uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Kihongosi: Chama hiki kimejikita katika kusukuma ajenda za maendeleo, kwaiyo akitokea mtu akasema hakuna kilichofanyika unabaki unamuangalia

    " Chama hiki kimejikita katika kusukuma ajenda za maendeleo, kwaiyo akitokea mtu akasema hakuna kilichofanyika unabaki unamuangalia" amesema Kihongosi Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi akizungumza na waaandishi wa habari katika leo Oktoba...
  2. DuaZaMama

    GE2025 CCM: Watu milioni 14 wamejitokeza kwenye kampeni, milioni 31 wametazama kupitia vyombo vya habari

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi amesema kuwa tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni za Urais kupitia CCM kwa mgombea wake Samia Suluhu Hassan tayari zaidi ya wananchi milioni 45 wameshiriki kikamilifu kwa kufuatilia...
  3. R

    GE2025 Kihongosi: Unapoona wingi wa watu kwenye mikutano na vyama kuvutiwa ni sababu Rais Samia anatimiza wajibu kwa watanzania kupata wanachostahili

    Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi akizungumza na waaandishi wa habari katika leo Oktoba 5, 2025 katika ukumbi wa White House CCM Makao Makuu Dodoma ameeeleza kuhusu Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) zinazoendelea ambapo Mgombea nafasi ya...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Jukwaa la wahariri lakemea kuhusu 'Kapteni Tesha'

    Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limelaani vikali kauli na maudhui yaliyosambazwa katika mitandao ya kijamii Oktoba 4, 2025, yakionesha watu wanaodaiwa kuwa wanajeshi wakihamasisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kujiingiza katika siasa kupitia mapinduzi. TEF imesema hatua hiyo...
  5. R

    GE2025 Video: Mgombea Ubunge (CCM) Jimbo la Makunduchi Zanzibar, Wanu Hafidh nyumba kwa nyumba kuomba kura na kugawa vitenge

    Kwahiyo anachokifanya Wanu ni Rushwa au si Rushwa kwa sababu dola anatawala Mama, na kuna haja gani yeye kupita nyumba kwa nyumba wakati hana mpinzani :FeelsWeirdMan: ------------ Mgombea Ubunge Jimbo la Makunduchi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)Wanu Hafidh AMeir akipita nyumba kwa nyumba...
  6. R

    GE2025 Machifu kuliombea Taifa uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

    Machifu 200 wa mikoa tisa ya Kanda ya Kusini, wanatarajiwa kufanya matembezi maalumu mkoani Mbeya, kwa lengo la kuliombea taifa, ili uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, ufanyike kwa amani na utulivu. Mratibu wa Umoja wa Machifu wa mikoa ya Kusini, Chifu Sad Wabu (Mitondo wa Pili) ameyasema hayo...
  7. R

    GE2025 Katibu wa BAVICHA Jimbo la Lupembe, Abedinego Sunday Sanga achukuliwa na wasiojulikana

    Katibu wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) jimbo la Lupembe, Abedinego Sunday Sanga, anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana akiwa katika duka lake la madawa eneo la Matembwe, Halmashauri ya Wilaya ya Njombe. Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Njombe, Seth Vegula...
  8. DuaZaMama

    GE2025 Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi Kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi atakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Leo katika ukumbi wa White House CCM Makao Makuu Dodoma kuanzia saa 10:30 Jioni https://www.youtube.com/live/X01I9hqOryk?si=sqHbFxhy5Se9-ofP Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi CCM...
  9. R

    GE2025 Wananchi Dar es Salaam: Wanaojipanga Maandamano Oktoba 29 waache tunaiamini Serikali, Tukatiki

    Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam wamesema wako tayari kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wakijitenga na ushawishi wa mitandaoni unaotaka kuwapotosha kwa maandamano au kutoshiriki kupiga kura. Wamesisitiza kuwa wanatambua vyema umuhimu wa amani na athari za vurugu...
  10. R

    GE2025 Faris Buruhani: Haupewi uongozi CCM kama hujajaribiwa au kupimwa

    :Uongozi ndani ya CCM si cheo, bali ni dhamana inayopatikana kwa safari ya majaribio, maumivu, subira na kujitoa bila masharti. Wapo waliogombea na wakashindwa, lakini hawakurudi nyuma wala kuhama Chama. Walitumikia chama kwa nguvu zote, wakajenga imani, na leo wamepewa tena nafasi ya kugombea...
  11. R

    GE2025 Sheikh Ponda: Tutahakikisha katika uongozi wetu tunaboresha elimu, watoto watakula na kunywa bure

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Temeke kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuongoza wananchi wa jimbo hilo, atahakikisha mfumo wa elimu unapewa uangalizi bora na unafanya kazi vizuri Akizungumza Oktoba 4,2025 kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Waumini wa dini ya kiislamu washauriwa kutoandamana Oktoba 29

