Wakuu,
Watu wanne waliokuwa wanamiliki akaunti za mtandao wa Youtube za Wispoti TV, T.Media Two na Costa Tv wamekamatwa kwa madai ya kuendesha akaunti hizo bila ya kuwa na leseni. Akaunti hizo ni kati ya zile zilikokuwa zikirusha press za Polepole kila alipokuwa akizitoa.
Kumbuka Polepole...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amewahakikishia wazee na wananchi wa mkoa huo kuwa serikali imejipanga vizuri kuhakikisha kuwa siku ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, itafanyika katika mazingira ya amani, utulivu na usalama kwa kila mwananchi.
“Kupiga kura ni haki ya...
Mmegeuza nafasi za kisiasa kama vijiwe rasmi vya kujikusanyia utajiri wa kufuru mkichota kodi za Watanzania masikini kwa faida zenu na familia zenu. Mnafanya haya huku Watanzania tukiishi maisha magumu ya umasikini na tulikosa huduma za msingi kama matibabu hospitalini, maji safi na salama, dawa...
"Wamezuia mgombea wetu na kesho(leo Oktoba 15,2025) tunakwenda mahakamni kupata uamuzi, lakini kwa maamuzi yoyote yale bado nyinyi mna maamuzi ya kufanya."
Aidha amesisitiza endapo Mpina asipopitishwa na Mahakama, wananchi wawachague Wabunge wa ACT Wazalendo "tukipata wabunge wengi ndani ya...
CCM hamna la kuwaambia Watanzania juu ya hili kweli?
Tuliyedhani ni shida kubwa katika kufanya uchaguzi uwe wa Amani, katiwa ndani, hana ushawishi tena
Chama ambacho tulihofia kwamba kitakuwa chanzo cha vurugu katika uchaguzi wetu, kimeminywa kwa namna zote na kila sababu, hakiruhusiwi...
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zubeir Ally, amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani, maadili na ustawi wa jamii, hasa katika kipindi hiki ambapo Taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amewahakikishia wazee na wananchi wa mkoa huo usalama na amani wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025.
Akizungumza katika matembezi ya amani ya wazee wa Arusha, yaliyofanyika kwa ajili ya kuliombea Taifa amani na kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu...
Nimeona mnufaika mmoja wa selikari dhalimu ya Samia akionesha bango kua mama hana deni, maana yake
Huduma za kijamii zote mambo safi na wao "wananchi" Wameridhika.
Sasa swali langu, huyu mama anagombea aende kufanya nini kama ameshakamilisha na hana deni kwa wananchi?
Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba amesisitiza umuhimu wa kila mmoja kuwajibika kulinda amani ya Tanzania, akitaka pia wale wote wenye maoni na hisia tofauti kutumia njia rafiki za kutaka mabadiliko badala ya maneno ya kichochezi na yenye kuhatarisha amani na...
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ukonga kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Bakari Shingo, amevamiwa na kundi la watu vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), tukio lililotokea katika eneo la Pugu Mpakani, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo, ambalo limetokea katika...
Wakuu,
Ikiwa zimebaki siku 15 Watanzania tuamue jinsi tutakavyosonga mbele, bado hakuna anayeweza kusema kwa 95% kuwa jambo fulani ndio litajiri. Wanaoingia kwenye uchaguzi hawana uhakika, kwa upande mwingine mwanga unaonekana ila bado pia kusema kwa for sure jambo litakuwa hivi.
ile tar 29...
Haya sio mawazo yangu, ni mawazo ya mdau mmoja ambaye ni mwanaharakati wa watoto, ameshangazwa na baadhi ya vyama kukusanya watoto kwenye mikutano ya kampeni zao.
Watoto hawa hukusanywa kama mafungu ili kuweka wingi kusikiliza ahadi za wagombea lakini hawana uwezo wa kuuliza maswali wala...
Wazee wa Bukoba mkoani Kagera wamewataka vijana nchini kuilinda amani ya Tanzania na kuepuka kushawishiwa kuingia katika vitendo vya uvunjifu wa amani, hususan katika kipindi hiki cha uchaguzi.
Wazee hao wamesema hawatamani tena kushuhudia machafuko au vurugu nchini, wakieleza kuwa wao kama...
Niwape pongezi ndugu zangu watanzania, kwa uvumilivu, busara na hekima nyingi tulizo barikiwa, hivi karibuni nililala nikaota...!
Nimeota kuwa dunia ipo kwenye kipindi cha mabadiliko hii ni kweli kabisa ni kama vile msimu wa kiangazi, masika nk.
Hivi ndivyo ilivyo kwa msimu tuliopo...
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Awamu ya Sita, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake ya awamu ya sita kwa kushirikiana na ile ya awamu ya tano zimefanikiwa kutekeleza kwa vitendo maono na fikra za Baba wa Taifa...
Mwanamuziki wa Hiphop, Selemani Msindi Afande Sele amewataka Watanzania hususani vijana kuacha kuwa na mihemko ya kushiriki maandamano badala yake washiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa kutoshiriki ni kujinyima haki ya kikatiba.
Akizungumza na JAMBO TV...
Mgombea wa ubunge Jimbo la Uyole, jijini Mbeya, kupitia chama cha CHAUMMA, amekutana na tukio lisilo la kawaida alipokuwa akipita Soko la Uyole kuomba Kura kwa wananchi.
Wakati akikatiza Sokoni hapo, mgombea huyo alimkaribia mama mmoja aliyekuwa akiuza Njegere na kumwomba Kura yake kwa ajili ya...
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa amewasihi Wananchi kutunza amani kwa maslahi ya nchi na vizazi vijavyo ili kuleta maendeleo katika Taifa.
Kamanda Maigwa ameyasema hayo alipokuwa akitoa elimu ya umuhimu wa amani kwa Watumishi wa Serikali na Wananchi katika ukumbi wa...
Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Bariadi vijijini mkoani Simiyu, Masanja Kadogosa amewasisitiza wakazi wa Kata ya Masewa hasa kundi la vijana kulinda amani ya nchi iliyopiganiwa na waasisi wa Taifa la Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abed Amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.