uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Viongozi wa dini Rukwa: Wapuuzeni wanaoshawishi vurugu Mitandaoni, Tusishiriki kwenye Maandamano tukapige kura

    Viongozi mbalimbali wa dini mkoani Rukwa wametoa wito kwa waumini wao juu kuwapuuza watu wanao shawishi kupitia mitandao ya kijamii ili kufanya vurugu na maandamano wakati wa uchaguzi mkuu na badala yake wajitokeze kutimiza haki yao ya kikatiba kwa kuwachagua viongozi wanao wataka kwa maslahi ya...
  2. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Catherine Ruge: Nimekuwa nikifanyiwa vurugu kwenye kampeni zangu, Polisi hawatoi ushirikiano ipasavyo

    Mgombea Ubunge Jimbo la Serengeti mkoani Mara kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Catherine Ruge amedai kuvamiwa na kuletewa vurugu kwenye baadhi ya mikutano yake ya kampeni huku pia akidai Jeshi la Polisi halilindi mikutano yake ipasavyo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye...
  3. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Shaimaa Mohamed: Maandamano yanaruhusiwa kisheria, lakini kwanini muandamane siku ya uchaguzi?

    Dkt. Shaimaa Mohamed kutoka London Hospital iliyopo mkoani Dar es Salaam, katika Kongamano la Wanawake wa Dar es salaam, linalofanyika leo Oktoba 26, 2025, katika ukumbi wa mikutano wa DYCCC, Chang'ombe, ameelezaa kuwa hatua ya kutaka kufanya maandamano siku ya kupiga kura ni ishara ya kuwa...
  4. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ofisi ya Mufti Zanzibar yaeleza kutofunga Madrassa kipindi cha uchaguzi ili kuondoa hofu ya kutokuwepo amani

    Ofisi ya Mufti Zanzibar, imeeleza sababu za kutofunga madrasa wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu ili kuondosha hofu na kujenga taharuki kwa wananchi kwamba hakuna amani Pia, imewatahadharisha waandishi wa habari kuzingatia weledi na kuacha kuandika habari zitakazoleta taharuki na kusababisha...
  5. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwalimu wa UDSM, Dr. Mbunda: Uwanja wetu wa Siasa umejaa giliba, dhulma na ubabe, Tukiri tumekosea na tukubali suluhu

    TUKIRI TUMEKOSEA KISIASA; NA TUKUBALI TUNAHITAJI SULUHU ISIYO YA MAZOEA “Mawazo hayapigwi rungu, mawazo yanashindwa na mawazo yaliyo bora zaidi”-Rais Mstaafu Jakaya Kikwete. Usuli Katika kipindi cha wiki nne za mwisho za kampeni ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, tumeshuhudia kitu tofauti...
  6. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 DCP David Misime: Wanawake mkahamasishe amani majumbani kuelekea uchaguzi Oktoba 29

    Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, Naibu Kamishna wa Polisi ,(DCP) David Misime ameeleza kuwa jukumu la kulinda amani ni la kila Mtanzania, kwani vitendo vya uhalifu na uvunjifu wa amani vinafanywa na watu waliopo katika jamii ‎ ‎Misime amebainisha hayo katika Kongamano la Wanawake wa Dar es...
  7. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti JUWAKITA, Mariam Mtambo: Tukitaka Maandamano yatakuwa, Tusipotaka hayatokuwa

    Mwenyekiti wa Jumuiya wa Wanawake wa Kiislamu Tanzania (JUWAKITA), Mariam Mtambo, amesema wanawake katika jamii ni kundi kubwa ambalo lina nguvu ya kuamua au kutoamua juu ya ufanyikaji wa maandamano, akiwataka wanajamii kujitokeza kupiga kura ili kuchagua viongozi wanaowataka badala ya kufanya...
  8. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watangazaji radio47 Kenya: Watanzania mkienda kuandamana mkumbuke Polisi wenu hawana huruma kama Kenya, Muacheni Samia amalize muda wake

    Wakuu, Huyu mbona kama kalipwa afanye promo, nakataa hii siyo akili ya Kenya ------------- Watangazaji wa kipindi cha Maaskani cha Radio47 nchini Kenya, Billy Miya na Mbaruk Mwalimu, walitoa onyo kwa wananchi wa Tanzania wanaotaka kuandamana, wakikumbusha kuwa Polisi wa Tanzania hawana huruma...
  9. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 SACP Augustino Senga: Mkoa wa Songwe upo salama watu wakapige kura bila kuogopa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga, amewahakikishia wananchi Mkoani humo kuwa Mkoa wa Songwe upo salama, wenye utulivu na amani Akizungumza na askari wa Jeshi la Polisi walioungana na majeshi mengine ya vyombo vya ulinzi na usalama...
  10. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Apostle Nick Shaboka: Kuilinda Tanzania ni muhimu kuliko kupigania ndoto za mtu fulani

