uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 John Heche: Ni tatizo kuiruhusu CCM iendelee kuiongoza nchi hii, ni kuua nchi hii

    Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche amesema Kesi zinazo wakabili ni Kesi za Kisiasa baada ya kushindwa kudhiti hoja ya 'No Reforms No Election', "Alikamatwa Lissu wakasema ooh! Chama kita-'Paralysis', tukaendeleza Moto ule, sasa ndio wameibuka na hayo mambo. Zuia wasitambue Uongozi, kwamba...
  2. Waufukweni

    KUMBUKIZI | Paul Makonda: Ukiniweka kwenye Kaburi mimi nitafufuka tu!

    Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mtia nia nafasi ya Ubunge Jimbo la Arusha Mji aliwahi kusema, "Kama Mungu aishivyo, mimi ukiniweka kwenye Kaburi nitafufuka tu!"
  3. tonicimmobility

    GE2025 Msemaji wa Polisi David Misime: Hatutawavumilia waliojipanga kuvuruga amani wakati wa uchaguzi mkuu 2025

    Msemaji Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime, amesema jeshi hilo limekuwa na utaratibu wa kujiweka tayari kila Uchaguzi Mkuu unapokaribia, huku likiwajengea uwezo askari wake kuhakikisha nchi inabaki salama. DCP Misime ameyasema hayo leo Julai 30, 2025, jijini Dodoma, wakati wa...
  4. Waufukweni

    GE2025 Wapiga kura ambao wamejiandikisha lakini majina yao hukosekana kwenye orodha ya wapiga kura, ni mkakati wa kuwazuia wasichague viongozi wanaowataka?

    Wakuu! Nimekuwa nikisikia kuhusu dhana hii inayotokana na changamoto ambayo imekuwa ikijitokeza hasa katika Uchaguzi, ambapo baadhi ya Wananchi wamekuwa wakikumbwa na kero ya kutoona majina yao katika orodha ya Wapiga Kura na kuwakwamisha Kupiga Kura. Hali hii iliwafanya baadhi kususia...
  5. Just Pray

    GE2025 Mtia nia wa udiwani CCM akiomba kura akiwa amepiga magoti kwa unyeyekevu mkubwa

    Mtiania wa Udiwani kata ya Zingiziwa, Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam, Maganga Maige akiwaomba kura wajumbe wa mkutano mkuu Kata ya Zingiziwa. Watia nia wa ubunge na udiwani leo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanapita katika kata mbalimbali kuomba kura.
  6. W

    GE2025 Mgombea UWT Singida agalagala na kuambulia kura 12 kwa wajumbe

  7. PAYE

    GE2025 Magige, Swai waangukia pua Arusha, Martha Gido na Chiku Athman waibuka vinara kura za UWT

    Ndoto za waliokuwa wabunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha, Catherine Magige na Zaytun Swai, kurejea bungeni zimeingia doa baada ya kushindwa kushawishi wajumbe wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) mkoani humo katika kura za maoni zilizofanyika mjini Arusha. Katika uchaguzi huo...
  8. Stephano Mgendanyi

    GE2025 Debora Joseph Tluway chaguo sahihi 2025-2030

    Ndugu Mjumbe wa Mkutano Mkuu UVCCM Taifa, Naomba Kura Yako Ya Ndio, Mungu Akubariki Sana Safari ya Uongozi. Moyo wa Jamii na DIRA NJEMA KWA VIJANA. Tazama maisha, dhamira, na mchango wa DEBORA JOSEPH TLUWAY kiongozi kijana, mzalendo, na sauti ya mabadiliko. Kutoka Katavi hadi dunia, hii ni...
  9. R

    GE2025 CHADEMA yamsimamisha Odero Charles kupisha uchunguzi

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini kimemsimamisha Katibu wa Kamati ya Sheria na Haki za Binadamu wa chama hicho, Odero Charles Odero kupisha uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili. Odero ambaye alikuwa miongoni mwa wagombea wa nafasi ya uenyekiti ndani ya Chadema...
  10. Just Pray

    GE2025 CHADEMA yapinga ongezeko idadi ya wapiga kura

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia kwa Mkurugenzi wake wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi Mwl. John Pambalu kimeipinga taarifa ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) inayoonyesha ongezeko la idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge, Madiwani unaotarajiwa...
  11. Waufukweni

