uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Kigaila kuhusu nani aliwagongea muhuri wabunge 19 wa CHADEMA?

    Benson Kigaila (aliyekua Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA), kuwa ni nani aliyewateua wabunge 19 wa viti maalum akiwemo mke wa Kigaila na kugonga muhuri wa chama hicho bila ruhusa ya chama mwaka 2020?
  2. DuaZaMama

    GE2025 Kigaila alipoulizwa kuhusu kwanini wengi waliokimbia CHADEMA kutokuwahi kushinda uchaguzi?

    Majibu ya Naibu katibu mkuu bara wa CHAUMMA na mgombea ubunge jimbo la Kivule Benson Kigaila juu ya wengi waliohama CHADEMA kushindwa katika uchaguzi amesema watulie wasuburi matokeo ya sasa. Kigaila ameyasema hayo wakatia akifanya mahajiano na Wasafi Tv.
  3. R

    GE2025 Ushauri: Uchaguzi upelekwe mbele kwa wiki moja kuepusha vuguvugu la maandamano siku ya uchaguzi

    Salaam! Tukubali, au tukatae, aliyebuni wazi la Kutangaza maandamano siku ya uchaguzi, aliwaza mbali mno, Tunaona hivi sasa Hali ya kuchanganyikiwa kimkakati Katika namna Bora ya kuzuia maandamano wakati huo huo kuondoa hofu ya watu kujitokeza kupiga kura kufanikisha zoezi la uchaguzi. Na...
  4. T

    GE2025 Watanzania tusiandamane nenda ka tick 29 Oct au kaa nyumbani kwa usalama wako

    Ndugu wa Tanzania nchi yetu imetoka safari ndefu sana nchi yetu ina siri nzito na mikakati mizito kule tuna elekea. Tuna Mungu wa wa Tanzania Mungu wa Tanganyika. Naomba niwashauri kwa upendo na kwa unyenyekevu nenda kapige kura kwa amani 29.10.2025 au usiende kupiga kura baki nyumbani au nenda...
  5. R

    GE2025 Mgombea Urais ADA- TADEA: Tunataka Jeshi imara na silaha imara, kila Mkoa Polisi wapewe Helikopta

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha African Democratic Alliance (ADA - TADEA), Georges Bussungu amenadi sera za chama hicho kwa wakazi mkoa wa Tabora, akiahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa nchi na kudhibiti matukio ya uhalifu ikiwemo utekaji kwa kununua...
  6. Waufukweni

    GE2025 Gerson Msigwa: Watu kupotea ni michezo na hii haikuanza leo

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, anasema kumekuwa na michezo ya watu kujifanya wamepotea lakini baada ya uchunguzi wa mamlaka za usalama zinabaini hakuna ukweli ni michezo tu.
  7. Just Pray

    GE2025 Tamko la baraza la maaskofu kupitia kamati ya haki na amani Hali ya nchi juu ya haki ya uhai tunapomkumbuka baba wa taifa 2025

    Askofu Jude Thadeus Ruwa'ichi akizungumza leo Oktoba 14, 2025 katika Misa ya Takatifu ya Hija ya UWAKA kuwategemeza Masista wa Shirika la Dada Wadogo Visiga Pwani, jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam ametoa tamko la baraza la maaskofu kupitia kamati ya haki na amani kuhusu uchaguzi mkuu 2025 na...
  8. Waufukweni

    GE2025 Kigaila: Watanzania wameichoka CCM, naziona dalili za CHAUMMA kushinda urais wa Tanzania

    Benson Kigaila, Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), amesena anaziona dalili za CHAUMMA kushinda urais wa Tanzania kwasababu Watanzania wameichoka CCM
  9. Waufukweni

    GE2025 DCP Misime: Jeshi la Polisi litawalinda wapiga Kura wote Oktoba 29, 2025

    Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amewahakikishia wananchi kuwa jeshi hilo limejipanga kikamilifu kuhakikisha amani na usalama wakati wa uchaguzi mkuu. Amesema wananchi wanapaswa kwenda kupiga kura bila hofu kwani kila hatua ya mchakato imetiliwa mkazo katika kulinda usalama...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Msigwa: Mtu mmoja ana akaunti 100, wamelipwa nimejua ndio maana nafunga Comments

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, kwa sauti ya mamlaka akemea vikali wanaovunja sheria mtandaoni, kwa kuchapisha matusi na jumbe nyingine zisizojenga kwenye jamii.
  11. Cute Wife

    GE2025 DC Magoti anasema tusicheze na serikali, serikali ni kitu kingine! Tunawaambia vitisho vimefika mwisho

