uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 CHADEMA: Wananchi 16 wajeruhiwa kwa vipigo vya Polisi wakifuatilia kesi ya Tundu Lissu

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Wanachama wake kadhaa leo wamepigwa na Polisi wakati walipofika Mahakama kuu asubuhi ili kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu. Pia Soma: CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika...
  2. Inside10

    GE2025 Mgombea Urais Zanzibar Kupitia ACT, Othman Masoud kujuimuisha WALIMU WA MADRASA Katika Mfumo wa Malipo ya Serikali

    Nitaweka historia mpya kwa kuwajumuisha walimu wa madrasa katika mfumo wa malipo ya Serikali, kuwapa mishahara, bima ya afya na hifadhi ya jamii. Walimu hawa ndio msingi wa maadili, dini na malezi ya taifa, hivyo lazima wapewe heshima na thamani yao. Serikali isiyowajali wao ni Serikali...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Makonda: Sisi tunasaka dola, sio jukumu letu kujua tunashindana na nani?

    Soma pia: Prof. Kitila: Tanzania ni Nchi ya Vyama vingi, tunashindana na Vyama 17
  4. R

    GE2025 Polepole: Kuna jitihada zinaendelea ili kunyamazisha wanaopiga kelele juu ya wizi, ufisadi na rushwa lakini hakuna anaehangaika na Mwizi

    Akizungumza kwa njia ya mtandao Oktoba 5, 2025 , Humphrey Polepole alieleza mambo yanayoendelea nchini kuwa kuna watu wanaopiga kelele kuhusiana na wizi, ufisadi, rushwa, dhuluma, ujambazi na magenge ya kiuhalifu ya kimafia kama CCM Mtandao huku kukiwepo jitihada za kunyamazisha wale wanaopiga...
  5. mwanamwana

    GE2025 Humphrey Polepole: Waandishi waandamizi walipewa mlungula na Serikali siku ya tuzo za 'Samia Kalamu', na umeanza kufanya kazi kwenye uchaguzi

    Humphrey Polepole akizungumza na wananchi kupitia mitandao ya kijamii ameweka wazi kuwa waandishi waandamani wengi wamepewa mlungula na Serikali ili wasiongee mambo ya msingi, akitolea mfano kwenye hafla ya tuzo za ''Samia Kalamu'' kuwa Serikali ilitoa mlungula hadharani kinyume na matumizi ya...
  6. Waufukweni

    GE2025 Polepole: Samia alimweka pembeni Nchimbi akatishwa na CCM mtandao, ''Ukimtoa huyu na wewe unaondoka''

    Polepole Septemba 30, 2025 aliendelea kusisitiza kuwa uteuzi wa Dkt. Nchimbi kama mgombea mwenza wa Rais Samia, ulikumbwa na kashikashi ambazo zilipelekea kutaka kumtoa. Lakini wale anaowaita CCM mtandao walimtisha mama Samia kuwa hatakiwi kumtoa Emmanueli Nchimbi. Polepole anasisitiza kuwa...
  7. TODAYS

    GE2025 Ombi: JWTZ tunaomba muingilie kati kinachoendelea nchini

    Sina maneno mengi. Jeshi la Wananchi wa Tanzania nyie ndiyo wenye last action juu ya ulinzi wa kila kitu kilichopo ndani ya nchi hii, chini majini au juu ya uso wa dunia ndani ya mipaka ya taifa letu. Inafahamika, nyie hamuegemei popote. Ila kwa wanayoendelea sasa hakika kwa heshima na...
  8. mwanamwana

    GE2025 Polepole: Vyombo vikubwa vya Habari vimepewa vitisho na TCRA kutozungumzia mambo ya msingi kwenye uchaguzi

    Akiongea na wananchi kupitia mitandao ya kijamii, Humphrey Polepole amesema vyombo vikubwa vya habari vimetishwa na kupigwa marufuku kuzungumza mambo ya msingi kwenye kampeni na uchaguzi. Amesema vyombo vyote vinavyopigwa onyo na TCRA vimekuwa vikimpa taarifa. Ameongeza kuwa TCRA inatakiwa...
  9. Waufukweni

    GE2025 Polepole: Nipo hapahapa Bongo lakini sitaonekana kwenye kituo cha kupiga Kura

    Akizungumza kwa njia ya mtandao Septemba 30, 2025, Humphrey Polepole alithibitisha kuwa yupo nchini Tanzania, lakini hatoonekana kwenye kituo chochote cha kupiga Kura, akisisitiza kuwa hakuna uchaguzi bila muafaka wa kitaifa kwanza.
  10. Waufukweni

    Tundu Lissu afikishwa mahakamani kuendelea na kesi ya uhaini

    Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu leo Jumatatu, Oktoba 6, 2025, amefikishwa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam ambapo kesi yake ya uhaini inayomkabili itaanza usikilizwaji kamili wa kesi hiyo. Soma: CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika...
  11. R

