uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Fulgence Massawe: Serikali ya Tanzania inatumia vibaya sheria ya UHAINI

    Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania , wanakosoa namna serikali imeanza kuitumia vibaya sheria ya makosa ya uhaini, baada ya mwishoni mwa juma lililopita, waandamanaji waliokamatwa kusomewa shtaka la uhaini. Wakili Fulgence Massawe ni mkurugenzi wa utetezi na mageuzi...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wawakilishi 14 wa ACT-Wazalendo wagoma kuhudhuria Uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi wadai Uchaguzi ulijaa dhulma na uhuni

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Sisi Wawakilishi 14 kutoka Chama cha ACT Wazalendo - 10 wa Majimbo na wanne wa viti maalumu vya wanawake - tulilitafakari tukio la uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi na kumpima mtu atakayelihutubia Baraza na majibu yetu yakawa, kwa dhulma iliyopita na uhuni...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwananchi aliyepigwa Risasi ya Tumbo: Wamedhamilia kutuua wanatupiga Risasi za moto, Risasi hii hapa ninayo

    Mwananchi mmoja aliyepigwa risasi tumboni wakati wa maandamano amesema kuwa "Wamedhamilia kutuua wanatupiga Risasi za moto, Risasi hii hapa ninayo"
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tito Magoti kuhusu Maridhiano: Ni jambo la aibu kusikia wito wa namna hiyo, akaridhiane na Watanzania wanaovuja damu

    "Ni jambo la aibu kusikia wito wa namna hiyo, ni matusi kwa Watanzania lakini pia ni kuvunjiana heshima...Anaridhiana na nani?, kwa sababu gani?...kutokea wapi?."- Wakili Tito Magoti akijibu hoja kuhusu kinachoitwa Maridhiano.
  5. PAYE

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Saikolojia: Kuendelea kukamata na kutishia watu hakuponyi taifa, waliokamatwa waachiwe na 4R zitumike kuanza upya

    Akizungumza kuhusu hali ya baada ya uchaguzi, Mtaalamu wa Saikolojia, Leonard Mgina amesema kuwa kuendelea kuwakamata watu kutokana na matukio yaliyotokana na uchaguzi kunachochea majeraha ya kisaikolojia na kudhoofisha jitihada za kujenga taifa lenye umoja na amani. “Ni muhimu sasa kuelekeza...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ubalozi wa Denmark watoa pole kwa waliopoteza wapendwa wao wakati wa uchaguzi mkuu 2025

    Ubalozi wa Denmark nchini Tanzania umetuma salamu za pole kwa familia na jamii kwa ujumla ambazo zimepoteza wapendwa wao kutokana na matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi. Kupitia taarifa iliyotolewa leo, ubalozi huo umeeleza kuwa unaenzi maisha ya wote waliotangulia mbele ya haki, pamoja na...
  7. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ubalozi wa Sweden: Tumesikitishwa sana na vifo viliyotokea baada ya Uchaguzi Tanzania, tunasimama pamoja na wito wa haki na maridhiano

    Ubalozi wa Sweeden kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii wameandika kuwa; We stand behind the call for jusice and reconciliation built on collective and inclusive commitment to healing. …. Tunasimama pamoja na wito wa haki na maridhiano, uliyojengwa juu ya dhamira ya pamoja na jumuishi ya...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ian Khama: Simtambui Samia kama Rais wa Tanzania sababu uongozi kaupata kwa mauaji na ukandamizaji wa wananchi

    Katika kongamano la African Renaissance lililofanyika Lukenya University nchini Kenya, Rais wa zamani wa Botswana, Ian Khama, alitoa kauli yenye mguso akisema “hamtambui Rais Samia Suluhu Hassan kama kiongozi halali wa Tanzania.” Alieleza kuwa uchaguzi wa mwaka 2025 ulitawaliwa na vitisho, vifo...
  9. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Diaspora wa Watanzania Canada waandamana: Samia sikiliza kilio cha Watanzania. Waachie Polepole, Lissu, Heche, Niffer

    Diaspora wa Watanzania nchini Canada, ambayo inajumuisha moja ya jamii kubwa zaidi ya raia wa Tanzania wanaoishi nje ya Afrika, wameandamana ikiwa ni juhudi za kimataifa za kupigania madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu kufuatia uchaguzi wa Oktoba 29 nchini Tanzania na kusababisha mauaji...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa: Wanalipwa kuchochea vurugu, nchi yetu wameichoma moto

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohamed Ali Kawaida amevunja ukimya na kuzungumza kwa mara ya kwanza kuhusu matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea tarehe 29 na 30 Oktoba 2025, akisema kwa masikitiko kuwa vurugu hizo zimefanywa kwa kiasi kikubwa na vijana...
  11. JF Summary

    JamiiForums Tanzania Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania: Novemba 7, 2025

