uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 Mwinyi aahidi kutoa hati za mashamba ya karafuu kwa wananchi endapo atakuwa Rais

    Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema uamuzi wa Serikali kutoa hati za mashamba ya karafuu kwa wananchi ni sehemu ya mkakati maalum wa kuhakikisha zao hilo linaendelea kuwa nguzo kuu ya uchumi wa Zanzibar. Amesema Serikali imefanya tathmini ya kina kubaini njia bora ya kuwakabidhi...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Makonda: Kikundi kilichomtukana Magufuli ndio hicho kinamtukana Samia, 'mimi ni size yenu' njooni tupambane

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Poul Makonda amesema kuwa kikundi kilichokuwa kinamtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wa awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Maguli wakati anapambania uhai wake ndio hao hao wanaomtukana Mgombea wa Urais Kwa Tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Damas Kamani: Oktoba 29 ni vita ya uzuri dhidi ya ubaya, vijana tutapambana

    Mbunge mteule wa Viti Maalumu kupitia kundi la Vijana, Ng’asi Damas Kamani, amempongeza Mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa hatua kubwa alizochukua katika kutatua changamoto za vijana nchini, hususan katika sekta za ajira, elimu, na uwezeshaji kiuchumi...
  4. Its Tesha

    GE2025 Kawaida: Polepole ameamua kuichezesha familia, madai ya kutekwa ni kuishiwa mbinu za kuichafua dola

    Ameandika Chawa wa CCM na Mwenyekiti umoja wa vijana wa UVCCM Mohamed Kawaida Kupitia ukurasa wake wa Instagram. My take Taifa lina kijana kama huyu ambaye uwezo wake wakufikiria umeishia hapa hakika mwisho wake sio mzuri. "Inaelekea Polepole ameamua kuichezesha familia yake filamu...
  5. PAYE

    GE2025 Wanu Ameir: Samia ni mwanamke shupavu

    Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Makunduchi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wanu Hafidh Ameir, amesema uamuzi wa Chama cha ACT Wazalendo kutoweka mgombea wa urais mwaka huu ni ishara tosha ya kutambua kazi kubwa inayofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amethibitisha kuwa ni mwanamke...
  6. L

    GE2025 Rais Samia Kuitetemesha Mwanza Mjini Leo. Hotuba yake kuisimamisha Nchi

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Mgombea Urais Kupitia CCM anatarajiwa kutua ndani ya Mwanza Mjini kwa ajili ya kufanya mkutano mkubwa wa kampeni. Ambapo mpaka sasa Mwanza Mjini imesimama na...
  7. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Tukishinda uchaguzi, tufanye bonge la party

    Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na makundi ya vijana wa CCM kisiwani Pemba katika Mkutano huo wa kampeni uliofanyika Ukumbi wa Mikutano Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, Oktoba 7, 2025 na kuwaambia "Tukishindi uchaguzi, tufanye bonge la party" Soma...
  8. baz kaiza

    GE2025 Rais nataka nikuombee kura hapa Jamii Forums. Lakini nami nina Maombi yangu kwako

    Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Amirijeshi mkuu. Naomba nikuombee kura hapa Jamii Forums hii ni platform kubwa huwezi kuimbeza. Ila na mimi nina Maombi yangu kwako Mama kama manne hivi maana ninachokiomba kiko ndani ya Uwezo wako. Mama kama unakumbuka kuna kipindi mitandao...
  9. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Kwenye Kampeni huwasikii wenzetu akihubiri amani, unasikia siasa za Chuki, Uongo na Ubaguzi

    Mgombea wa Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipokutana na makundi ya vijana wa CCM kisiwani Pemba, katika mwendelezo wa mikutano yake ya kampeni, hafla iliyofanyika...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea ubunge CUF Siha auawa kinyama katika ugomvi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limesema linafanya uchunguzi tukio la kuuawa kwa Daud Mtuyehabi, aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia Chama cha Wananchi (CUF) Jimbo la Siha. Tukio la kujichukulia sheria mkononi limetokea Oktoba 7, 2025 majira ya saa 1:30 usiku katika Kijiji cha Kilingi, baada...
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Sina mashaka kuwa kuelekea uchaguzi mitandao ya kijamii itakuwa haifanyi kazi. Wafundisheni wa Tz namna ya kutumia VPN kwa wingi kwa mfano huu

    Nimeitoa Facebook nikaona ni vyema kushirikiana nanyi na wajuvi wa mambo (seniors) ili mtuelekeze zaidi. Kama hukuwahi kufahamu VPN ni nini na inafanyaje kazi, basi hebu nikufahamishe. Kwa miaka ya karibuni Tanzania kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu matumizi ya VPN. Sasa leo ngoja nikueleze...
  12. Mafyangula

