uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    GE2025 Sheikh Nassoro: Kuna viongozi wa dini wanajiteka

    Sheikh wa Mkoa wa Singida, Sheikh Issa Nassoro, amewataka viongozi wa dini nchini kuwa waaminifu na kuacha kutumia nafasi zao kuchochea taharuki au migogoro ya kisiasa, akibainisha kuwa baadhi yao wamekuwa wakihusika katika matukio ya udanganyifu ikiwemo kujiteka wao wenyewe kwa maslahi binafsi...
  2. tonicimmobility

    GE2025 INEC: Makarani simamieni viapo vyenu kwa kutunza siri

    Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewaonya makarani watakaotoa taarifa za uchaguzi na kuwataka kusimamia viapo vya utunzaji wa siri katika kipindi chote cha uchaguzi. Onyo hilo limetolewa na Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Njombe Mjini, Samson Meda wakati wa mafunzo kwa makarani waongozaji...
  3. PAYE

    GE2025 Watetezi wa wenye Ulemavu (TAJU): Wasimamizi wa Uchaguzi tendeni haki. Uchaguzi ufanyike kwa Amani

    Taasisi ya Tanzania Jumuishi (TAJU) inayotetea haki za watu wenye ulemavu nchini imetoa wito kwa Watanzania kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu bila kujihusisha na vurugu na machafuko. TAJU imetoa wito huo hii leo jijiji Dar es Salaam zikiwa zimesalia siku chache kuelekea siku ya...
  4. tonicimmobility

    GE2025 Sheikh Mustafa: Maandamano yao ni batili

    Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Sheikh Mustafa Rajab, amesisitiza kwamba maandamano yanayokubalika ni yale ya wananchi kwenda kwenye vituo vya kupiga kura na kurudi nyumbani, akiwahimiza Watanzania kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Soma pia: Sheikh Alhad Mussa...
  5. tonicimmobility

    GE2025 Kagera: Viongozi wa CHADEMA washikiliwa na Polisi kwa kuchochea vurugu

    Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewakamata baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa tuhuma za kuhusika na kupanga mikutano na maandamano kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Brasius Chatanda, amethibitisha kukamatwa kwa viongozi hao na kueleza...
  6. Waufukweni

    GE2025 Mgombea Urais wa AAFP, Kunje: Nimechoka simu za vitisho, navunja Kampeni endeleeni na Chifu Hangaya wenu, Niuwe leo wewe utakufa kesho

    Mgombea Urais wa Chama cha AAFP, Kunje Ngombale Mwiru, amesema amechoka na simu za vitisho na amepanga kuvunja kampeni, "endeleeni na Chifu Hangaya wenu, niuwe leo, wewe utakufa kesho", alisema jijini Dodoma alipokuwa akijinadi kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
  7. tonicimmobility

    GE2025 Samia: Tumedumisha amani, demokrasia na uhuru wa kutoa maoni

    Katika Kipindi cha miaka mitano iliyopita, serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Samia Suluhu Hassan imetajwa kuendelea kuweka mazingira mazuri ya kudumisha amani, demokrasia na utawala bora nchini kwa kuimarisha na kukuza uhuru wa vyombo vya habari pamoja na kuimarisha uhuru wa asasi za...
  8. comrade_kipepe

    GE2025 Aunty LULU ahimiza amani na kukemea maandamano

    Huyu alikua kinara yeye pamoja na sativa kuhamasisha maanadamano, dakika zajioni kabisa ametema bungo. Namna gani pale!
  9. PAYE

    GE2025 Makarani wa Uchaguzi Sumbawanga mjini wala Kiapo Mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi

    Makarani Waongozaji Wapiga Kura wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, wala Kiapo cha Kutunza Siri na Tamko la Kujitoa Uanachama wa Chama cha Siasa, mbele ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Sumbawanga Mjini Fortunatus Conrad Lyapa leo Oktoba 25, 2025 katika Ukumbi wa Sumbawanga Sekondari. Ikiwa...
  10. PAYE

    GE2025 Askofu Joseph: Tuendelee kudumisha amani hata baada ya uchaguzi

    Mwenyekiti wa Baraza la Makanisa ya Kikristo Tanzania (CCT) Mkoa wa Dodoma, Askofu wa Kanisa la Mennonite Tanzania (KMT) Joseph Mtolela, ametoa wito kwa wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu baada ya uchaguzi, akisisitiza umuhimu wa kuheshimu misingi ya utulivu wa taifa. Soma: Viongozi...
  11. baz kaiza

    GE2025 Tatizo la Watanzania ni Uwajibikaji hata aje Rais kutoka wapi bado atalaumiwa

