uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mavunde: Ni bora wanichukie leo, wanikumbuke kesho

    Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, amesema atasimamia kuvunjwa soko la Sabasaba na kujengwa upya, akisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kuboresha mazingira ya wafanyabiashara na kulipa sura mpya ya kisasa. “Niliposema tunalivunja soko la...
  2. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mavunde: Kura ya ndiyo kwa Samia ndiyo mwendelezo wa mambo mazuri tuliyoanza kuyaona Mtumba

    Mgombea Ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuhakikisha wanampigia kura, mgombea urais kupitia chama hicho, Samia Suluhu Hassan ili kumwezesha kuendelea kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisema ndiye...
  3. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mavunde: Lengo langu ni kuhakikisha mtoto wa Mtumba anasoma mazingira bora, bila mzazi kubebeshwa mzigo

    Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, ameahidi kuboresha sekta ya elimu kwa kuanzisha mpango wa kufuta michango kwa wazazi kuchangia mitihani ya wanafunzi. “Lengo langu ni kuhakikisha mtoto wa Mtumba anasoma mazingira bora, bila mzazi...
  4. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwinyi: Serikali imejipanga kuendelea kuimarisha miundombinu na ustawi wa wananchi wa Unguja na Pemba

    Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea kuimarisha miundombinu na ustawi wa wananchi wa Unguja na Pemba, kwa misingi ya umoja...
  5. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kasesela: Ukichukua maoni ya mtandao ukageuza ndiyo maoni ya taifa unajisumbua

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Richard Kasesela ametoa wito kwa watu kutotafsiri maoni ya mtandaoni kama ndiyo maoni ya taifa zima. Haya ameyasema baada ya kuulizwa juu ya uwepo wa maoni hasi(negative comments) kwenye baadhi ya machapisho yanayohusu vifo vya makada wa CCM. "ukichukua...
  6. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Special thread: yanayojiri mgogoro wa Tanzania na wananchi wake kuelekea uchaguzi wa tarehe 29:10:2025

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Uzi huu ni kwa ajili ya yanayojiri Tanzania baina ya mtawala mmoja na wananchi wake ambao hawataki kumpigia kura lakini yeye anasema lazima watu wamchague watake wasitake Endelea kufuatilia update Asante sana SAYUNI BOY
  7. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hemed: Kijana yeyote atakayetoka jimbo la Kiwani, atakapokwenda kusoma kokote duniani, tutamfuatilia

    Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Kiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema ataendelea kusimamia kwa karibu maendeleo ya vijana wa jimbo hilo, hasa katika...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Nchimbi: Majeshi yetu ni imara kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu

    Mmemsikia Nchimbi! Akiendelea kufanya unafiki wake! ================== “Katika kipindi cha miaka hii minne na nusu, serikali ya CCM imeweza kusimamia usalama na amani ya nchi yetu. Imeimarisha vyombo vya ulinzi kwa kuongeza idadi ya waajiriwa wapya, mafunzo, vitendea kazi na mbinu za kivita. Leo...
  9. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania GE2025 Umejiandaaje Tarehe 29 Oktoba?

    Umejiandaaje na siku ya Uchaguzi Tar 29 Oct. Maana Hakuna mtandao wa simu utafanya kazi. Utasema unatumia VPN. Ila vpn bila data ni bure. Kwahiyo watazima internet. Watafinya calls na sms. Kwahiyo call drops zitakuwa za kutosha. Kwahiyo No internet. Call drops za kutosha . Tigopesa, Mpesa na...
  10. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mpina: Taifa linahitaji viongozi aina yangu

    Mwanachama wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema matamanio yake makuu ni kuona anaruhusiwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuonesha utofauti wa kampeni baina ya vyama vingine na kutimiza kusudio lake la kuongoza nchi baada ya kushinda uchaguzi, akibainisha kuwa Taifa...
  11. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Iringa: TAKUKURU yazungumza na Wazee wa Kimila kuhusu Kuzuia Rushwa katika Uchaguzi

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Iringa imekutana na Baraza la Mila na Desturi la Wazee wa mkoa huo kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua na kufichua vitendo vya rushwa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao. Lengo kuu ni kuwawezesha wazee hao kuwa walinzi wa maadili ya...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hukumu ya kesi ya Mpina dhidi ya INEC kusomwa Oktoba 10, 2025

