Wakuu,
Kuna tamthilia imeanza kurushwa Septemba 30, 2025 ambapo waliachia episode ya kwanza. Tamthilia hiyo inaitwa Hatua na kama kawaida wasanii chawa ndio waliyoipamba tamthilia hiyo.
Kwenye episode ya kwanza wanaonesha maendeleo yaliyofanywa kwenye sekta ya kilimo, na jinsi wakulima...
Wakuu,
Mwananchi katika jimbo la kigoma mjini ambaye pia ni mjumbe wa balozi CCM amefunguka kuwa timu ya watu wa ACT walimtembelea nyumbani kwake kwaajili ya kumuomba kura lakini wakaondoka na simu yake kitendo ambacho kimetafsiriwa kuwa ni wizi.
Tukio hilo limetokea tarehe 25 mwezi September...
NIDA (Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa) ni chombo chenye wajibu wa kutoa huduma za utambuzi ambazo zinatambulika kitaifa na kimataifa. Chombo hiki hutoa vitambulisho kwa Watanzania na wageni wakaazi wa Tanzania na kutunza Daftari la Utambuzi kwa kengo la kuimarisha Usalama na Amani kiuchumi na...
andrew massawe
andrew wilson massawe
arnold kihaule
arnold kihaule nida
dickson maimu
esmaily hassan rumatila
james kaji
modestus kipilimba
uchaguzi2025
viongozi nida
Namheshimu sana na mno Kaka Andrew Nyerere na nimeuheshimu Mchango wake ila sikubaliani nae kwa 100% kumzuia Rais Samia asiende Kuzuru Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Ni kweli kabisa kuwa Demokrasia kwa sasa nchini Tanzania iko mahututi ICU na Serikali ya CCM chini ya Rais Samia...
Kwa wanaofuatilia vimbwanga kuelekea uchakachuaji ujao, watakubaliana nami kuwa pesa ndefu inatumiwa tena watoto wa makapuku ambao hawajafanya kazi muda mrefu.
Je wanaipata wapi au ni bwimbwi kama siyo ya kutupiga kwa wale waliowahi kushika nyadhifa kama yule wa Arusha. Je wananunua nini na...
Wakuu,
Gazeti la The Citizen ilichapisha katuni hizi kwa nyakati tofauti kuonyesha mazingira ya uchaguzi nchini. Kwenye katuni ya kwanza inaonesha mnara ulianza kusoma freshi kuelekea box la kupiga kura lakini kadri jamaa anavyolikaribia box la kura mnara unashuka na hatimaye kupotea kabisa...
Wakuu,
Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa na kero mbalimbali katika sehemu zao za kazi.
Au wanasema uongo Wakuu, yaani wanasema Samia ndio...
"Kijana ambaye ni mpenda rushwa, mwizi, fisadi, tapeli, mvivu, mtumia madawa ya kulevya, asiyejifahamu, nk, aina hii ya vijana wana mchango mdogo sana katika taifa na hata kwenye chama." - Magufuli
Hii ndio aina ya vijana waliojaa CCM na CCM-B zote, chawa wasio na maana wanaouza wenzao ili...
Wakuu,
Binti huyu anayefahamika kwa jina la Frida Mikoroti, amekuwa akikosoa kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea wakati huu kupitia kurasa za mitandao yake ya kijamii, akiwachana CCM kutokuwa na mpinzani wa kweli lakini pia kutoa ahadi za kipuuzi katika mambo ambayo walipaswa kuwa...
Mgombea ubunge wa Mtambile, Zanzibar, Mohamed Abdallah Kassim amewaomba wananachi kutunza amani kwa sababu ni tunu muhimu ya taifa ambalo wanapaswa kuilinda ili kufanikisha maendeleo na ustawi wa kila mmoja.
Amesema hayo leo, Septemba 27, 2025, wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM za...
Wakuu,
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga ambaye sasa ni Mbunge Mteule wa Viti Maalum Vijana wa CCM Zanzibar, Zainab Abdallah, amewaomba wananchi wa Jimbo la Mtambile, Mkoa wa Kusini Pemba, kumpa kura za kishindo mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CCM, Mohamed Abdallah Kassim...
Wakuu,
Nimekutana na video hii ya magari ikiwemo mabasi na maland cruiser yakiwa na picha za Makonda na Samia huku yakiwa yamerembwa na rangi za CCM
Lissu yuko gerezani, Mpina kapigwaa stop kugombea na the so called Tume na CHADEMA wenyewe hawashiriki kwenye Uchaguzi.
In reality CCM iko...
Wakuu,
Mbunge wa Viti Maalum mstaafu kupitia Chadema, Felista Njau, amefanya ziara maalum kwenye jamii ya wavuvi wa Ziwa Natron mkoani Manyara, akiwahimiza wajitokeze kwa wingi kumpa kura Rais Samia.
Akizungumza katika kata ya Eshkesh, Njau amesema
“Wavuvi twendeni tukampe kura za kutosha...
Wakuu,
Kwa picha hizi mwaka hakuna Uchaguzi kabisa yaani ni maigizo tu.
Mgombea wa urais kupitia Chama cha ADC, Wilson Elias akinadi sera zake katika mkutano wa chama hicho uliofanyika leo Jumamosi, Septemba 27, 2025 katika viwanja vya Tanganyika Peckars jijini Dar es Salaam. Picha na Michael...
Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi endapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi wa Oktoba 29, atafanya uboreshaji mkubwa wa Uyole, mkoani Mbeya, kwa kujenga kituo cha kimataifa kitakachokuwa lango la biashara kwa nchi za Kanda ya Kusini mwa...
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe awaomba Wazee wa Kigoma kuitisha mdahalo baina yake na washindani wake katika jimbo hilo kisha kila mmoja aeleze yale aliyoyafanya katika jimbo hilo.
Ameyasema hayo Septemba 26, 2025 kwenye mkutano wake wa...
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 1995, wakati tayari Tanzania ilikuwa imeshabadili mfumo wa chama kimoja kuwa mfumo wa vyama vingi, kulifanyika mdalaho wa wagombea nafasi ya Urais wakati huo kutoka katika vyama vinne vilivyoshiriki uchaguzi, yaani CCM, NCCR Mageuzi, UDP pamoja na CUF
CCM mgombea...
Ukiona mtu anamchukia Samia ujue hana kazi, anafanya biashara ambazo hazina sehemu ya kupigia mapene, hana njia za kupiga pesa, hajichanganyanyi na biashara za Kinondon, Ilala na Kijitonyama.
Mimi kiukweli nisiwe mnafiq. Hakuna kipindi nimepiga madeal makubwa makubwa kama hiki. Yaani...
Uzi huu sio wa chuki na siandiki kama mpinzani. Ila nawaambia ukweli mtaani kwa watanzania weengii masikinii kwanza hawajui kama kuna uchaguzi.
Si kwamba hawampendi Mama, ila hawaoni sababu ya kuenda kwenye uchaguzi.
Hiviii wanaenda kuchagua nini!? Ilhali Lissu yupo jela. Hii kura ya ndio au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.