    GE2025 Kitila azisaka kura, bila kujali mvua ilikuwa ikinyesha leo Dar

    Muda huu hata wakiambiwa na wananchi walale chini kwenye tope ili wapate kura watalala tu! ============== Leo Oktoba 7, 2025 Mgombea Ubunge wa jimbo la Ubungo Professa Kitila Mkumbo ameendelea na kampeni zake za nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa katika mtaa wa Kimara Baruti uliopo kata ya Kimara...
  13. Mafyangula

    GE2025 Ismail Jussa alalamikia utozaji Kodi wenye kuumiza Wananchi Zanzibar

    Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Meneja wa Kampeni wa Mgombea huyo Ismail Jussa Ladhu, amesema shida kubwa sana ya wananchi kukamuliwa katika kodi mbali mbali hapa Zanzibar ambapo amesema wenye vyombo vya moto wametakiwa wakasajili vyombo vyao na kuendelea kukamuliwa wakati watu ni...
  14. K

    GE2025 Hakuna wakati sahihi zaidi kuliko huu wa Oktoba kwa waTanzania kubadili mwelekeo wa taifa letu

    WaTanzania hawataweza kubadili mwelekeo wa taifa lao kupitia kwenye sanduku la kura tarehe 29 Oktoba; kwa sababu wamenyimwa HAKI hiyo. Kwenda kupiga kura vituoni siku hiyo ni kwenda kuhalalisha tu mipango haramu ya kuendeleza utawala uliopo madarakani sasa hivi. Nafasi pekee waliyo baki nayo...
  15. Mafyangula

    GE2025 Golugwa awaka vikali wanachadema waliopigwa na polisi mahakamani. Endelea kuja kusikiliza kesi ya Lissu

    Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Aman Golugwa akiongea na Wanahabari leo Oktoba 07, 2025 nje ya Mahakama Kuu kanda ya Dar Es Salaam amewasihi wananchi na wananchama wa chama hicho kujitokeza kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wao wa Taifa, Tundu Lissu. Sambamba na hilo Golugwa awaonyesha...
  16. Mafyangula

    GE2025 Mwananchi: Oktoba mwaka huu, jitokezeni kwa wingi kupiga kura na kuchagua viongozi wanaofaa

    Ujumbe wangu kwa vijana na Watanzania wote: Oktoba mwaka huu, jitokezeni kwa wingi kupiga kura na kuchagua viongozi wanaofaa. Lakini muhimu zaidi, amani yetu ni kipaumbele kuliko yote.”—Mwananchi mzalendo
  17. Mafyangula

    GE2025 Mhandisi Kija Limbu aahidi kukamilisha Zahanati ya Kageye Baada ya Mkandarasi Kufukuzwa

    Mgombea Ubunge Jimbo la Katoro kupitia chama Cha Mapinduzi CCM Mhandisi Kija Limbu Ntemi, amewahakikishia wananchi wa kijiji Cha Kageye, Kata ya Nyachiluluma kuwajengea zahanati ambayo Mkandarasi wake alifukuzwa kwa kushindwa kutekeleza mradi huo. Mhandisi Ntemi ametoa kauli hiyo kwenye...
  18. Mafyangula

    GE2025 Dorcus Francis: Wananchi wengi wanataka uchaguzi kufanyika badala ya “No Reform No Election

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Dorcus Francis, amesema wananchi wengi wanataka uchaguzi kufanyika badala ya kauli ya “No Reform No Election.” Akizungumza katika mahojiano na PM TV Tanzania, Dorcus alisema kuwa alipita kaya kwa kaya kuzungumza na...
  19. Mafyangula

    GE2025 Samia: Tutaheshimisha nchi yetu tukiwa na amani, tukifanya uchaguzi bila matatizo

    Akizungumza leo Jumanne, Oktoba 7, 2025, katika Wilaya ya Sengerema, jijini Mwanza, Dkt. Samia amesema: “Tutaheshimisha nchi yetu tukiwa na amani, tukifanya uchaguzi bila matatizo, vurugu au zogo. Tutaheshimisha nchi yetu tukizingatia sheria zetu, tukitafuta haki na kila mtu akapata haki yake.”
  20. PAYE

    GE2025 Makonda: Samia ni Dada wa Hayati Magufuli

    Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekamilisha na anaendelea kutekeleza miradi mbalimbali aliyoachiwa na mtangulizi wake Dk. John Magufuli ikiwamo daraja la Kigongo-Busisi ambalo ni refu zaidi Ukanda wa Afrika...
Back
Top Bottom