Deus Bugaiywa, Mchambuzi wa masuala ya Siasa na Maendeleo leo Oktoba 7, akizungumza kupitia Clouds TV amesema;
"Vijana wanasema wanatoboa kimaisha lakini huwezi kutoboa kimaisha kama hakuna mazingira ya amani bali maisha yatatutoboa sisi badala ya sisi kuyatoboa"
"Ninachukizwa sana vitendo vya watu wachache wanaotaka kuharibu amani ya Tanzania. Zamani watu kama hao walikuwa wakitokea walikuwa wanapewa adhabu kali hata kufungwa kabisa" amesema mwananchi"
Huyu mwananchi mwenzetu ni kama haelewi hata anachoongelea maana anakubaliana na utekaji na watu...
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Iramba Mashariki kupitia CCM, Mwigulu Nchemba kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ameandika:
"Wananchi wako tayari kumimina kura za kutosha kwa Wagombea wa CCM Octoba 29" akiwa ameambatanisha na video inayomuonyesha akisalimiana na wananchi
Kada wa Chama Cha Mapinduzi CCM Lazaro Nyalandu, amewaomba watanzani kujitokeza kusikiliza sera za mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho Dkt Samia Suluhu Hassan ili ifikapo Octoba 29 mwaka huu waweze kumchangua kuliongoza Taifa kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Akizungumza katika ofisi za...
Mgombea Ubunge kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir amewaahidi wananchi wa jimbo la Makunduchi kuwa atahakikisha anasaidia utatuzi wa changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama ili wananchi wafaidike na huduma hiyo muhimu kwa mahitaji ya kibinaadamu na kijamii...
Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, amesema atasimamia kuvunjwa soko la Sabasaba na kujengwa upya, akisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kuboresha mazingira ya wafanyabiashara na kulipa sura mpya ya kisasa.
“Niliposema tunalivunja soko la...
Mgombea Ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuhakikisha wanampigia kura, mgombea urais kupitia chama hicho, Samia Suluhu Hassan ili kumwezesha kuendelea kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisema ndiye...
Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, ameahidi kuboresha sekta ya elimu kwa kuanzisha mpango wa kufuta michango kwa wazazi kuchangia mitihani ya wanafunzi.
“Lengo langu ni kuhakikisha mtoto wa Mtumba anasoma mazingira bora, bila mzazi...
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea kuimarisha miundombinu na ustawi wa wananchi wa Unguja na Pemba, kwa misingi ya umoja...
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Richard Kasesela ametoa wito kwa watu kutotafsiri maoni ya mtandaoni kama ndiyo maoni ya taifa zima.
Haya ameyasema baada ya kuulizwa juu ya uwepo wa maoni hasi(negative comments) kwenye baadhi ya machapisho yanayohusu vifo vya makada wa CCM.
"ukichukua...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Uzi huu ni kwa ajili ya yanayojiri Tanzania baina ya mtawala mmoja na wananchi wake ambao hawataki kumpigia kura lakini yeye anasema lazima watu wamchague watake wasitake
Endelea kufuatilia update
Asante sana
SAYUNI BOY
Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Kiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema ataendelea kusimamia kwa karibu maendeleo ya vijana wa jimbo hilo, hasa katika...
Mmemsikia Nchimbi! Akiendelea kufanya unafiki wake!
==================
“Katika kipindi cha miaka hii minne na nusu, serikali ya CCM imeweza kusimamia usalama na amani ya nchi yetu. Imeimarisha vyombo vya ulinzi kwa kuongeza idadi ya waajiriwa wapya, mafunzo, vitendea kazi na mbinu za kivita. Leo...
Umejiandaaje na siku ya Uchaguzi Tar 29 Oct.
Maana Hakuna mtandao wa simu utafanya kazi.
Utasema unatumia VPN. Ila vpn bila data ni bure. Kwahiyo watazima internet.
Watafinya calls na sms. Kwahiyo call drops zitakuwa za kutosha.
Kwahiyo No internet. Call drops za kutosha . Tigopesa, Mpesa na...
Mwanachama wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema matamanio yake makuu ni kuona anaruhusiwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuonesha utofauti wa kampeni baina ya vyama vingine na kutimiza kusudio lake la kuongoza nchi baada ya kushinda uchaguzi, akibainisha kuwa Taifa...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Iringa imekutana na Baraza la Mila na Desturi la Wazee wa mkoa huo kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua na kufichua vitendo vya rushwa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao.
Lengo kuu ni kuwawezesha wazee hao kuwa walinzi wa maadili ya...
Hukumu ya kesi ya Luhaga Mpina dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) itasomwa Oktoba 10,2025.
Kesi hiyo namba 23617, ipo mbele ya majaji watatu wakiongozwa na Frederick Manyanda , Abdallah Gonzi na Sylvester Kainda.
Leo Jumatatu Oktoba 6,2025 Mpina amefika mahakamani akiongozana na...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeo Bara John Heche amefika hospitali ya Mnazi Mmoja kuwajulia hali wanaodaiwa kupigwa na Jeshi la Polisi katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Baada ya kuwajulia hali Heche amezungumza na baadhi ya viongozi waliokuwa hapo...
CCM inang'ang'ania madarakani, haitaki kutoka jumlajumla, nyinyi wananchi mnaweza kuiondoa CCM rejareja kwa kuanza na wabunge. Geuzeni uchaguzi huu kuwa ni kura ya maoni, kura ya kutokuwa na imani na CCM kwa kuwachagua wabunge wa ACT Wazalendo, na kule kwenye udiwani madiwani wa ACT Wazalendo"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.