    Wakuu, Wameona safari hii wananchi waharudi nyuma, walichobakiza ni vitisho tu, tutawashughulikia, mara mimi ni amiri jeshi mkuu, mara msithubutu....... lakini unajua nini, sasa yamebaki kuwa maneno tu bila uzito wowote! Watanzania wanataka amani ya kweli inayobebwa na haki, wanataka wezi wote...
  12. tonicimmobility

    GE2025 Zitto: Chagueni vijana mahiri wakaitetee Kigoma bungeni

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema mkoa wa kigoma umekuwa nyuma katika shuguli za maendeleo na hata kutetewa kwa wananchi wa mkoa huo kutokana na kukosa viongozi sahihi wa kuongoza mkoa huo. Kauli hiyo ameitoa, Oktoba 13, 2025 wakati wa mkutano wa kampeni...
  13. R

    GE2025 Wenje: CHADEMA kutoshiriki uchaguzi ni hofu ya kushindwa

    Kuhama tu Chama ndo anaanza kutoa na taarifa kuhusu mikakati ya CHADEMA hadharani ----------- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Victoria, Mbunge Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho Ezekia Dibogo Wenje ametangaza kukihama Chama hicho na kujiunga...
  14. Waufukweni

    GE2025 Msigwa akijibu kuhusu Kapteni Tesha: Watanzania tusithubutu kuchokonoa Jeshi la Ulinzi, tusilihusishe na Siasa

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akijibu Kapteni Tesha baadaya video yake kusambaa mitandaoni, amesema, Watanzania tusithubutu kucheza na maswala yanayohusu Jeshi letu la Ulinzi hiki ni chombo chetu nyeti, ndiyo taasisi yetu ya mwisho ya kuhakikisha mipaka yetu, na sisi tuko salama. Soma...
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Balozi Mstaafu Mndolwa: Tunataka hata mtu mwenye 'Masters' akaongoze Kata

    "Tunataka hata sisi mtu mwenye 'Masters' akaongoze Kata, ndio tutakuwa tumefikia kwenye climax ya maendeleo yetu, tusiwe kama kule nyuma kazi fulan Fulani ni za watu wa elimu Fulani"-Balozi Mstaafu Brigedia Jenerali Francis Bernard Mndolwa
  16. funaku

    GE2025 Tuwaepuke Agents of Proxy Wars in Tanzania!

    Kitendo cha kupiga kura oktoba 29 ni jambo muhimu na hatua muhimu ya kuelekea uhuru kamili wa Tanzania. Kwa miaka mingi Africa imekumbwa na migogoro inayosabsbishwa na vita baridi na vita kivuli(proxy war) baina ya mataifa makuu mawili yaani Mmarekani na mrusi. Leo hii ukichunguza kwa kina na...
  17. Mafyangula

    GE2025 Mavunde: Sekta ya madini ya dhahabu, inachangia asilimia 30 ya maduhuli ya serikali

    "Ndugu Mgombea Urais nyumbani kwako ni Kizimkazi na dhahabu nyumbani kwao ni Geita. Katika maduhuli ya serikali ya shilingi trilioni moja tunayoyakusanya asilimia 30 inatoka Mkoa wa Geita na ulitoa maelekezo katika Mkoa wetu tutoe leseni kwa wanawake, Vijana na wenye ulemavu na wapo akinamama...
  18. Mafyangula

    GE2025 Bashiru: Samia amezishinda siasa uzalendo uchwara

    "Umadhubuti wa Chama chetu na hasa umadhubuti wa uongozi wako Dkt. Samia Suluhu Hassan katika vipindi ambavyo dunia imetikiswa, si Tanzania peke yake, tumepigwa na korona, kuna mabadiliko ya tabia nchi, kuna vita ambavyo vinatikisa uchumi wa dunia lakini pia kumezuka siasa za kujitambulisha kwa...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Samia: Hayati Magufuli alikuwa kiongozi shupavu, mzalendo na mwenye maono makubwa

    Samia kwenye kampeni zake zote akumtaja na kumeeleza vyema hayati Magufuli kama alivyofanya leo wakati yupo huko Chato! Unafiki wa kura unaendelea ======================= Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amemkumbuka na...
  20. Cute Wife

    GE2025 Kazi ya Polisi na Vyombo vya Uchunguzi ni nini kama mtu akitoa taarifa anatakiwa atoe ushahidi?

    Wakuu, Yaani sielewi hiki kitu kabisa, mtu anapotoa tuhuma za jambo fulani kazi yake inakuwa imeisha, sasa ni kwa polisi na/au mamlaka husika kwenye tukio hilo kufanya uchunguzi na kuthibitisha kama jambo husika ni kweli au lah. Na ndio maana mtu anakuwa hana hatia mpaka pale itakapothitishwa...
Back
Top Bottom