Wananchi wa Kijiji cha Makasini, Wilaya ya Kilindi, Mkoa wa Tanga, wametakiwa kuepuka makundi yasiyo na faida na badala yake kujikita katika shughuli na mienendo inayojenga tabia njema, hususan kuelekea siku ya kupiga kura.
Wito huo umetolewa, jana Oktoba 24, 2025, na Koplo wa Polisi Agness...