uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Regina Mikenze: Hatutaki kumpoteza kijana hata mmoja katika maandamano, tunawaomba mkaitunze amani ya Tanzania

    Mgombea ubunge viti maalum kupitia CCM, Regina Henry Mikenze, akiwa kwenye kampeni Bukombe, Geita, leo Oktoba 12, 2025, amesema: "Serikali ya Samia imewekeza sana kwa vijana; iwaje leo wakalipize kwa kufanya vurugu katika nchi. Naomba niongee na vijana Wanawake wa Mkoa wa Geita, tunawaomba...
  2. tonicimmobility

    GE2025 TAKUKURU mnasema tumchague mgombea asie toa rushwa na yule asietoa rushwa yupo gerezani, sasa tumchague nani? Hatutaki hizo meseji zenu

    Tuna mgombea aliegawa pikipiki nchi nzima, tuna mgombea aliegawa baiskeli nchi nzima, yupo na mnamuona alafu mnanitumia messeji kwamba rushwa ni adui wa maendeleo, mchague mgombea asietoa rushwa alafu yule asietoa rushwa yupo gerezani sasa nimchague nani? Nyie TAKUKURU hampo serious? Sitaki tena...
  3. PAYE

    GE2025 Samia: Tutafanya utafiti mkubwa wa Madini Mbogwe

    Mgombea wa Urais wa JMT kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema endapo atapewa ridhaa ya kuunda Serikali katika kipindi kijacho cha miaka mitano, moja ya vipaumbele vyake vikuu itakuwa kufanya utafiti mkubwa wa maeneo yenye madini nchini ili kuongeza mchango wa sekta hiyo...
  4. tonicimmobility

    GE2025 Mgombea ubunge wa Chama cha MAKINI Arusha awaonya Heche na Maria

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Makini Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Simon Ngilisho, amewatoa angalizo kali baadhi ya wanasiasa na wanaharakati anaodai kuwa wanatengeneza matukio yenye lengo la kuharibu taswira ya amani ya Tanzania. Soma pia: Mpina...
  5. Waufukweni

    GE2025 Dkt. Malisa awafungulia Kesi Rais Samia na IGP Wambura Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) The Hague

    Aliyekuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Godfrey Malisa, amefungua rasmi kesi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iliyoko The Hague, Uholanzi akiwashitaki Rais Samia Suluhu Hassan na Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Camillus Wambura, kwa madai ya uvunjaji wa haki za...
  6. Mookiesbad98

    GE2025 Mbunge wetu mtarajiwa Godfrey wa kawe

    Pongezi kwako mbunge mtarajiwa tunaomba barabara ziwekwe lami ila kwa kuanzia zichongwe na greda tunakufa na barabara mbovu sana . Wenzetu wote mitaa yao imechongwa hata salasala magengeni amahoro kumechongwa. Maeneo haya ya mbezibeach B hayachongwa kabisa tunashanga tatizo ni nini. Mtafanya...
  7. PAYE

    GE2025 Othman Masoud: Hatuwezi kukubali kupata Rais wa nchi yetu kwa njia za kihuni

    Mgombea wa urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, Jumamosi Oktoba 11,2025 katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyikwa uwanja wa Kivumbi Jimbo la Amani, Mkoa wa Mjini Magharibi ameonya kwa kusema "Hatuwezi kukubali kupata rais wa nchi yetu kwa njia...
  8. B

    GE2025 CCM washughulikiana wenyewe kwa wenyewe kwenye kampeni. Ama kweli washughulikiwe!

    Clip inajieleza wazi: Video hii inaonyesha baadhi ya wanaCCM walifika kwenye moja ya mkutano wa kampeni za mgombea urais wa chama hicho ambaye ni Samia Suluhu Hassan, wakiwa wanafutana kana kwamba walikuwa wagigombania kitu fulani hapo. Hali hiyo ilimfanya rais Samia kutoa maagizo hapo hapo...
  9. W

    GE2025 Heche: Amani haihubiriwi inakuja yenyewe ukitenda haki

    Kupitia ukurasa wake wa X Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche ameandika "Amani haibubiriwi inakuja yenyewe ukitenda haki.. Amani ni mazao ya haki, unakata mti wa haki alafu Unataka Matunda yake ambayo ni Amani!!!! Wewe utakua hauna akili. Mnaongea sana, mtaongea wote lakini bila...
  10. Waufukweni

    GE2025 Baba Levo: Wafuasi wa ACT wameiba mali za CCM, wameharibu bendera, mabango na kuwashambulia Wanachama kwa Mawe

