uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    GE2025 Jinsi comedy inavyotumika kufikisha ujumbe wakati huu wa Uchaguzi. Ukishindwa kote hapa huwezi kukwama kuelewa

    Wakuu, Hapa hata kama unakuwa huelewi matamko makubwa makubwa, sijui maandiko marefu, hapa unaelewa! Ujumbe unafikishwa kama utani lakini ndio umefika hivyo, na unakaa akilini vizuri. Kama wanavyotumia sanaa kuhamasisha watu kuachana na maandamano, amani bila haki, na propaganda za kipuuzi...
  2. Cute Wife

    GE2025 Simba SC wamesaidia kusambaza taarifa ya Maandamano na MO 29 ikimaanisha Maandamano Oktoba 29. Hutaki kula jiwe!

    Wakuu, Kwani jamaa kasema uongo hapa Wakuu? Jezi za Simba zilizoandikwa MO 29 maana yake ni M - Maandamano O - October 29 - Hii haitaji hata tafsiri inajieleza, siku ya tar 29 ndio yenyewe! Simba wameupiga mwingi kuhakikisha Watanzania hata wa Nanjilinji wanapata taarifa kuhusu maandano...
  3. M

    GE2025 Askofu Ruwa'ichi: Hatusikii walioapa kulinda Uhai wa Watanzania Kulaani au Kukomesha Utekaji na Kutoweka kwa watu

    Askofu Ruwa'ichi akizungumza katika Misa ya Takatifu ya Hija ya UWAKA kuwategemeza Masista wa Shirika la Dada Wadogo Visiga Pwani, jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam amesema kuwa utekaji mbalimbali unaotokea nchini unaendeshwa na kikundi Maalum mpaka wananchi kufikia kujiuliza iweje kikundi hiki...
  4. JanguKamaJangu

    GE2025 Misime: Wanaohamasisha maandamano kwa kutumia akaunti feki tutawatambua tu

    “Wanaohamasisha maandamano kwa kutumia akaunti feki wasifikiri hawawezi kutambulika, watatambulika tu, Watanzania wengi ambao ni wema wanaoipigania amani watatuambia tu huyu siyo. “Tukio kama hilo lilishawahi kutolewa siku za nyuma na walitambulika na wakachukuliwa hatua.” Hiyo ni kauli ya...
  5. JanguKamaJangu

    GE2025 Misime: Wanaotaka kuandamana waishie kuandamana hukohuko kwenye mitandao

    Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, akihojiwa na Kituo cha UTV, leo Jumanne Oktoba 14, 2025 amesema: “Sheria ipo wazi wanaotaka kuandamana kinyume cha Sheria watachukuliwa hatua, Jeshi la Polisi tupo imara na tupo tayari kuwalinda Watanzania wema kwa...
  6. Cute Wife

    GE2025 Kazi ya Polisi na Vyombo vya Uchunguzi ni nini kama mtu akitoa taarifa anatakiwa atoe ushahidi?

    Wakuu, Yaani sielewi hiki kitu kabisa, mtu anapotoa tuhuma za jambo fulani kazi yake inakuwa imeisha, sasa ni kwa polisi na/au mamlaka husika kwenye tukio hilo kufanya uchunguzi na kuthibitisha kama jambo husika ni kweli au lah. Na ndio maana mtu anakuwa hana hatia mpaka pale itakapothitishwa...
  7. JanguKamaJangu

    GE2025 Gerson Msigwa: Wanaotangaza hakuna Uchaguzi 2025 wanapoteza muda na wanafurahisha genge

    Akizungumza katika mahojiano na Kituo cha UTV, leo Jumatatu Oktoba 13, 2025, Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa anasema: ‘Watanzania wawe na amani, kila kitu kitu kinaenda swa, Oktoba 29 waende wakapige kura, kwa sasa wasikilize wagombea ili ikifika siku hiyo wakafanye maamuzi sahihi.’ Kuhusu...
  8. McLaren

    GE2025 Lazaro Nyalandu: Tumuombee Rais Samia. Watu watoke kupiga kura bila uoga, wasiwasi na sintofahamu

    Wakuu Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Lazaro Nyarandu amewataka wananchi kujitokeza kusikiliza sera za wagombea katika nafasi mbali mbali huku akiwaomba wananchi kumuombea mgombea urais wa CCM Samia Suluhu
  9. Carlos The Jackal

    Mmefanya kosa kubwa sana kuanza kuteka mapadre

    WE ARE COMING!!. Unaanzisha Vita dhidi ya KANISA kwakua tu umeshauriwa Linda Rasimali za Nchi, Acha Utekaji ,Acha Mauaji ,Acha kuonea Wapinzani, Acha Kuiba Kura, Hakikisha Kuna Uchaguzi huru na Wa HAKI!!. Kinyume chake, Unaamua kutumia Genge la Wauaji Kuteka Mapdre, kujaribu Kuua Mapdre...
  10. McLaren

    GE2025 Aggrey Mwanri: Watu wamezuiwa kule nje kwa sababu uwanja umelemewa. Samia Watanzania wana imani kubwa sana kwako

    Mwanasiasa na Kiongozi mstaafu Mwinjilisti Agrey Mwanry leo Jumamosi Oktoba 11, 2025 ametumia maandiko matakatifu ya Biblia kumuombea kura Mgombea Urais Samia Suluhu Hassan aliyekuwa na Mkutano wa Kampeni Kahama Mkoani Shinyanga kwenye Viwanja vya Magufuli. "Mkuu hizo kura sijui utabebaje...
  11. Waufukweni

