana miili imelala mabarabrani. Kwa hiyo tunaposikia mtu anasema wamekufa watu 10 nchi nzima...
Misa Takatifu ya kuwaombea waliouwawa na waliojeruhiwa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Tanzania 2025 | Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria, Jimbo Katoliki Bagamoyo ikiongozwa na Askofu Stephano Lameck Musomba O.S.A
“Tunaadhimisha misa hii nia zetu tatu, kwanza tunawaombea waliouawa...
Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania , wanakosoa namna serikali imeanza kuitumia vibaya sheria ya makosa ya uhaini, baada ya mwishoni mwa juma lililopita, waandamanaji waliokamatwa kusomewa shtaka la uhaini.
Wakili Fulgence Massawe ni mkurugenzi wa utetezi na mageuzi...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Sisi Wawakilishi 14 kutoka Chama cha ACT Wazalendo - 10 wa Majimbo na wanne wa viti maalumu vya wanawake - tulilitafakari tukio la uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi na kumpima mtu atakayelihutubia Baraza na majibu yetu yakawa, kwa dhulma iliyopita na uhuni...
"Ni jambo la aibu kusikia wito wa namna hiyo, ni matusi kwa Watanzania lakini pia ni kuvunjiana heshima...Anaridhiana na nani?, kwa sababu gani?...kutokea wapi?."- Wakili Tito Magoti akijibu hoja kuhusu kinachoitwa Maridhiano.
Akizungumza kuhusu hali ya baada ya uchaguzi, Mtaalamu wa Saikolojia, Leonard Mgina amesema kuwa kuendelea kuwakamata watu kutokana na matukio yaliyotokana na uchaguzi kunachochea majeraha ya kisaikolojia na kudhoofisha jitihada za kujenga taifa lenye umoja na amani.
“Ni muhimu sasa kuelekeza...
Ubalozi wa Denmark nchini Tanzania umetuma salamu za pole kwa familia na jamii kwa ujumla ambazo zimepoteza wapendwa wao kutokana na matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi.
Kupitia taarifa iliyotolewa leo, ubalozi huo umeeleza kuwa unaenzi maisha ya wote waliotangulia mbele ya haki, pamoja na...
Ubalozi wa Sweeden kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii wameandika kuwa;
We stand behind the call for jusice and reconciliation built on collective and inclusive commitment to healing.
….
Tunasimama pamoja na wito wa haki na maridhiano, uliyojengwa juu ya dhamira ya pamoja na jumuishi ya...
Katika kongamano la African Renaissance lililofanyika Lukenya University nchini Kenya, Rais wa zamani wa Botswana, Ian Khama, alitoa kauli yenye mguso akisema “hamtambui Rais Samia Suluhu Hassan kama kiongozi halali wa Tanzania.” Alieleza kuwa uchaguzi wa mwaka 2025 ulitawaliwa na vitisho, vifo...
Diaspora wa Watanzania nchini Canada, ambayo inajumuisha moja ya jamii kubwa zaidi ya raia wa Tanzania wanaoishi nje ya Afrika, wameandamana ikiwa ni juhudi za kimataifa za kupigania madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu kufuatia uchaguzi wa Oktoba 29 nchini Tanzania na kusababisha mauaji...
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohamed Ali Kawaida amevunja ukimya na kuzungumza kwa mara ya kwanza kuhusu matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea tarehe 29 na 30 Oktoba 2025, akisema kwa masikitiko kuwa vurugu hizo zimefanywa kwa kiasi kikubwa na vijana...
Watanzania 463 Wakabiliwa na Mashtaka ya Uhaini, Unyang’anyi kwa kutumia silaha - akiwemo Mfanyabiashara Jenifer Jovin (Niffer)
Jamhuri imewafungulia kesi Watanzania 240 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, Ijumaa Novemba 7, 2025, wakikabiliwa na mashtaka matatu ya uhaini; la...
Taarifa iliyotolewa na Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, imeeleza Askofu Mkuu Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, OFMCap, amewaalika Mapadri, Watawa na Waamini wote kushiriki Misa Maalum ya kuwaombea Wafu itakayoadhimishwa Jumatatu, Novemba 10, 2025.
"Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi...
Wananchi wa Mkoa wa Dar Es salaam wameeleza kuwa mfumuko wa bei kwa bidhaa mbalimbali nchini pamoja na ukosefu wa huduma na bidhaa muhimu kulikotokana na ghasia na vurugu za Oktoba 29, 2025 kumewaathiri kiuchumi, wakiwataka Vijana kuacha mihemko na kutokubali kurubuniwa katika kuharibu amani na...
Wakuu,
Hiki ndio kinachoendelea mtaani kipindi hiki! Wakati wa maandamano wananchi walishuhudia wapendwa wao wakipigwa risasi na polisi na kuona miili ikizagaa mtaani wengine mpaka siku tatu.
Walipojaribu kuchukua miili hii kwa taratibu nyingine za kupumzisha wapendwa wao, polisi waliwakataza...
Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Padri Chesco Msaga, ameongoza ibada maalum ya kuwaombea wote waliopoteza maisha katika ghasia zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Akizungumza wakati wa mahubiri yake leo, Novemba 7, 2025, Katika misa iliyofanyika makao makuu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.