uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    GE2025 CCM waja na tamthilia (bongo muvi) ya kusifia serikali ya Samia, kweli vuguvugu la maandamano linawanyima usingizi!

    Wakuu, Kuna tamthilia imeanza kurushwa Septemba 30, 2025 ambapo waliachia episode ya kwanza. Tamthilia hiyo inaitwa Hatua na kama kawaida wasanii chawa ndio waliyoipamba tamthilia hiyo. Kwenye episode ya kwanza wanaonesha maendeleo yaliyofanywa kwenye sekta ya kilimo, na jinsi wakulima...
  2. McLaren

    GE2025 Mjumbe CCM Kigoma Mjini: ACT walikuja kuniomba kura nikaibiwa simu yangu

    Wakuu, Mwananchi katika jimbo la kigoma mjini ambaye pia ni mjumbe wa balozi CCM amefunguka kuwa timu ya watu wa ACT walimtembelea nyumbani kwake kwaajili ya kumuomba kura lakini wakaondoka na simu yake kitendo ambacho kimetafsiriwa kuwa ni wizi. Tukio hilo limetokea tarehe 25 mwezi September...
  3. Cute Wife

    GE2025 Polepole kukiwasha muda mfupi ujao, kuongelea jinsi pesa zinavyopigwa na wanamtandao

    Wakuuu, Haya muamke tupate maji yenye pilipili kutoka kwa Polepole🌚
  4. JF Analyst

    Fahamu waliowahi kuongoza NIDA: Yupo Mkurugenzi TISS, mmoja alifutiwa Kesi ya Ufisadi na Serikali Awamu ya 6

    NIDA (Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa) ni chombo chenye wajibu wa kutoa huduma za utambuzi ambazo zinatambulika kitaifa na kimataifa. Chombo hiki hutoa vitambulisho kwa Watanzania na wageni wakaazi wa Tanzania na kutunza Daftari la Utambuzi kwa kengo la kuimarisha Usalama na Amani kiuchumi na...
  5. GENTAMYCINE

    GE2025 Kauli ya Andrew Nyerere juu ya CHADEMA isilazimishwe kuwa kauli ya Familia ya Mwl. Nyerere japo kuna ukweli kuwa Demokrasia iko ICU!

    Namheshimu sana na mno Kaka Andrew Nyerere na nimeuheshimu Mchango wake ila sikubaliani nae kwa 100% kumzuia Rais Samia asiende Kuzuru Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Ni kweli kabisa kuwa Demokrasia kwa sasa nchini Tanzania iko mahututi ICU na Serikali ya CCM chini ya Rais Samia...
  6. The Father of All

    GE2025 Hawa wagombea wanaotumia mabilioni wameyapata wapi na watayarudishaje au kuna namna?

    Kwa wanaofuatilia vimbwanga kuelekea uchakachuaji ujao, watakubaliana nami kuwa pesa ndefu inatumiwa tena watoto wa makapuku ambao hawajafanya kazi muda mrefu. Je wanaipata wapi au ni bwimbwi kama siyo ya kutupiga kwa wale waliowahi kushika nyadhifa kama yule wa Arusha. Je wananunua nini na...
  7. Cute Wife

    GE2025 Gazeti la The Citizen na katuni zinazoonesha uchaguzi huu hausomeki. TCRA watakuwa wanawazoom wakitafutia angle!

    Wakuu, Gazeti la The Citizen ilichapisha katuni hizi kwa nyakati tofauti kuonyesha mazingira ya uchaguzi nchini. Kwenye katuni ya kwanza inaonesha mnara ulianza kusoma freshi kuelekea box la kupiga kura lakini kadri jamaa anavyolikaribia box la kura mnara unashuka na hatimaye kupotea kabisa...
  8. Cute Wife

    GE2025 Wananchi: Tukimpigia simu Samia anapokea, anatusikiliza

    Wakuu, Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa na kero mbalimbali katika sehemu zao za kazi. Au wanasema uongo Wakuu, yaani wanasema Samia ndio...
  9. Cute Wife

    GE2025 Magufuli na vijana wa ovyo: Kijana mpenda rushwa, tapeli, asiyejifahamu ni aina ya vijana wenye mchango mdogo sana katika taifa na chama!

    "Kijana ambaye ni mpenda rushwa, mwizi, fisadi, tapeli, mvivu, mtumia madawa ya kulevya, asiyejifahamu, nk, aina hii ya vijana wana mchango mdogo sana katika taifa na hata kwenye chama." - Magufuli Hii ndio aina ya vijana waliojaa CCM na CCM-B zote, chawa wasio na maana wanaouza wenzao ili...
  10. Cute Wife

    GE2025 Gen Z anayekosoa Uchaguzi na kukubali maandamano, Frida Mikoroti amekamatwa na Polisi lakini mpaka sasa hajulikani alipo

    Wakuu, Binti huyu anayefahamika kwa jina la Frida Mikoroti, amekuwa akikosoa kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea wakati huu kupitia kurasa za mitandao yake ya kijamii, akiwachana CCM kutokuwa na mpinzani wa kweli lakini pia kutoa ahadi za kipuuzi katika mambo ambayo walipaswa kuwa...
  11. McLaren

