uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 Cyprian Musiba atupwa nje mchujo Ubunge Mwibara

    Mwanaharakati huru Cyprian Musiba ameshindwa kupenya katika mchujo wa wagombea walioteuliwa kupigiwa kura za maoni kuwania Ubunge wa Jimbo la Mwibara, mkoani Mara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia...
  2. PAYE

    GE2025 Robert Andrew Mhando aleta Mbio za Udiwani Kata ya Kivukoni

    Mkurugenzi Mkuu Wa Kampuni ya Media Tree Company Ltd na Mchumi wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam Ndg. Robert Andrew Mhando ni Miongoni Mwa makada Wa Chama Cha Mapinduzi CCM walioteuliwa na Chama hicho Kushiriki kura za Maoni Kwa Nafasi ya Udiwani Wa Kata ya Kivukoni.
  3. DuaZaMama

    GE2025 Wasira: Ni utamaduni wa CCM kumwongezea muda Rais anayefanya vizuri

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Bara, Mzee Stephen Wasira amesema, vyama vingi vya siasa ulimwenguni vina utamaduni wa kuwaongezea muda viongozi ambao wanafanya vizuri kwenye uongozi wao kwa maana ya kutowapinga ndani ya chama wanapogombea kipindi kingine cha uongozi. Amesema...
  4. Mohamed Said

    Bongo Plus na Uchaguzi Mkuu 2025: Wanatafuta Historia ya Vijana wa Kale na Vijana wa Leo Katika Siasa

    Leo Maktaba ilitembelewa na Mtangazaji Victor Madaha wa Bongo Plus kutafuta historia ya vijana katika siasa kuanzia kudai uhuru wa Tanganyika hadi leo. Victor anasema kasukumwa kwa kuona wimbi kubwa la vijana kuingia kwenye kinyang'anyiro kuwania nafasi za uongozi katika taifa kwenye uchaguzi...
  5. Waufukweni

    GE2025 Baadhi ya Makada wa CCM kunduchi wavamia Ofisi kulalamikia kukatwa kwa jina la Michael Urio

    Viongozi wa matawi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Kata ya Kunduchi Wilayani Kinondoni wamefika katika ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam kwa kile walichodai kukatwa kwa jina la mtiania wa kata hiyo, Michael Urio. Hata hivyo majina ya watiania ya udiwani ambayo yalipita kamati...
  6. Waufukweni

    GE2025 Rais Samia aendelea kugawa Bahasha za Maokoto, Msaga Sumu aokota huko Namtumbo

    Wakuu! Bahasha zinatembea, beat likipigwa! :oops: Rais samia ameendelea na "desturi" ya kugawa bahasha za Maokoto kwa Wasanii kila wanapotumbuiza kwenye shughuli zake na leo Msaga Sumu hakusalimika, kapokea zake huko Namtumbo wakati wa uzinduzi wa Kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa madini...
  7. Waufukweni

    GE2025 John Heche: Waliokatwa CCM wananipigia Simu, wanalalamikia mwenendo wa Chama na kuonesha matumaini kwa CHADEMA

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokatwa kwenye mchakato wa uteuzi wamekuwa wakimpigia simu wakilalamikia mwenendo wa chama hicho na kueleza matumaini yao kwa CHADEMA. Akizungumza nje ya Mahakama...
  8. A

    GE2025 Baada ya jina lake kukatwa Alex Msama atoa neno

    Siku moja tu baada ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuondoa jina lake miongoni mwa watia nia wa Jimbo la Ubunge Ukonga jijini Dar, aliyetia nia, Alex Msama ametoa neno zito. Msama ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Msama Promotions & Dira Media ametoa neno...
  9. R

    GE2025 Rais Samia awasili Ruvuma kuelekea Wilaya ya Namtumbo kwa Uzinduzi wa Kiwanda cha Majaribio cha Uchenjuaji Madini ya Urani cha Mantra Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Uwanja wa Ndege wa Songea, mkoani Ruvuma tayari kwa safari ya kuelekea Wilayani Namtumbo kwa ajili ya Uzinduzi wa Kiwanda cha Majaribio cha Uchenjuaji Madini ya Urani cha Mantra Tanzania Limited, tarehe 30 Julai...
  10. Waufukweni

    GE2025 VIDEO: Askari Magereza wamsukuma Lissu kidogo aanguke Kizimbani wakati akiaga Mahakamani

    Wakuu! Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, alisukumwa na baadhi ya Askari wa Magereza wakati akitoka kizimbani akiwa anaaga kwa waliofika kufuatilia mwenendo wa Kesi yake ya Uhaini, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, hali iliyomfanya akaribie kuanguka kabla ya kudakwa na Askari wengine waliokuwa...
  11. Waufukweni

