Sheikh wa Mkoa wa Singida, Sheikh Issa Nassoro, amewataka viongozi wa dini nchini kuwa waaminifu na kuacha kutumia nafasi zao kuchochea taharuki au migogoro ya kisiasa, akibainisha kuwa baadhi yao wamekuwa wakihusika katika matukio ya udanganyifu ikiwemo kujiteka wao wenyewe kwa maslahi binafsi...
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewaonya makarani watakaotoa taarifa za uchaguzi na kuwataka kusimamia viapo vya utunzaji wa siri katika kipindi chote cha uchaguzi.
Onyo hilo limetolewa na Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Njombe Mjini, Samson Meda wakati wa mafunzo kwa makarani waongozaji...
Taasisi ya Tanzania Jumuishi (TAJU) inayotetea haki za watu wenye ulemavu nchini imetoa wito kwa Watanzania kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu bila kujihusisha na vurugu na machafuko.
TAJU imetoa wito huo hii leo jijiji Dar es Salaam zikiwa zimesalia siku chache kuelekea siku ya...
Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Sheikh Mustafa Rajab, amesisitiza kwamba maandamano yanayokubalika ni yale ya wananchi kwenda kwenye vituo vya kupiga kura na kurudi nyumbani, akiwahimiza Watanzania kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.
Soma pia: Sheikh Alhad Mussa...
Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewakamata baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa tuhuma za kuhusika na kupanga mikutano na maandamano kinyume cha sheria.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Brasius Chatanda, amethibitisha kukamatwa kwa viongozi hao na kueleza...
Mgombea Urais wa Chama cha AAFP, Kunje Ngombale Mwiru, amesema amechoka na simu za vitisho na amepanga kuvunja kampeni, "endeleeni na Chifu Hangaya wenu, niuwe leo, wewe utakufa kesho", alisema jijini Dodoma alipokuwa akijinadi kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Katika Kipindi cha miaka mitano iliyopita, serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluhu Hassan imetajwa kuendelea kuweka mazingira mazuri ya kudumisha amani, demokrasia na utawala bora nchini kwa kuimarisha na kukuza uhuru wa vyombo vya habari pamoja na kuimarisha uhuru wa asasi za...
Makarani Waongozaji Wapiga Kura wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, wala Kiapo cha Kutunza Siri na Tamko la Kujitoa Uanachama wa Chama cha Siasa, mbele ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Sumbawanga Mjini Fortunatus Conrad Lyapa leo Oktoba 25, 2025 katika Ukumbi wa Sumbawanga Sekondari. Ikiwa...
Mwenyekiti wa Baraza la Makanisa ya Kikristo Tanzania (CCT) Mkoa wa Dodoma, Askofu wa Kanisa la Mennonite Tanzania (KMT) Joseph Mtolela, ametoa wito kwa wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu baada ya uchaguzi, akisisitiza umuhimu wa kuheshimu misingi ya utulivu wa taifa.
Soma: Viongozi...
Watanzania sisi ni watu wa kupenda kulaumu kuliko Kuwajibika nafikiri hili linaweza kua ndio tatizo kubwa sana la wananchi wa Tanzania. Mfano alikuepo Magufuli lawama zilikua kama zote hata ambao hawakumpigia kura malalamiko yalikua mengi sana. Rais Samia huyu hapa malalamiko kama yote. Ila...
Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiwa na mgombea udiwani kata ya Gungu wa chama hicho, walipokuwa wakiomba kura kwa wakazi wa kata hiyo katika soko la masanga, wamekutana na kilio cha wananchi hao juu ya uboreshwaji wa soko hilo.
Mmoja wa wananchi...
Waislamu kutoka maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam asubuhi ya leo Oktoba 25, wamefika katika Msikiti wa Nurul-Hikma ulioko Mtaa wa Yombo, karibu na Mwembe Yanga, Temeke kwa ajili ya Kongamano la Amani na Dua Maalumu ya Kuliombea Taifa.
Mkurugenzi wa Al-Hikma Foundation, waandaaji wa dua na...
Wakuu wa vyombo vya habari na wahariri waandamizi nchini Tanzania wamekutana leo oktoba 25, 2025 katika jengo la Millenium Tower Jijini Dar es Salaam na kuzungumza na watanzania kupitia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu oktoba 29, 2025.
Tukio hilo lilikuwa na dhumuni la kuwakabidhi...
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo amewasihi Watanzania kufanya uchaguzi kwa amani na kutoshiriki maandamano.
"Nchi inapokuwa na watu welevu, inakuwa na kelele. Rai yangu kwa Watanzania wasithubutu kutoka kuandamana; watachafua nchi."
Picha mbalimbali zikiwaonesha Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba wakishiriki katika matembezi ya ukakamavu yaliyoshirikisha vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Katika matembezi hayo maofisa wa Polisi, wakaguzi pamoja na...
Wakristo mna mbingu yenu nyie watu,
Umeakua mwendelezo Taifa likielekea kukombolewa, wakristo wamekuwa ni watu wa kuimba tenzi kila wanapopanda magari ya mwendokasi na tenzi hizo zinaendana na kipindi ambacho Taifa linapitia.
Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limepokea magari mapya sita ya kisasa kwa ajili ya kuimarisha ulinzi na usalama kwa wananchi pamoja na mali zao.
Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza DCP Wilbroad Mutafungwa amesema ujio wa magari hayo ni mwendelezo wa vifaa...
Usiku wa Oktoba 24, Mchungaji Elieth Eliawaha Mtaita wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Boay katika Jimbo la Babati Vijijini, mkoani Manyara, ametekwa na watu wasiojulikana.
Soma: Albert Machumu wa CHADEMA adaiwa kutekwa leo asubuhi akiwa kazini kwake
Taarifa...
Huyu ndie Asajile Mwanjala aliechukuliwa usiku wa Leo na Afande Ally wa kituo cha Ifunda Kibaoni Jimbo la Karinga pamoja na Afande Lazaro wa Central Iringa mjini.
Soma pia: Asajile Mwanjala amechukuliwa na Afande Ally polisi wa kituo cha ifunda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.