    Akizungumza katika kipindi cha radio Gospel Traxx Clouds FM Apostle Nick Shaboka ametaka Watanzania kwa pamoja kuilinda amani kwani Tanzania ni muhimu kuliko kupigania matakwa au ndoto za mtu mmoja hasa katika kipindi hiki ambapo kumekuwepo kwa taarifa nyingi, ushawishi mwingi na kampeni...
  11. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Katibu wa Watanzania waishio China: Wanaohamasisha vurugu nchini wana sababu binafsi

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Watanzania waishio nchini China Alawi Abdallah amesema Watanzania wote walioko nje ya nchi ambao wamekuwa wakilalamikia mifumo ya uchaguzi na demokrasia nchini Tanzania wamekuwa hawana dhamira ya dhati ya kutaka mabadiliko bali wamekuwa wakiongoza na maslahi binafsi na...
  12. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 RC Katavi: Usalama utakuwepo siku ya Uchaguzi, vyombo vya ulinzi vimejipanga vizuri

    Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewakikishia usalama wananchi wa mkoa huo na kuwataka kushiriki kikamilifu katika zoezi la uchaguzi Mkuu wa mwaka huu linalotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba, 2025 kote nchini Pia alisema, Kamati za Ulinzi na Usalama pamoja na vyombo vya dola...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi wana jukumu la kulinda waandamanaji na sio kuwapa vitisho

    POLISI WANA JUKUMU LA KULINDA WAANDAMANAJI NA SIO KUWAPA VITISHO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Kupiga kura ni haki na kuandamana ni haki. 2. Kama wapiga kura watalindwa basi hata waandamanaji wana haki ya kulindwa. 3. Madai ya waandamanaji mengi yanahoja na yanahitaji kufanyiwa kazi...
  14. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sheikh Yahya: Tukiwa na Kiongozi asiyependwa uovu utakuwepo

    “Kila mtu akapige kura ili tumpate tunayemtaka; tusiwekewe tusiyemtaka. Kwa sababu kuchagua kiongozi anayefaa huo ni mchango wa kusaidia kuleta wema na kufanya wema. Akiwepo ambaye hapendwi katika viongozi, uovu utakuwepo. Ili tusaidie uovu usiwepo, lazima sote tumchague yule tunayemtaka —...
  15. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sheikh Nassoro: Kuna viongozi wa dini wanajiteka

    Sheikh wa Mkoa wa Singida, Sheikh Issa Nassoro, amewataka viongozi wa dini nchini kuwa waaminifu na kuacha kutumia nafasi zao kuchochea taharuki au migogoro ya kisiasa, akibainisha kuwa baadhi yao wamekuwa wakihusika katika matukio ya udanganyifu ikiwemo kujiteka wao wenyewe kwa maslahi binafsi...
  16. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 INEC: Makarani simamieni viapo vyenu kwa kutunza siri

    Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewaonya makarani watakaotoa taarifa za uchaguzi na kuwataka kusimamia viapo vya utunzaji wa siri katika kipindi chote cha uchaguzi. Onyo hilo limetolewa na Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Njombe Mjini, Samson Meda wakati wa mafunzo kwa makarani waongozaji...
  17. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watetezi wa wenye Ulemavu (TAJU): Wasimamizi wa Uchaguzi tendeni haki. Uchaguzi ufanyike kwa Amani

    Taasisi ya Tanzania Jumuishi (TAJU) inayotetea haki za watu wenye ulemavu nchini imetoa wito kwa Watanzania kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu bila kujihusisha na vurugu na machafuko. TAJU imetoa wito huo hii leo jijiji Dar es Salaam zikiwa zimesalia siku chache kuelekea siku ya...
  18. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sheikh Mustafa: Maandamano yao ni batili

    Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Sheikh Mustafa Rajab, amesisitiza kwamba maandamano yanayokubalika ni yale ya wananchi kwenda kwenye vituo vya kupiga kura na kurudi nyumbani, akiwahimiza Watanzania kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Soma pia: Sheikh Alhad Mussa...
  19. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kagera: Viongozi wa CHADEMA washikiliwa na Polisi kwa kuchochea vurugu

    Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewakamata baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa tuhuma za kuhusika na kupanga mikutano na maandamano kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Brasius Chatanda, amethibitisha kukamatwa kwa viongozi hao na kueleza...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais wa AAFP, Kunje: Nimechoka simu za vitisho, navunja Kampeni endeleeni na Chifu Hangaya wenu, Niuwe leo wewe utakufa kesho

    Mgombea Urais wa Chama cha AAFP, Kunje Ngombale Mwiru, amesema amechoka na simu za vitisho na amepanga kuvunja kampeni, "endeleeni na Chifu Hangaya wenu, niuwe leo, wewe utakufa kesho", alisema jijini Dodoma alipokuwa akijinadi kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Back
Top Bottom