    GE2025 Samia: Tulipoingia tukamkuta Mzee Nnauye Kamati Kuu, akasema eeh, Karume kaleta haya mapapai! Kwahiyo, ningezubaa kidogo ndiyo hivyo tena

    Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, Septemba 24, 2025 aliwasimulia wananchi wa Mtama, mkoani Lindi, namna alivyoingia Kamati Kuu ya chama hicho baada ya kukutana na baba yake Nape Nnauye. “Lakini mama huyu ana mwanawe anaitwa Nape Nnauye… ngoja niwapeni...
  12. Damaso

    Vodacom na mitandao mingine zuieni sms za Tume ya Uchaguzi ni kero kwa watanzania

    Ni jambo la kushangaza na kusikitisha kuona Watanzania wengi wakilalamika kuhusu wimbi la jumbe zinazotumwa kila siku zikiwa na ujumbe wa “Jitokeze kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025 kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani. Kura yako ni haki yako.” Wengi wanasema ujumbe huo, unaoonekana kama...
  13. McLaren

    GE2025 Salum Mwalim atoa ahadi ya kukataza kupiga marufuku magulio akishinda Urais

    Mgombea Urais wa Chama Cha Ukombozi wa Umma, Salum Mwalim amesema akipewa ridhaa ya kuongoza Tanzania ataboresha miundombinu ya masoko ya vyakula Dar es Salaam na kujenga masoko ya kisasa ili kusaidia wafanyabiashara kukuza mitaji yao Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi...
  14. DuaZaMama

    GE2025 Paul Makonda: Oktoba 29 hakuna maandamano, wote wanaenda kupiga kura

    Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kuptia chama Cha Mapinduzi CCM Paul Makonda amemhakikishia Mgombea urais kupitia cha hicho kuwa Oktoba 29 hakuna maandano na atapewa kura zakutosha. Makonda amesema " Wananchi wa vijiweni wameniomba kwamba sasa hivi achaneni na habari ya kutokupiga kura...
  15. Cute Wife

    GE2025 Polisi wanatroti na kupasha misuli kila siku, wananchi tumeanza mazoezi?

    Wakuu, Safari hii polisi karibu kila siku wanaonekana barabarani wakifanya 'mazoezi' na kujiweka fiti, yote haya ni kujiandaa kukabiliana na wananchi watakaoandamana siku hiyo, pamoja na kuwatisha ofkoz, kuwa msisubutu kwani tutakuwepo barabarani kuwakabili. Wakati polisi wakiendelea na...
  16. figganigga

    GE2025 VODACOM: Kama hutaki tukutumie Meseji za Uchaguzi 2025, Kalalamike TCRA

    Kampuni ya Mawasiliano Tanzania ya Vodacom, iimewataka wananchi ambao hawataki kutumiwa meseji za Uchaguzi, waende kushitaki au kulalamika TCRA. Meseji utake usitake utapokea tu. Huna uhuru wala haki yoyote ya kuamua wala kuchagua kwa mtakwa yako. Pumzika kwa amani Alfonce Mawazo. Muda huu...
  17. The Burning Spear

    GE2025 Una maoni gani na Kampeni za Uchaguzi 2025 kugeuka vitisho badala ya kuuza sera?

    GT. Mimi nashuhudia maajabu tu. Hakuna sera ni vitisho tu aha ha ha ha 😂 😆 🤣 nyie maCCM nani kawaambia sisi tunapiga kura. Kazi mnayo mwaka huu. Uchaguzi wenu ni wa mchongo. Haukubaliki duniani na mbinguni hatuji, kupiga kura.. Hamna sera mmebaki kutisha tisha watu hovyo bure kabisa.
  18. Luca Paguro

    GE2025 Msanii wa Vichekesho, Ramso atekwa na 'watu wasiojulikana'. Aliposti video akimtaka Samia ajiuzulu

    Kuna kijana anaitwa Ramso, alipost hii video Tiktok, alikuwa anaomba Samia ajiuzulu atuachie nchi Huyu ni kijana mdogo tu alikuwa anatoa maoni yake ya kisiasa kuhusu utendaji kazi mbovu wa Rais Samia Lakini leo tarehe 8 October kuna video hii inasambaa kuwa kijana anatafutwa, haonekani alipo...
  19. The Burning Spear

    Bila dhamana ya Viza Watanzania marufuku kuingia Marekani kuanzia 23 Oktoba 2025. Serikali nao watoa tamko

    GT Haya sasa mapambazuko yanaendelea, watanzania tunaonekana kwa sasa ni viumbe hatari tusioaminika huko duniani. ================ KUHUSU UAMUZI WA SERIKALI YA MAREKANI KUIWEKEA TANZANIA MASHARTI YA DHAMANA YA VIZA (VISA BOND) Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuuarifu umma...
  20. Cute Wife

    GE2025 Fanya hivi ili usidakwe kirahisi na 'wanamtandao' wanapokutafuta kupitia Instagram

    Wakuu, Jamaa kaelezea kwa lugha rahisi huku ukiwa unaona jinsi watu wanavyoweza kukudaka ukiwa umeachia sehemu ya location kutumika kwenye mtandao Instagram. Fuata maelekezo, jilinde. Mbali na hili, tofauti na biashara acha kupenda kupost maeneo unayopenda kutembelea au unapopoa mara kwa...
Back
Top Bottom