uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Samia na CCM yako tafuteni suluhu ya kitaifa. Ahirisheni Uchaguzi na reconciliation process ianze mara moja

    Neno la Mungu (Biblia) linaonya kusema; Mithali 29:1 SUV "...Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa..." Rais Samia na wenzako serikalini na ndani ya chama chako - CCM msione aibu, kubalini kuwa mmekosea, hamtapungukiwa wala kupoteza chochote... Mungu...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya Wakatoliki kutoa tamko kijana anayedaiwa kuwa muislam akamatwa na mavazi ya Kipadre kwenye kampeni

    Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X (zamani Twitter) Mwanaharakati Maria Sarungi ameandika kuhusu tukio la kukamatwa kwa kijana anayedaiwa kuwa muumini wa dini ya Kiislamu akiwa amevalia mavazi ya Kipadre wa Kikatoliki kwenye kampeni. "This is very low! In Mbeya a Muslim man was caught...
  3. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwananchi: Samia ni Rais kweli lakini haonekani! Si anawapa hela akina Harmonize na Shomari Kapombe, hao ndio wakampigie kura!

    Wakuu, Mwananchi anahoji kwanini Samia anasaidia matajiri wakati kuna watu kibao wa hali chini wanaohitaji msaada huo zaidi? Anakaa kutoa hela kwenye goli la mama, mara kumwaga hela kwa wasanii na kuacha watanzania wakifa kwenye umasikini wa kutupwa! Kwa namna hii hakuna Rais anayeitwa Samia...
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tume ya Utumishi wa Walimu: Walimu kushiriki kwenye siasa kipindi cha Uchaguzi ni lazima wafuate taratibu

    Walimu wametakiwa kuzingatia sheria na taratibu za utumishi wa umma na kuacha kujihusisha na masuala ya siasa kinyume cha miongozo, vinginevyo hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao. Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dodoma na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Paulina Nkwama, wakati...
  5. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uchaguzi Tanzania 2025: Kampeni za mwaka huu hazina mvuto ukilinganisha na miaka iliyopita

    Kampeni za mwaka huu hazina mvuto ukilinganisha na miaka iliyopita," anasema mchambuzi wa siasa za ndani, Mohamed Issa, akieleza hali ya kisiasa inavyoendelea nchini Tanzania mwezi mmoja tangu kuanza rasmi kwa kampeni za uchaguzi mkuu Agosti 28, 2025. Kwa sasa, picha kubwa inayoonekana ni chama...
  6. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sasa polisi wataanza kuvaa kiraia kwenye Mwendokasi kama kwenye kesi ya CHADEMA kufuatilia nyendo za wananchi

    Wakuu, Mliona jinsi polisi walivyoanza kuvaa kiraia na kujaza nafasi kwenye kesi ya Lissu ili kuzuia wananchi na wanachama wa CHADEMA kuhudhuria kesi hiyo huku wakifuatilia kwa ukaribu mazungumzo ya wananchama hao? Mara tukaona na mpiga picha wa polisi akiwa na nguo kabisa za kipolisi...
  7. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna la kujifunza kutoka kwa Jerry Muro; Madaraka ni kama koti la kuazima

    Video zinajielezea, sina maneno mengi Ya kwanza - Jerry Muro akiwa na madaraka Ya Pili - Jerry Muro akiwa Raia wa kawaida V/S
  8. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uteuzi UDART: Pius Ng'ingo Mkurugenzi Mkuu, Waziri Kindamba atenguliwa. Said Tunda ateuliwa Mtendaji Mkuu, Dkt. Kihamia atenguliwa

    Wakuu, Wananchi mmeoana vile nguvu yenu inayoweza kufanya! Kidogo tu wametema bungo, Murilo anaongea kistaarabu kama anaongea na wananchi wa Tanzania😂🤣🤣. Raia hawakuogopa kitu jana, polisi hata baada ya kupiga risasi moja juu, walijua nini kinaenda kutokea baada ya raia kudinda, wameona...
  9. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi kushambulia mwendokasi media kubwa zote hadi TBC wameuchuna, waliopost wameepuka kuandika wananchi washambulia!

    Wakuu, Hii inashangaza! Chalamila alipoenda kutembelea mwendokasi jana Oktoba 1 asubuhi media zote zilipost,na uchawa wa kutosha kwenye maigizo na maagizo yaliyotolewa! Sawa, walitimiza wajibu wao, wananchi tukahabarika. Mambo yakageuka wananchi walipogomea mwendokasi na kufanya vurugu...
  10. ngara23

    JamiiForums Tanzania Magomeni: Vurugu zazuka, ofisi ya mabasi ya mwendo kasi yavamiwa na kupelekea kuvunjwa vioo

    Kutokana na kero ya usafiri na uhaba wa mabasi ya mwendo kasi, wananchi wenye hasira kali wamevamia ofsi za tiketi na mabasi ya mwendo kasi na kuanza kupasua vioo na kuumiza wafanyakazi wa kampuni hiyo. Fujo zimezuka usiku huu, polisi Bado hawajafika Wanasiasa endeleeni kujidanganya ati...
  11. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM waja na tamthilia (bongo muvi) ya kusifia serikali ya Samia, kweli vuguvugu la maandamano linawanyima usingizi!

