Mgombea urais Kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan amesema jambo muhimu ni kuheshimisha jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania ndani na nje ya nchi tunaheshimisha nchi yetu kwa kuleta amani, kufanya chaguzi bila matatizo bila mavurugu, kufuata sheria zetu wenyewe, na kufuata...
Mgombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini Paul Christian Makonda amesema kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) hakitakubali katiba ivunjwe kwa kutofanya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Ameongeza kwa kuwataka wananchi kudumisha amani kwakuwa hakuna Tanzania nyingine na kwamba wote wanaohamasisha uvunjifu wa...
Mgombea ubunge jimbo la Buchosa Eric Shigongo amewaambia watu wa Sengerema kuwa CCM ni chama namba 9 kwa ukubwa duniani, ikiwa hii ndio sababu ya watanzania wanapaswa kukiamini CCM.
Ameyasema hayo leo Oktoba 07, 2025 akiwa katika mkutano wa kampeni wa chama hicho Sengerema mkoani Mwanza.
Vituko vinaendelea, hivi sasa tumefika kituo cha Kigoma Mjini kwa ACT- Wazalendo tukielekea kutiki CCM :Alien: :Alien: :Alien:
------------
Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo kutoka Kata ya Majengo, Kigoma Mjini, ameahidi kupiga kura zote tatu kwa maana ya kura ya Diwani, Mbunge na Rais kwa...
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Samia Suluhu kwenye kampeni zake huko Buhongwa, Mwanza amesema, "CCM inaomba mtupe kazi, tukafanye kazi, tujenge utu wa Mtanzania, tuuheshimishe utu wa Mtanzania, na tuulinde utu wa Mtanzania."
"Hatuwezi kuwa taifa la watu ambao mtu anayesema serikali vibaya anaonekana shujaa, vijana ni sikilizeni nyie ni Asilimia 75 ya watu wote katika nchi hii, nendeni kwenye mitandao mkatetee ukweli mazuri yaliyofanywa na serikali yetu," Eric Shigongo mgombea Ubunge Jimbo la Buchosa akizungumza...
Viongozi wa dini mkoani Mwanza wameitaka Serikali kuacha kupuuza maoni yanayotolewa na viongozi wa dini na badala yake kuyafanyia kazi, ili amani na usalama viendelee kudumu nchini
Wakizungumza katika mdahalo wa viongozi wa dini ulioratibiwa na Shirika la Ladies Joint Forum kuhusu umuhimu wa...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali itaangalia uwezekano wa kujenga gati au kuchimba sehemu maalum ya bandari katika Kisiwa cha Kojani ili kurahisisha huduma ya boti ya wagonjwa kufanya kazi saa 24 bila vikwazo.
Akizungumza na...
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wananchi kuwapuuza wanasiasa wasiohubiri amani, akisisitiza kuwa amani ndiyo nguzo kuu ya maendeleo ya Taifa...
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama hicho kitafanya kampeni katika kila kona ya nchi endapo Mahakama Kuu itatoa maamuzi yatakayoruhusu Luhaga Mpina kugombea urais kwa tiketi ya chama hicho
Akizungumza Oktoba 6, 2025 katika mkutano wa...
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Vijana na Wanawake (TAFEYOCO), Elvis Makumbo, amewashauri vijana kulinda amani iliyopo nchini na kuepuka vishawishi vilivyopo kwenye mitandao ya kijamii, vinavyoweza kusababisha uvunjifu wa amani nchini.
“kwa hiyo wanahamasisha baadhi ya watu ikiwezekana hata...
Mgombea wa nafasi ya Rais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni tarehe 07 Oktoba, 2025 katika Kata ya Buhongwa, Wilaya ya Nyamagana, Mkoa wa Mwanza amewataka Mabalozi wahakikisheni Wananchi wote walioandikishwa wanapiga Kura siku ya Uchaguzi Oktoba...
Hii leo Mgombea wa urais kupitia CCM ametua mwanza na ndege ya nchi, Naomba kufahau hii ndege ilikuwa na safari ya kwenda Mwanza kukiwa na abiria wengine au yeye binafsi na wafuasi wake? hii ni aibu sana unatumiaje ndege ya nchi kwenye kampeni za chama? watanzania tuamke usingizini tunapigwa...
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi amekabidhi Boti ya kisasa ya kuwabebea wagonjwa kwa wakazi wa Kisiwa cha Kojani kilichopo Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imefanya marekebisho ya takwimu za wapiga kura na vituo vya kupigia kura vitakavyotumika katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, baada ya kupokea taarifa rasmi kutoka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo, Oktoba 7, 2025, na...
Kwani ile Mikutano ya CCM huwa haitoshi Mgombea wao kujieleza Kuomba Kura kwa Wananchi, au ndo wanajishtukia kuwa sera zao hazina mvuto na ni za uongo
Arusha ndo hata hawaelewi Mgommbea wao yupo Mwanza anazurura badala ya kubaki kwa wananchi wake kunadi sera zake
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kakonko kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Damas Philbert Damas, amemuombea kura mgombea ubunge mwenzake wa chama cha ACT Wazalendo wa jimbo hilohilo, Olaf Kaboboye, katika tukio lililofanyika Kata ya Katanga, Wilaya ya Kakonko, mkoani Kigoma
Tukio hilo lilitokea...
Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa, Tundu Lissu
Waheshimiwa Majaji jana mliotoa order ya watu kuingia mahakamani kama sheria inavyosema na kama mlivyoelekeza. Mimi nilileta majina na mmoja wa watu wanaotakiwa kuingia ni mgeni wangu kutoka nje. Naambiwa amezuiliwa na uhamiaji hapa mlango wa mahakama...
Askofu Bagonza ameeleza kuwa waamini wanapaswa kuomba ili taifa lipate viongozi wen hekima kuliko wenye kiburi cha madaraka
"Tuombee hekima kuliko kiburi cha madaraka ambacho kiburi cha madaraka kinaleta uharibifu hakileti ustawi wa wati wake" - Askofu Bagonza
Askofu wa Dayosisi ya kKKT Karagwe, Askofu Bagonza akizungumza katika misa ya uzinduzi wa Sharika mpya katika Jimbo la Ihembe amewataka waaamini kuendelea kumuomba Mungu katika uchaguzi huu ili kupata amani itakayoletwa na haki na si virungu, mabomu wala bunduki.
"Tumuombe Mungu ili haki ilete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.