    GE2025 Mgombea Ubunge Mtambile: Amani ndio tunu yetu. Syria na Libya walijaribu kutafuta demokrasia leo hii wanahangaika mpaka kesho

    Mgombea ubunge wa Mtambile, Zanzibar, Mohamed Abdallah Kassim amewaomba wananachi kutunza amani kwa sababu ni tunu muhimu ya taifa ambalo wanapaswa kuilinda ili kufanikisha maendeleo na ustawi wa kila mmoja. Amesema hayo leo, Septemba 27, 2025, wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM za...
  12. McLaren

    GE2025 Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Muheza: Tukishinda vijana laki 3.5 mtapata ajira na kila mmoja atapewa bodaboda

    Wakuu, Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga ambaye sasa ni Mbunge Mteule wa Viti Maalum Vijana wa CCM Zanzibar, Zainab Abdallah, amewaomba wananchi wa Jimbo la Mtambile, Mkoa wa Kusini Pemba, kumpa kura za kishindo mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CCM, Mohamed Abdallah Kassim...
  13. McLaren

    GE2025 CCM wana hofu gani? Magari yote haya huko Arusha ni kwa faida ya nani na wanajua "watashinda" Uchaguzi?

    Wakuu, Nimekutana na video hii ya magari ikiwemo mabasi na maland cruiser yakiwa na picha za Makonda na Samia huku yakiwa yamerembwa na rangi za CCM Lissu yuko gerezani, Mpina kapigwaa stop kugombea na the so called Tume na CHADEMA wenyewe hawashiriki kwenye Uchaguzi. In reality CCM iko...
  14. McLaren

    GE2025 Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum CHADEMA Felista Njau: Wavuvi mpeni kura Samia. Huyu mama anatuwazia mema

    Wakuu, Mbunge wa Viti Maalum mstaafu kupitia Chadema, Felista Njau, amefanya ziara maalum kwenye jamii ya wavuvi wa Ziwa Natron mkoani Manyara, akiwahimiza wajitokeze kwa wingi kumpa kura Rais Samia. Akizungumza katika kata ya Eshkesh, Njau amesema “Wavuvi twendeni tukampe kura za kutosha...
  15. McLaren

    GE2025 Hapa kuna Uchaguzi kweli? Huyu hapa mgombea wa Urais wa ADC "akinadi" sera zake kwenye viwanja vya Tanganyika Packers

    Wakuu, Kwa picha hizi mwaka hakuna Uchaguzi kabisa yaani ni maigizo tu. Mgombea wa urais kupitia Chama cha ADC, Wilson Elias akinadi sera zake katika mkutano wa chama hicho uliofanyika leo Jumamosi, Septemba 27, 2025 katika viwanja vya Tanganyika Peckars jijini Dar es Salaam. Picha na Michael...
  16. McLaren

    GE2025 Salum Mwalimu: Nikishinda barabara ya Uyole tutaijenga

    Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi endapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi wa Oktoba 29, atafanya uboreshaji mkubwa wa Uyole, mkoani Mbeya, kwa kujenga kituo cha kimataifa kitakachokuwa lango la biashara kwa nchi za Kanda ya Kusini mwa...
  17. McLaren

    GE2025 Zitto Kabwe ataka mdahalo na washindani wake kwenye jimbo la Kigoma Mjini

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe awaomba Wazee wa Kigoma kuitisha mdahalo baina yake na washindani wake katika jimbo hilo kisha kila mmoja aeleze yale aliyoyafanya katika jimbo hilo. Ameyasema hayo Septemba 26, 2025 kwenye mkutano wake wa...
  18. Cute Wife

    GE2025 Mdahalo wa wagombea urais 1995: Kwanini siku hizi inashindikana? Samia anaweza?

    Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 1995, wakati tayari Tanzania ilikuwa imeshabadili mfumo wa chama kimoja kuwa mfumo wa vyama vingi, kulifanyika mdalaho wa wagombea nafasi ya Urais wakati huo kutoka katika vyama vinne vilivyoshiriki uchaguzi, yaani CCM, NCCR Mageuzi, UDP pamoja na CUF CCM mgombea...
  19. Chizi Maarifa

    GE2025 Hawa ndo watu ambao hawamkubali Samia. Sisi wengine Mungu atupe nini?

    Ukiona mtu anamchukia Samia ujue hana kazi, anafanya biashara ambazo hazina sehemu ya kupigia mapene, hana njia za kupiga pesa, hajichanganyanyi na biashara za Kinondon, Ilala na Kijitonyama. Mimi kiukweli nisiwe mnafiq. Hakuna kipindi nimepiga madeal makubwa makubwa kama hiki. Yaani...
  20. blogger

    Hivi Ndugu zangu Watanzania mnajua huku mtaani hakuna vibe la uchaguzi . Mshaurini Rais aahirishe

    Uzi huu sio wa chuki na siandiki kama mpinzani. Ila nawaambia ukweli mtaani kwa watanzania weengii masikinii kwanza hawajui kama kuna uchaguzi. Si kwamba hawampendi Mama, ila hawaoni sababu ya kuenda kwenye uchaguzi. Hiviii wanaenda kuchagua nini!? Ilhali Lissu yupo jela. Hii kura ya ndio au...
Back
Top Bottom