    GE2025 Mkojani amwaga machozi akililia laki 5 ya fomu ya Ubunge baada ya jina lake kukatwa

    Wakuu! :D:D sasa hii ndio kazi yako Mkojani, endelea kuchekesha Watu tu! Mwigizaji na mchekeshaji Abdallah Mohamed Nzunda, maarufu kama Mkojani, amemwaga machozi akidai kufadhaishwa na matokeo ya kura za maoni za Ubunge Jimbo la Temeke kupitia CCM. Adai Wajumbe walimtia moyo sana kuwa atatoboa
  12. Just Pray

    GE2025 CCM Kibaha, viongozi mkoa, wilaya wadaiwa kuchakachua majina ya walioteuliwa udiwani

    Hali si shwari katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha, baada ya watiania wa udiwani zaidi ya 10 kutoka hadharani na kuwalalamikia baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa mkoa wa Pwani na wilaya ya Kibaha, kuchakachua majina ya waliopitishwa na Kamati Kuu ya CCM ili kupigiwa kura na...
  13. PAYE

    GE2025 Pindi Chana, Rebecca Nsemwa waibuka kidedea UWT Njombe, wawashinda wagombea 6

    Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Pindi Chana na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Rebecca Nsemwa wameibuka kidedea katika kura ya maoni ya kumtafuta mwakilishi wa Umoja wa Wanawake (UWT) mkoa wa Njombe kwa nafasi ya ubunge wa viti maalum CCM. Wawili hao wamepata kura 700 na 588 mtawalia...
  14. Just Pray

    GE2025 Stephen Wasira: Ni utamaduni wa CCM kumwongezea muda Rais anayefanya vizuri

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Bara, Mzee Stephen Wasira amesema, vyama vingi vya siasa ulimwenguni vina utamaduni wa kuwaongezea muda viongozi ambao wanafanya vizuri kwenye uongozi wao kwa maana ya kutowapinga ndani ya chama wanapogombea kipindi kingine cha uongozi. Amesema...
  15. Waufukweni

    Humphrey Polepole: "Hatuwezi kuwa nchi inaendeshwa kama idara ya 'Fire'

    Wakuu! Humphrey Polepole amesema alijiuzulu Ubalozi wa Cuba ili awe huru kuzungumza kwamba kuna tatizo kubwa katika Taifa letu na sio dhambi kujirekebisha. Sasa leo saa 2:00 usiku usikae mbali nami hapa nitakuletea kila atakachokizungumza. Updates... Polepole Utamaduni, desturi na katika ya...
  16. Just Pray

    GE2025 Wajumbe Arusha wafanya yao kura za maoni viti maalum, Catherine Magige atupwa nje

    Ndoto za waliokuwa wabunge wa viti maalum mkoa wa Arusha kurejea bungeni huenda zikakwama baada ya kushindwa kuwashawishi wajumbe wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Arusha. Wabunge hao amao wamapata kura pungufu, sasa watasubiri huruma ya Kamati Kuu ambayo ndiyo itatoa...
  17. PAYE

    GE2025 Mtoto wa Celina Kombani apeta Kura za maoni

    Mtoto wa Celina Kombani, Lucy na Mkurugenzi wa zamani wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, Sheila Lukuba wameibuka kidedea katika kura za maoni za Jumuiya ya Wanawake UWT Mkoa wa Morogoro baada ya kupata kura 1,314 na 597 mtawalia. Lucy Kombani na Sheila waliwagaragaza wagombea wengine saba...
  18. Just Pray

    GE2025 Wananchi wa Muze, Sumbawanga wazuia msafara wa CCM kupinga uteuzi wa mgombea

    Wananchi wa Kijiji cha Muze, Kata ya Muze, katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Vijijini mkoani Rukwa, wamezuia msafara wa viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa wilaya hiyo wakilalamikia mchakato wa uteuzi wa majina ya wagombea wa udiwani katika kata hiyo. Tukio hilo limetokea baada ya...
  19. Just Pray

    GE2025 Aida Khenani: Kiburi cha utawala mwisho wake ni mauti

    Wanachama 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walioshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa wameachiwa kwa dhamana Jumanne jioni Julai 29, 2025. Wanachama hao ni wale ambao Jeshi la Polisi mkoani Rukwa Julai 28, 2025 lilithibitisha kuwashikilia kwa madai ya kufanya mkusanyiko...
Back
Top Bottom