    WAUMINI wa Dini ya Kiislamu wameshauriwa kutoshiriki maandamano yanayohamasishwa kwenye mitandao ya kijamii yaliyopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu, na badala yake wajitokeze kupiga kura kwa amani katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe hiyo. Wito huo ulitolewa jana Oktoba 4,2025 na Shehe wa Msikiti...
  13. R

    GE2025 Mkuu wa Wilaya Ilala: Mnapata Mikopo bila riba, muwe mabalozi wa Rais Samia msiwasikilize wanaoleta chokochoko na vurugu mtandaoni

    "Nendeni mkawaambie kwamba ni nchi gani duniani inawapa watu wake mikopo isiyo na riba?. Wakaangalie, mara nyingi wanapenda ku- google vitu ambavyo vinavunja amani, wa- Google sasa vitu ambavyo vinajenga amani yetu"- amesema Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo Octoba 4, 2025 Mkuu wa wilaya...
  14. R

    GE2025 Mgombea Ubunge (CCM) Kigoma Kusini, Nuru Kashakari aahidi kujenga kituo cha Afya kwa fedha zake mwenyewe ndani ya miezi 6 akipewa ridhaa

    Mgombea ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kigoma Kusini, Nuru Kashakari (Kandahari), ameahidi kujenga kituo cha afya ndani ya miezi sita baada ya kuapishwa, akitumia fedha zake binafsi, ili kusogeza huduma za afya karibu na wananchi ambao kwa sasa wanalazimika kusafiri zaidi ya saa...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Mwenye taarifa ni wapi leo mgombea urais CCM anafanya kampeni zake mbona kimya?

    Wakuu, sasa hivi ni saa 4 asubuhi lakini sioni chochote kinachoendelea. Je, CCM wamemaliza kampeni zao pale Babati, Manyara? Au kile kikao cha dharura cha Halmashauri Kuu ya CCM kimeathiri mwenendo wa kampeni? Naomba ufafanuzi.
  16. R

    GE2025 Kiliba: Kuna watu wanaamini ili waingie Madarakani wanapaswa kuwavuruga Watanzania, Tusiingie mkenge kuvuruga nchi yetu

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu nchini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe, Geofrey Kiliba, amesema kuwa mwezi wa Oktoba ni kipindi muhimu mno kwa Watanzania kuungana na kushikamana kwa dhati ili kuonesha mshikamano wa kitaifa na kuendeleza amani. Kiliba...
  17. R

    GE2025 Baba Levo: Madaktari bingwa zaidi ya 100 kutoa huduma bure Kigoma Mjini, ni wazi wameona Rais Samia anavyopambania afya za watanzania

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Clayton Chipando Maarufu Baba Levo ametoa ufafanuzi kuwa siku ya tarehe 11 na tarehe 12 Oktoba 2025 Jimbo la Kigoma Mjini linatarajia kupokea Ugeni Mkubwa wa madaktari Bingwa ambao watatoa huduma ya matibabu Madaktari hao...
  18. R

    GE2025 Sheikh: Itakuwaje Rais wa nchi anaulizwa kuhusu raia wake?, usigombee uongozi kama wewe si Muadilifu ama chama chako kina sera na ilani zinazodhulumu

    "Itakuwaje Rais wa nchi anaulizwa kuhusiana na raia wake atakwenda lini peponi huyu maana yake ana maswali ambayo ya madhambi yake mwenyewe hajayamaliza anaulizwa kuhusu watu wewe ulikuwa ikulu kuna watu kule majangwani, maporini kulikuwa kunatendeka hivi na hivi na wewe ndiye mtawala...
  19. DuaZaMama

    GE2025 CHADEMA kanda ya kati yalaani utekaji wa kiongozi wa kata ya Ikungi na mwendesha Bodaboda

    TAARIFA KWA UMMA Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati tunatoa taarifa kwa umma na kulaani kitendo cha utekaji wa kiongozi wa kata ya Ikungi anayejulikana kwa jina la Issa Hamis Kaudo na kijana wa boda boda Ndugu Paul Veslas. Jana tarehe 03.10.2025 mnamo saa 12 jioni Issa...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Majeshi nchini waendelea na mazoezi ya pamoja kujiandaa na uchaguzi mkuu

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limeandaa mazoezi ya pamoja ya utayari kwa kushirikiana na vyombo vyote vya ulinzi na usalama mkoani humo. Mazoezi hayo yalilenga kuimarisha mshikamano, mawasiliano, na uwezo wa pamoja katika kutekeleza majukumu ya kulinda raia na mali zao.
Back
Top Bottom