    GE2025 Mwenyekiti UVCCM Geita: Vijana Geita wana imani na Rais Samia, Kuna baadhi ya wahuni wanataka kuandamana Oktoba 29

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo,amewahimiza wananchi kupiga kura, Oktoba 29 Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Bukoli, Magambo amesema vijana wa Mkoa wa Geita wamejipanga kwa ajili ya kwenda kupiga kura kwa amani...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Mwananchi: Ikitokea CCM imeshinda mtafute nchi za kwenda

    Mzee huyu ameonyesha huruma kwa vijana wanaopanga wakingoja tarehe 29 kwa hamu, akiwashauri kujiandaa kutafuta njia mbadala endapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitashinda uchaguzi. Akizungumza katikati ya vuguvugu la maandalizi ya maandamano, mzee huyu anawaasa vijana wanaopanga kuandamana...
  13. Waufukweni

    GE2025 Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi Mahakama Kuu, Kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu

    Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi leo Jumatatu, Oktoba 6, 2025, katika viunga vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, wakati kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu kusikilizwa leo. Soma: CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika Mahakamani kufuatilia Kesi ya uhaini ya...
  14. DuaZaMama

    GE2025 Wawakilishi wa Marekani na New Zealand wazuiliwa kuingia kwenye kesi ya Tundu Lissu

    Leo Oktoba 6, 2025 katika mwendelezo wa usikilizaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, Jeshi la Polisi limewazuia, Mwakilishi wa Balozi wa Marekani na Mwakilishi kutoka Newsland kuingia ndani ya mahakama kwenye kesi ya Mh. Tundu Lissu. Soma CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi...
  15. R

    GE2025 Mwananchi Kigoma: Kuna viongozi walipita na elimu zao na hatukufaidika, Tunamtaka Baba Levo

    Kigoma kunazidi kuchangamka leo wananchi wanataka kumpeleka chawa bungeni baadae watalia hela zote za miradi zikipelekwa kwenye kujenga Maghorofa ya Baba Levo :Alien: :Alien: :Alien: :Alien: ------------ "Kuna watu wamekaa kwenye madaraka zaidi ya miaka 10 hadi 15 na wamesoma lakini...
  16. R

    GE2025 Mgombea ubunge Mkinga, Twaha Mwakioja: Natambua hakuna umeme, kama Ilani ya CCM inavyoelekeza ndani ya miezi 3 tutawasha umeme

    Mgombea ubunge wa Mkinga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Twaha Mwakioja amewaahidi wananchi iwapo wakimpa ridhaa ya kuliongoza jimbo hilo, atatatua kero ya umeme kwa baadhi ya vijiji ndani ya miezi mitatu Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Mayomboni wilayani...
  17. Waufukweni

    GE2025 CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika Mahakamani kufuatilia Kesi ya uhaini ya Lissu, kadhaa wajeruhiwa

    Leo Oktoba 6, 2025 katika mwendelezo wa usikilizaji wa kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu, Jeshi la Polisi limewatawanya wananchi waliokusanyika Mahakamani kwa kuwapiga na kutumia nguvu, huku watu kumi pekee wakiruhusiwa kuingia ukumbini kwa madai kuwa umejaa. Soma: Kesi ya Uhaini...
  18. R

    GE2025 Pof. Lipumba: Tuliamua kushiriki uchaguzi kuonyesha uzalendo, Rais Samia waambie vyombo vyako kura zihesabiwe kama zilivyopigwa na wananchi

    Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amesema Chama chao kiliamua kushiriki Uchaguzi Mkuu ili kuonyesha uzalendo na kudumisha amani na mshikamano kama Taifa moja Prof. Lipumba amesema hayo Oktoba 5, 2025 kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la...
  19. N

    GE2025 Kesi ya Uhaini inayomkabili Lissu kuendelea leo kwa kusikilizwa mfululizo hadi Oktoba 24, 2025

    Kesi ya uhaini, Jamhuri dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu A. Lissu inatarajiwa kusikilizwa mfululizo kuanzia Jumatatu, saa 4 asubuhi 06.10.2025 hadi 24.10.2025 na kuendelea kuanzia 03.11.2025 hadi 12.11.2025. Kesi itasikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam...
  20. McLaren

    GE2025 Mzee Butiku amjibu Kapteni Tesha: Yeye sio askari na kama ni askari atakuwa na jeshi lake jingine

    Wakuu, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF), Joseph Butiku, amewataka Watanzania kupuuza taarifa zilizotolewa jana Oktoba 4, na mtu aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), aliyetoa wito wa jeshi kuchukua hatua dhidi ya Serikali. "Nilimuona ana ndevu...
Back
Top Bottom