    Hukumu ya kesi ya Luhaga Mpina dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) itasomwa Oktoba 10,2025. Kesi hiyo namba 23617, ipo mbele ya majaji watatu wakiongozwa na Frederick Manyanda , Abdallah Gonzi na Sylvester Kainda. Leo Jumatatu Oktoba 6,2025 Mpina amefika mahakamani akiongozana na...
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Heche: Wanaofanya haya kuna siku watalipa gharama

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeo Bara John Heche amefika hospitali ya Mnazi Mmoja kuwajulia hali wanaodaiwa kupigwa na Jeshi la Polisi katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Baada ya kuwajulia hali Heche amezungumza na baadhi ya viongozi waliokuwa hapo...
  14. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Wananchi Mnaweza kuiondoa CCM Madarakani

    CCM inang'ang'ania madarakani, haitaki kutoka jumlajumla, nyinyi wananchi mnaweza kuiondoa CCM rejareja kwa kuanza na wabunge. Geuzeni uchaguzi huu kuwa ni kura ya maoni, kura ya kutokuwa na imani na CCM kwa kuwachagua wabunge wa ACT Wazalendo, na kule kwenye udiwani madiwani wa ACT Wazalendo"...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA: Wananchi 16 wajeruhiwa kwa vipigo vya Polisi wakifuatilia kesi ya Tundu Lissu

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Wanachama wake kadhaa leo wamepigwa na Polisi wakati walipofika Mahakama kuu asubuhi ili kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu. Pia Soma: CHADEMA: Polisi wawatawanya Wananchi waliofika...
  16. Inside10

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais Zanzibar Kupitia ACT, Othman Masoud kujuimuisha WALIMU WA MADRASA Katika Mfumo wa Malipo ya Serikali

    Nitaweka historia mpya kwa kuwajumuisha walimu wa madrasa katika mfumo wa malipo ya Serikali, kuwapa mishahara, bima ya afya na hifadhi ya jamii. Walimu hawa ndio msingi wa maadili, dini na malezi ya taifa, hivyo lazima wapewe heshima na thamani yao. Serikali isiyowajali wao ni Serikali...
  17. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Makonda: Sisi tunasaka dola, sio jukumu letu kujua tunashindana na nani?

    Soma pia: Prof. Kitila: Tanzania ni Nchi ya Vyama vingi, tunashindana na Vyama 17
  18. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Kuna jitihada zinaendelea ili kunyamazisha wanaopiga kelele juu ya wizi, ufisadi na rushwa lakini hakuna anaehangaika na Mwizi

    Akizungumza kwa njia ya mtandao Oktoba 5, 2025 , Humphrey Polepole alieleza mambo yanayoendelea nchini kuwa kuna watu wanaopiga kelele kuhusiana na wizi, ufisadi, rushwa, dhuluma, ujambazi na magenge ya kiuhalifu ya kimafia kama CCM Mtandao huku kukiwepo jitihada za kunyamazisha wale wanaopiga...
  19. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole: Waandishi waandamizi walipewa mlungula na Serikali siku ya tuzo za 'Samia Kalamu', na umeanza kufanya kazi kwenye uchaguzi

    Humphrey Polepole akizungumza na wananchi kupitia mitandao ya kijamii ameweka wazi kuwa waandishi waandamani wengi wamepewa mlungula na Serikali ili wasiongee mambo ya msingi, akitolea mfano kwenye hafla ya tuzo za ''Samia Kalamu'' kuwa Serikali ilitoa mlungula hadharani kinyume na matumizi ya...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Samia alimweka pembeni Nchimbi akatishwa na CCM mtandao, ''Ukimtoa huyu na wewe unaondoka''

    Polepole Septemba 30, 2025 aliendelea kusisitiza kuwa uteuzi wa Dkt. Nchimbi kama mgombea mwenza wa Rais Samia, ulikumbwa na kashikashi ambazo zilipelekea kutaka kumtoa. Lakini wale anaowaita CCM mtandao walimtisha mama Samia kuwa hatakiwi kumtoa Emmanueli Nchimbi. Polepole anasisitiza kuwa...
Back
Top Bottom