    GE2025 Hakimu Franco Kiswaga: Hakuna sababu ya shauri hili kuahirishwa kila wakati, akionya Upande wa Jamhuri kusuasua kwao kila siku Kesi ya Lissu

    Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga, ameahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, hadi tarehe 13 Agosti 2025, huku akitoa onyo kali kwa upande wa Jamhuri kutokana na kusuasua kwao mara kwa mara. Akizungumza baada ya maombi ya...
  12. R

    GE2025 Wajumbe UWT CCM Mkoa wa Njombe Kupiga kura za maoni Uchaguzi Wabunge Viti Maalum

    Wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa Umoja wa Wanawake (UWT) Mkoa wa Njombe wakiwa kwenye Ukumbi wa Agreement uliopo halmashauri ya mji wa Njombe kwa ajili ya kupiga kura za maoni katika uchaguzi wa wabunge wa viti maalumu Mkoa wa Njombe Chanzo: Mwananch_official
  13. Waufukweni

    GE2025 Tundu Lissu: Ni ajabu Mshtakiwa ndiye anayedai apelekwe Mahakama Kuu ashitakiwe, kama ana hatia anyongwe!

    Tundu Lissu "Ni ajabu Mheshimiwa Hakimu hapa ni Mshtakiwa anaedai apelekwe mahakama kuu akashtakiwe, Kama Mahakama itaona ana hatia anyongwe. Twendeni tukapambane, si mnataka? Si mmefungua kesi ya uhaini? Pelekeni taarifa mahakama kuu." Fuatilia hapa: Mwenendo wa Kesi ya Lissu (Uhaini)...
  14. Waufukweni

    GE2025 Wakili wa Jamhuri aomba Mahakama iahirishe tena Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

    Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga, kwa niaba ya upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameomba mahakama kuahirisha kwa mara nyingine usikilizwaji wa kesi hiyo. Fuatilia hapa: Mwenendo wa Kesi ya Lissu...
  15. Waufukweni

    GE2025 Askari Magereza walioficha nyuso zao wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenye Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

    Askari Magereza walioficha nyuso zao wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu Fuatilia hapa: Mwenendo wa Kesi ya Lissu (Uhaini) kuendelea leo Julai 30, 2025, afikisha siku 112 akiwa Gerezani
  16. Z

    CCM ikikosea kuteua watu sahihi, majimbo yafuatayo yatachukuliwa na upinzani

    1. Arusha. 2. Bumbuli. 3. Piramiho. 4. Kibamba. 5. Kisesa. 6. Kigoma mjini. 7. Simanjiro. 8. Iringa mjini. 9. Bunda. Hayo majimbo yanahitaji mteule 1 makini zaidi na mwenye ushawishi mkubwa, hodari na mchapa kazi. Kinyume cha hapo upinzani watanyakua.
  17. Roving Journalist

    GE2025 Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yaahirishwa hadi Agosti 13,2025

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu baada ya kuahirishwa Julai 15, 2025 inatarajiwa kuendelea tena leo, ambapo bado inasubiriwa hatua ya Ofisi ya Mwendesha mashtaka (DPP) kufanya uamuzi wa kufikisha kesi hiyo Mahakama Kuu ambayo ina hadhi ya kisheria. Mara ya...
  18. R

    GE2025 CHAUMMA yatangaza rasmi ukomo kuchukua na kurejesha fomu Kugombea Ubunge, Viti Maalum na Udiwani

    Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma Salum Mwalimu ametangaza rasmi mwisho wa kuchukua na kurejesha fomu za kuwania nafasi za Ubunge, Viti Maaalum na Udiwani kupitia chama hicho ni Agosti 15, 2025 Saa kumi alasiri
  19. Nucky Thompson

    GE2025 CCM walisema Ubunge viti Maalum mwisho miaka 10, imekuaje wamepitisha majina ya waliokaa zaidi ya miaka 10?

    Nimeona majina ya wabunge wa viti maalum wa CCM waliokaa zaidi ya miaka 10. Sasa nashangaa lile azimio lao vipi kuwa viti Maalum mwisho miaka 10? Soma pia; Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
  20. DuaZaMama

    GE2025 Unadhani kwanini watu wanajiandikisha zaidi ya mara moja kwenye daftari la wapiga kura?

    Wakuu ==== Ivi kwanini wananchi wanajiandikisha zaidi ya mara moja katika daftari la kudumu la wapiga kura ni kwamba elimu ni ndogo au wametumwa kufanya hivyo kwa nia kupiga mara 2? Mkurugenzi wa uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania Ndg. Ramadhan Kailima...
Back
Top Bottom