    Watanzania 463 Wakabiliwa na Mashtaka ya Uhaini, Unyang’anyi kwa kutumia silaha - akiwemo Mfanyabiashara Jenifer Jovin (Niffer) Jamhuri imewafungulia kesi Watanzania 240 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, Ijumaa Novemba 7, 2025, wakikabiliwa na mashtaka matatu ya uhaini; la...
  12. Inside10

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakatoliki Dar Kuombea Watu Waliofariki Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu

    Taarifa iliyotolewa na Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, imeeleza Askofu Mkuu Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, OFMCap, amewaalika Mapadri, Watawa na Waamini wote kushiriki Misa Maalum ya kuwaombea Wafu itakayoadhimishwa Jumatatu, Novemba 10, 2025. "Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi...
  13. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vurugu Oktoba 29 zasababisha Mfumuko wa bei za bidhaa, vijana washauriwa kuacha Mihemko na kulinda amani

    Wananchi wa Mkoa wa Dar Es salaam wameeleza kuwa mfumuko wa bei kwa bidhaa mbalimbali nchini pamoja na ukosefu wa huduma na bidhaa muhimu kulikotokana na ghasia na vurugu za Oktoba 29, 2025 kumewaathiri kiuchumi, wakiwataka Vijana kuacha mihemko na kutokubali kurubuniwa katika kuharibu amani na...
  14. Black Opal

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waombelezaji wanatishwa, hakuna kuongelea misiba iliyotokea wakati wa maandamano, wanamaliza misiba bila miili!

    Wakuu, Hiki ndio kinachoendelea mtaani kipindi hiki! Wakati wa maandamano wananchi walishuhudia wapendwa wao wakipigwa risasi na polisi na kuona miili ikizagaa mtaani wengine mpaka siku tatu. Walipojaribu kuchukua miili hii kwa taratibu nyingine za kupumzisha wapendwa wao, polisi waliwakataza...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Naibu Katibu Mkuu TEC: Tunawaombea kwa Mwenyezi Mungu wote walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea wakati wa uchaguzi

    Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Padri Chesco Msaga, ameongoza ibada maalum ya kuwaombea wote waliopoteza maisha katika ghasia zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza wakati wa mahubiri yake leo, Novemba 7, 2025, Katika misa iliyofanyika makao makuu ya...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jamaa aliyehusishwa na mauaji ya watu wakati wa maandamano akanusha, anadai kuwa yeye ni dereva

    Mwanaume ambaye amekuwa akitrend kwa siku mbili mfululizo baada ya kuhusishwa na kikundi cha watu waliokuwa na silaha na wanaodaiwa kuhusika katika mauaji ya waandamanaji wakati wa maandamano siku ya uchaguzi, amejitokeza na kujitetea kupitia video ambazo kwa sasa zinasambaa kwa kasi mtandaoni...
  17. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Polisi wakifuata vijana wa kiume majumbani huko Mara

    Ujumbe uliochapishwa na Mange Kimambi kwenye ukurasa wa Instagram. "Dada Mange moyo wangu unavuja damu, Watanganyika tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu wenyewe. Tumekuwa mayatima, hakuna jeshi la kutusaidia, hatuna viongozi tuko wananchi kujipigania wenyewe Hapo ni Nyamongo North Mara. polisi...
  18. Influenza

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakazi: Tusiiombee Tanzania, tuipiganie. Msije na #PrayforTanzania kama trend tu!

    Msanii Wakazi kupitia Ukurasa wake wa X (twitter) amewasihi Wananchi kuipigania Tanzania yao badala ya kuandia hastags tu kama trends. Amesema hakuna uhalali wowote wa watu kuuawa hata kama kuna vitu viliharibiwa. Anasema; DONT PRAY FOR TANZANIA… FIGHT FOR IT! Hakuna Mtu perfect, na ni kweli...
  19. Black Opal

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muhtasari Taarifa ya Awali ya Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025 kutoka SADC (SOEM): Uchaguzi haukutimiza Viwango vya Uchaguzi wa Kidemokrasia vya SADC

    Hapa chini ni muhtasari wa taarifa ya awali (final) ya waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 kutoka SADC (SEOM), uliowasilishwa na Richard Msowoya, Spika wa zamani wa Bunge la Malawi na Mkuu wa Ujumbe wa Waangalizi wa SADC. Upo kwa kifupi na kwa Kiswahili, ukitaka maelezo zaidi pitia...
  20. Keynez

    JamiiForums Tanzania Muuaji anavaa jezi ya Yanga anaenda kuua mamia ya Watanzania mchana kweupe, halafu Klabu haitoi hata neno la kukemea wala kusikitika

    Hii nchi niliwahi kusema ukielewa how deep hizi timu za Simba na Yanga zinavyotumika kupumbaza na kuumiza Watanzania, wengi mtalia sana. Yule jamaa aliyevaa jezi ya Yanga aliyetoka akaenda na wenzake kumiminia watu risasi za vichwa hakuamka tu akaamaua avae jezi ya Yanga na wala hakushtuliwa tu...
Back
Top Bottom