    Wakuu, Kuna tamthilia imeanza kurushwa Septemba 30, 2025 ambapo waliachia episode ya kwanza. Tamthilia hiyo inaitwa Hatua na kama kawaida wasanii chawa ndio waliyoipamba tamthilia hiyo. Kwenye episode ya kwanza wanaonesha maendeleo yaliyofanywa kwenye sekta ya kilimo, na jinsi wakulima...
  12. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mjumbe CCM Kigoma Mjini: ACT walikuja kuniomba kura nikaibiwa simu yangu

    Wakuu, Mwananchi katika jimbo la kigoma mjini ambaye pia ni mjumbe wa balozi CCM amefunguka kuwa timu ya watu wa ACT walimtembelea nyumbani kwake kwaajili ya kumuomba kura lakini wakaondoka na simu yake kitendo ambacho kimetafsiriwa kuwa ni wizi. Tukio hilo limetokea tarehe 25 mwezi September...
  13. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole kukiwasha muda mfupi ujao, kuongelea jinsi pesa zinavyopigwa na wanamtandao

    Wakuuu, Haya muamke tupate maji yenye pilipili kutoka kwa Polepole🌚
  14. JF Analyst

    JamiiForums Tanzania Fahamu waliowahi kuongoza NIDA: Yupo Mkurugenzi TISS, mmoja alifutiwa Kesi ya Ufisadi na Serikali Awamu ya 6

    NIDA (Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa) ni chombo chenye wajibu wa kutoa huduma za utambuzi ambazo zinatambulika kitaifa na kimataifa. Chombo hiki hutoa vitambulisho kwa Watanzania na wageni wakaazi wa Tanzania na kutunza Daftari la Utambuzi kwa kengo la kuimarisha Usalama na Amani kiuchumi na...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kauli ya Andrew Nyerere juu ya CHADEMA isilazimishwe kuwa kauli ya Familia ya Mwl. Nyerere japo kuna ukweli kuwa Demokrasia iko ICU!

    Namheshimu sana na mno Kaka Andrew Nyerere na nimeuheshimu Mchango wake ila sikubaliani nae kwa 100% kumzuia Rais Samia asiende Kuzuru Kaburi la Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Ni kweli kabisa kuwa Demokrasia kwa sasa nchini Tanzania iko mahututi ICU na Serikali ya CCM chini ya Rais Samia...
  16. The Father of All

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hawa wagombea wanaotumia mabilioni wameyapata wapi na watayarudishaje au kuna namna?

    Kwa wanaofuatilia vimbwanga kuelekea uchakachuaji ujao, watakubaliana nami kuwa pesa ndefu inatumiwa tena watoto wa makapuku ambao hawajafanya kazi muda mrefu. Je wanaipata wapi au ni bwimbwi kama siyo ya kutupiga kwa wale waliowahi kushika nyadhifa kama yule wa Arusha. Je wananunua nini na...
  17. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gazeti la The Citizen na katuni zinazoonesha uchaguzi huu hausomeki. TCRA watakuwa wanawazoom wakitafutia angle!

    Wakuu, Gazeti la The Citizen ilichapisha katuni hizi kwa nyakati tofauti kuonyesha mazingira ya uchaguzi nchini. Kwenye katuni ya kwanza inaonesha mnara ulianza kusoma freshi kuelekea box la kupiga kura lakini kadri jamaa anavyolikaribia box la kura mnara unashuka na hatimaye kupotea kabisa...
  18. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi: Tukimpigia simu Samia anapokea, anatusikiliza

    Wakuu, Wananchi wa toka sehemu mbalimbali wameonyesha kufurahishwa na mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Samia jinsi anavyojitoa kuwasikiliza na kuwatatulia matatizo yao pindi wanapokubwa na kero mbalimbali katika sehemu zao za kazi. Au wanasema uongo Wakuu, yaani wanasema Samia ndio...
  19. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Magufuli na vijana wa ovyo: Kijana mpenda rushwa, tapeli, asiyejifahamu ni aina ya vijana wenye mchango mdogo sana katika taifa na chama!

    "Kijana ambaye ni mpenda rushwa, mwizi, fisadi, tapeli, mvivu, mtumia madawa ya kulevya, asiyejifahamu, nk, aina hii ya vijana wana mchango mdogo sana katika taifa na hata kwenye chama." - Magufuli Hii ndio aina ya vijana waliojaa CCM na CCM-B zote, chawa wasio na maana wanaouza wenzao ili...
  20. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Gen Z anayekosoa Uchaguzi na kukubali maandamano, Frida Mikoroti amekamatwa na Polisi lakini mpaka sasa hajulikani alipo

    Wakuu, Binti huyu anayefahamika kwa jina la Frida Mikoroti, amekuwa akikosoa kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea wakati huu kupitia kurasa za mitandao yake ya kijamii, akiwachana CCM kutokuwa na mpinzani wa kweli lakini pia kutoa ahadi za kipuuzi katika mambo ambayo walipaswa kuwa...
Back
Top Bottom