    Watanzania sisi ni watu wa kupenda kulaumu kuliko Kuwajibika nafikiri hili linaweza kua ndio tatizo kubwa sana la wananchi wa Tanzania. Mfano alikuepo Magufuli lawama zilikua kama zote hata ambao hawakumpigia kura malalamiko yalikua mengi sana. Rais Samia huyu hapa malalamiko kama yote. Ila...
  12. PAYE

    GE2025 Wananchi wamwambia Zitto: Tulikugomea, baadaye tukajuta, tumehenyeka sana

    Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiwa na mgombea udiwani kata ya Gungu wa chama hicho, walipokuwa wakiomba kura kwa wakazi wa kata hiyo katika soko la masanga, wamekutana na kilio cha wananchi hao juu ya uboreshwaji wa soko hilo. Mmoja wa wananchi...
  13. PAYE

    GE2025 Waislamu na Mashekhe wafanya Dua maalumu Dar kuombea Uchaguzi Mkuu

    Waislamu kutoka maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam asubuhi ya leo Oktoba 25, wamefika katika Msikiti wa Nurul-Hikma ulioko Mtaa wa Yombo, karibu na Mwembe Yanga, Temeke kwa ajili ya Kongamano la Amani na Dua Maalumu ya Kuliombea Taifa. Mkurugenzi wa Al-Hikma Foundation, waandaaji wa dua na...
  14. tonicimmobility

    GE2025 Wakuu wa vyombo vya habari wahimiza amani kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

    Wakuu wa vyombo vya habari na wahariri waandamizi nchini Tanzania wamekutana leo oktoba 25, 2025 katika jengo la Millenium Tower Jijini Dar es Salaam na kuzungumza na watanzania kupitia vyombo vya habari kuelekea uchaguzi mkuu oktoba 29, 2025. Tukio hilo lilikuwa na dhumuni la kuwakabidhi...
  15. PAYE

    GE2025 Mgombea Urais NLD, Doyo: Watanzania msithubutu kuandamana mtachafua nchi

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo amewasihi Watanzania kufanya uchaguzi kwa amani na kutoshiriki maandamano. "Nchi inapokuwa na watu welevu, inakuwa na kelele. Rai yangu kwa Watanzania wasithubutu kutoka kuandamana; watachafua nchi."
  16. PAYE

    GE2025 Maofisa na Askari wa Polisi washiriki matembezi ya Ukakamavu kuimarisha ushirikiano

    Picha mbalimbali zikiwaonesha Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba wakishiriki katika matembezi ya ukakamavu yaliyoshirikisha vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa Kaskazini Pemba. Katika matembezi hayo maofisa wa Polisi, wakaguzi pamoja na...
  17. tonicimmobility

    Wakristo mnatuwakilisha vizuri sana kwenye mwendokasi hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linahitaji ukombozi

    Wakristo mna mbingu yenu nyie watu, Umeakua mwendelezo Taifa likielekea kukombolewa, wakristo wamekuwa ni watu wa kuimba tenzi kila wanapopanda magari ya mwendokasi na tenzi hizo zinaendana na kipindi ambacho Taifa linapitia.
  18. PAYE

    GE2025 DCP Mutafungwa: Tumepokea magari 6 ya kisasa kukabiliana na Wahalifu

    Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limepokea magari mapya sita ya kisasa kwa ajili ya kuimarisha ulinzi na usalama kwa wananchi pamoja na mali zao. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza DCP Wilbroad Mutafungwa amesema ujio wa magari hayo ni mwendelezo wa vifaa...
  19. DuaZaMama

    Mchungaji wa KKKT, Elieth Mtaita ametekwa usiku wa Oktaba 24 na Watu wasiojulikana

    Usiku wa Oktoba 24, Mchungaji Elieth Eliawaha Mtaita wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Boay katika Jimbo la Babati Vijijini, mkoani Manyara, ametekwa na watu wasiojulikana. Soma: Albert Machumu wa CHADEMA adaiwa kutekwa leo asubuhi akiwa kazini kwake Taarifa...
  20. tonicimmobility

    GE2025 Huyu ndie Asajile Mwanjala aliechukuliwa usiku wa jana na Afande Ally wa kituo cha Ifunda

    Huyu ndie Asajile Mwanjala aliechukuliwa usiku wa Leo na Afande Ally wa kituo cha Ifunda Kibaoni Jimbo la Karinga pamoja na Afande Lazaro wa Central Iringa mjini. Soma pia: Asajile Mwanjala amechukuliwa na Afande Ally polisi wa kituo cha ifunda
Back
Top Bottom