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Baba Levo, amekishutumu chama cha ACT Wazalendo kwa kuonyesha dalili za kushindwa katika uchaguzi, na kujaribu kuvuruga mchakato wa uchaguzi. Katika andiko lake, Baba Levo amedai kwamba wafuasi wa ACT wameiba mali za CCM, kuharibu bendera na mabango ya...
  11. Mafyangula

    GE2025 Samia: Serikali imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kudhibiti mamba

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kwa lengo la kudhibiti mamba ili kuwalinda wananchi wanaotumia ziwa hilo kwa shughuli mbalimbali. Akizungumza leo, Jumanne...
  12. PAYE

    GE2025 Othman Masoud: Viongozi wapimwe kwa wanavyojali wananchi

    Mgombea wa urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amewataka Wazanzibari kuwapima viongozi kwa vigezo mbalimbali ikiwemo kujali maslahi ya wananchi anaowaongoza. “Mkitaka kupima kiongozi, mpime kwa kiasi hicho au kwa vigezo hivyo, maslahi makubwa ya...
  13. Waufukweni

    GE2025 Mchungaji Victoria: Tutapata wapi sadaka mkiandamana? Sisi tunaishi kwa kula sadaka

    "Sisi Tunakula Sadaka, Maisha Yetu ni Sadaka” Mtumishi wa Mungu Mchungaji Victoria Joseph wa Life Center International Bible College pamoja na wengine wamesema kuwa wao kama viongozi wa dini, endapo amani itatoweka kutokana na kelele za mitandaoni, watakosa sadaka. Wakizungumza na waandishi wa...
  14. comrade_kipepe

    GE2025 Namshauri mgombea wa Urais wa CCM afanye haya kwenye miaka Mitano ijayo

    1. Abadili katiba itakayomfanya atawale mpaka azeeke awe kikongwe, maana support hiyo anayo, ili aendelee kutuletea maendeleo. 2. Awatoe wa bara wote waliopo zanzibar, maana hao watu wanadamu yenye unafiki na uoga ili yasije yakawambukiza wazanzibar. 3. Apandishe gharama ya umeme. Unit moja...
  15. PAYE

    GE2025 BAKWATA waelekeza Waumini kufunga kuombea Amani kuanzia Oktoba 23 hadi Matokeo ya Uchaguzi

    Baraza la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Mwanza limewaelekeza waumini wake wa kufunga kwa maombi kuanzia Alhamisi ya Oktoba 23, 2025 hadi siku yatakapotangazwa matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025 na Tume huru ya Taifa ya uchaguzi. Akizungumza wakati wa Kikao cha...
  16. PAYE

    GE2025 Mgombea ubunge Peramiho, Jenista Mhagama avaa Sare za CCM kwenye Ibada ya Ndoa

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama ameahirisha shughuli za kampeni kwa muda wa saa 2 ili kuungana na wananchi wa Kijiji cha Mdunduwalo katika Kata ya Maposeni kushiriki kwenye ibada takatifu ya ndoa ya Bw. Edwin Haule na Maria Bura iliyofanyika katika Parokia ya Mdunduwalo...
  17. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Tutendelea kutoa zana za kisasa kwenye sekta ya uchumi wa buluu

    Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali itaendelea na ujenzi wa miundombinu ya skimu za umwagiliaji maji ili kuongeza uzalishaji wa kilimo cha...
  18. Mafyangula

    GE2025 Salome Makamba: Rais Samia walipotaka kukuchokoza, walishia kwenye mikono ya sheria wanalia wameonewa

    "Mhe. Rais wewe kama uwaridi unayo miba ambayo ni sheria nzuri, kanuni, taratibu, mila na desturi ambapo pale ulipotaka kuonesha waridi lako kwa kuweka 4R walipotaka kukuchokoza waliishia kwenye mikono ya sheria. Wewe kama ua zuri ulipotaka kuweka demokrasoa na uwanja sawa wa siasa wale ndugu...
  19. Its Tesha

    GE2025 Rais FEMATA: Samia ametengeneza mabilionea wengi

    Shirikisho la vyama vya wachimbaji wa madini nchini Tanzamia (FEMATA), lenye wanachama takribani Milioni sita, limeahidi kura zote kwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakishukuru kwa maboresho na uwezeshaji mkubwa wa sekta ya madini pamoja na...
  20. Cute Wife

    GE2025 Polisi wanatroti na kupasha misuli kila siku, wananchi tumeanza mazoezi?

    Wakuu, Safari hii polisi karibu kila siku wanaonekana barabarani wakifanya 'mazoezi' na kujiweka fiti, yote haya ni kujiandaa kukabiliana na wananchi watakaoandamana siku hiyo, pamoja na kuwatisha ofkoz, kuwa msisubutu kwani tutakuwepo barabarani kuwakabili. Wakati polisi wakiendelea na...
Back
Top Bottom