Katika pitapita zangu najiuliza mbona hatuoni Mama Samia akiwa na mgombea mwingine wa Urais kutoka upinzani wakijibizana kwa Hoja... Radio, TV, Mitandao Yote ni kumtangaza mgombea Urais mmoja tu...
Nchi yenye wasomi na watu wenye Akili wengi wameshindwa kugombea Urais tukapata wapinzani
Mgombea ubunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Peter Serukamba amesema, Rais Samia Suluhu Hassan alifanya uamuzi sahihi kumteua Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea wake mwenza wa urais.
Serukamba amesema Dk Nchimbi atakuwa msaidizi sahihi wa Rais Samia mara baada ya uchaguzi...
Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo ameahidi kuwa endapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza Taifa, atapitia upya mikataba ya uwekezaji katika sekta ya madini nchini ili kuhakikisha kila Mtanzania ananufaika na uwepo wa rasilimali za madini.
Amesema mchakato huo utafanyika...
Huyu jamaa anaongea kwa vitisho sana! tusubiri tuone nguvu ya wanachi
-==============
Serikali Itahakikisha Tarehe 29 Oktoba Hakuna Mtu Atakayewazuia Watu Kwenda Kutimiza Haki Yao Ya Kupiga Kura.
Msemaji Mkuu Wa Serikali Na Katibu Mkuu Wa Wizara Ya Habari Sanaa Na Michezo Gerson Msigwa...
Dotto hadi sasa hakuna haki yoyote ilifanyika kwenye uchaguzi huu, uchaguzi ambao umeingia doa kubwa hata kwa jiki auwezi kuondoa doa hilo.
Na hao mnaoshindana nao ni CCM B wote so hakuna uchaguzi hapo!
====================
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Bukombe, Dk Dotto Biteko amesema kwa...
Mjumbe wa Halmashauri ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Mbeya, Hassan Jaibu Rashid, amewakumbusha Watanzania kutambua thamani ya amani iliyopo na kuwasihi wale wanaojaribu kuleta uchochezi kupitia mitandao ya kijamii kuacha vitendo hivyo kwani madhara yake ni makubwa.
Rashid...
Mgombea Ubunge Jimbo la Ilemela kupitia Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Shabani Itutu ameitaka Serikali itoke hadharani kukemea matukio ya utekaji yanayoendelea kuripotiwa nchini
Akizungumza na wananchi kwa nyakati tofauti kwenye ziara ya kampeni ya mtaa kwa mtaa katika kata ya...
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo amemnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Welezo, Zanzibar, Bi. Asma Mwinyi, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Hawaii, Jimbo la Welezo, Wilaya ya Magharibi A, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Dkt. Kikwete, ambaye alikuwa mgeni rasmi...
Si walitulikubaliana haitakiwi kuchanganya siasa na dini, imekuaje tena Mchungaji anapiga kampeni kabisa?
Mchungaji Zacharia Samsoni, baada ya kupewa nafasi ya kuombea katika mkutano wa kampeni wa Mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, leo Oktoba...
Abduli Nondo ambaye ni Meneja Kampeni wa Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma mjini, Zitto Kabwe. Amewaomba wananchi kumrejesha bungeni ili akapambane na ufisadi kulingana na historia yake katika kupambana na vitendo hivyo.
Nondo ametoa kauli hiyo wakati akimnadi mgombea huyo katika mkutano wa...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kitaendelea kusimamia ubora wa elimu katika Jimbo la Peramiho na kuongeza miundombinu ya vyumba vya madarasa 255 ili kuwezesha wanafunzi kupata elimu katika mazingira bora zaidi
Hayo yamebainishwa na Mgombea Ubunge Jimbo la Peramiho, Bi. Jenista Mhagama...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Kikwete, amesema serikali ya awamu ya Sita imefanikiwa kufungua milango ya ajira kwa watu wenye ulemavu ambapo zaidi ya watu 1,213 wameajiriwa katika taasisi mbalimbali za umma
Amesema ajira hizo...
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Poul Makonda amesema kuwa wanaombeza Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan watakuwa na Matatizo hata na familia zao
Makonda ameyasema hayo Leo Oct 13,2025 Katika Uwanja wa maonesho wa Dkt. Samia Geita Mjini Mkoani Geita...
Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ameendelea na kampeni zake kwa kuzungumza na wananchi mbalimbali mkoani Geita katika Stendi Kuu ya Mkoa na Kijiwe cha Kahawa akiwahamasisha kumpigia kura Mgombea Urais wa CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan.
Leo Jumatatu...
Mgombea urais kupitia chama C ha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan ameahidi ujenzi wa tawi kama la Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete JKIC mkoani Geita ili kuhakiksha watu wa Geita wanapata matatibu ya moyo bila kutoka nje ya mkoa huo.
Rais Samia ameyasema hayo leo Oktoba 13, 2025 katika...
Mwanasiasa mkongwe na Mbunge wa zamani wa Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amepinga vikali matukio ya utekaji yanayoripotiwa kutokea nchini, akiyataja kuwa ni vitendo vya hovyo na visivyokubalika katika taifa linalothamini haki na utu wa binadamu
Akizungumza...
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Nchini (FEMATA), John Bina, amemwomba mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, kuchukua hatua dhidi ya watu wanaodaiwa kupanga maandamano Oktoba 29, 2025, siku ya Uchaguzi Mkuu.
Bina ametoa kauli hiyo leo, Oktoba 13...
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Cecilia Paresso amewaomba wananchi wa jimbo la Kakonko kumchagua Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kile alichoeleza kuwa mgombea huyo ana sifa zote za kuiongoza nchi.
Paresso ameyasema hayo Oktoba 12 alipokuwa akizungumza na...
Rais wa Wachimbaji wa Madini Tanzania, John Wambura Bina, kwenye mkutano wa kampeni leo Oktoba 13, 2025, Mkoa wa Geita, amependekeza kwamba moja ya madini nchini yabadilishwe jina na yaitwe “Samia Suluhu Hassan” kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuendeleza...
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema vyombo vya dola vimejiandaa kuhakikisha uchaguzi wa Oktoba 29 unafanyika kwa hali ya utulivu, haki na amani huku akiwataka wananchi kujitokeza kwa wingi bila woga kuwachagua viongozi wanaowataka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.