uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    GE2025 Salum Mwalimu: Vijana wenzangu najua mnavyohustle. Nipeni kura msela mwenzenu tukatusue

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, akiwa katika Kata ya Guruka, Jimbo la Kigoma Kusini, mkoani Kigoma, ameahidi kuwa serikali yake itaweka nguvu katika kupambana na umaskini kwa kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani ya...
  2. McLaren

    GE2025 Waziri Stergomena Tax: Maafisa Usafirishaji nyie ni watu muhimu sana. Mna mchango mkubwa katika kutunza amani

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa JKT, Mhe. Dkt. Stergomeana Tax, amewataka maafisa usafirishaji kwa njia ya pikipiki (bodaboda), kote nchini kuwa mabalozi wazuri wa kulinda amani ya nchi, hususani katika kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi mkuu wawapo katika shughuli zao kwani...
  3. McLaren

    GE2025 Wasira: Mchagueni Samia. Yuko tayari kutumia juhudi binafsi kuleta maendeleo

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira miongoni mwa sababu za Watanzania kymchagua Mgombea urai wa CCM Dk. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na uwezo wake kutumia juhudi binafsi kuleta maendeleo ya Watanzania. Aidha, kupitia CCM chini ya Dk. Samia, Watanzania...
  4. McLaren

    GE2025 Iwepo sheria, Kigezo cha mtu kupiga kura kisiwe umri bali TIN number. Kama hulipi kodi direct marufuku kupiga kura

    Wakuu, The reason Tanzania watu wengi hawataki kuandamana na hawataki kushiriki kwenye siasa ni kwa sababu mfumo hauwagusi direct. Yaani mtu ana barber shop yake. Halipi kodi. Yeye ananyoa tu watu. Habugudhiwi na mfumo kwa hiyo anaona kila kitu ni sawa NA majority ya hawa watu ndio wanajaza...
  5. McLaren

    GE2025 Samia: Mkituchagua tutamaliza tatizo la umeme hafifu

    Kuna muda unasikiliza sera za CCM unaweza kudhani kuwa kwa miaka 60 iliyopita nchi ilikuwa chini ya CHADEMA au chama kingine Sasa suala la umeme ===================== Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwa ndani ya miaka mitano ijayo ikiwa watanzania watampa...
  6. Sifi Leo

    GE2025 Ilani ya CCM inasemaje kuhusu utekwaji na kuuliwa kwa watanzania?

    Mh Rais Samia ilani ya ccm inasemaje kuhusu utekwaji na kuuwa kwa vijana wa kitanzania? Lejea mdude, SOKA shyrose na wenzake? Je vijana msio na ajira mtampa ajira Samia Suluhu hassani?
  7. W

    GE2025 Makonda: Nikishinda Ubunge nitamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha

    Hivi hawa viongozi wanatuonaje kwa mfano. Na hao wananchi wako tu hapo wanasikiliza na kupigia ujinga makofi. Ni kwamba kero zote Arusha zimetatuliwa au? ================ Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema katika kusherehesha shamrashamra za...
  8. DuaZaMama

    GE2025 Heche: Kenya ni Nchi kiongozi kwa Demokrasia na mahakama huru

    Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa Kenya ni miongoni mwa mataifa yenye demokrasia nzuri na mahakama huru akieleza kuwa nchi hiyo haipo tena kwenye vita ya kuteka na kuua raia bali wapo kwenye vita ya kiuchumi. Ameyasema hayo leo Septemba 19,2025 wakati akizungumza kwa njia ya...
  9. Analogia Malenga

    Zijue nchi za Afrika zinazofanya uchaguzi 2025

    Chaguzi 2025 Barani Afrika: Orodha Hizi ndizo chaguzi zijazo kwa muundo wa orodha. Januari 2025 12 Januari 2025: Comoro – Bunge la Muungano Februari 2025 2 Februari 2025: Togo – Seneti [imeahirishwa] Februari 2025: Togo – Rais Machi 2025 5 Juni 2025: Burundi – Bunge la Taifa Agosti...
  10. JF Analyst

    GE2025 Wagombea Urais kupewa magari na INEC na ZEC inaleta taswira gani kwa wapiga Kura?

    Katika mchakato wa Kidemokrasia, Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na Tume huru ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inachukuliwa kama nguzo kuu ya uaminifu wa wananchi. Lakini hatua ya Tume kuwapatia wagombea wa Urais magari kwa ajili ya kampeni inaleta maswali mazito kuhusu mustakabali wa Demokrasia na...
  11. Inside10

    GE2025 Majizzo apata ajali mbaya akiwa kwenye kampeni za CCM Zanzibar, wawili wafariki

    Taarifa kutoka Zanzibar zilizopatikana zinaeleza kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa EFM na TVE, Francis Ciza maarufu kama Majizzo amepata ajali mbaya ya gari iliyopelekea vifo vya watu wawili. Tukio hilo lililotokea katika harakati za maandalizi za kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nungwi...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 RPC Ruvuma: CCM ni kubwa huwezi ukaingia ghafla na kuishinda, sisi tunatetea wote mdogo na mkubwa

    Kwahiyo hapa Kamanda ndio ametuambia kimtindo kwamba CCM washashinda hata wananchi tufanye nini? Yaani wameshachagua upande wao kwa maana mwingine, tuwatake tusiwatake hakuna kitu kitabadilika! Hawa ndio wananchi wanataka waweke imani zao kwao kuwalinda hasa inapotokea kuna mtazamo tofauti...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Vijana wa JKT Waonywa Kuhusu Mitandao, Waandaliwa kwa Mapambano ya Taifa

    Brigedia Jenerali Paul Masinde amewataka vijana waliohitimu mafunzo ya Operesheni Nishati Safi katika Kikosi cha Mgambo 835 JKT wilayani Handeni, mkoani Tanga, kutumia ipasavyo mitandao ya kijamii na kujiepusha na kujiunga na vikundi vya uhalifu. Kwa upande wake, Kaimu Kamanda wa Kikosi hicho...
  14. O

    Tetesi: Mange: Serikali yatoa maagizo ya kuwatambua Viongozi wa Dini wasiomuunga mkono Rais Samia

    Ameandika Mangekimambi "Amkeniiiiiii, mnalala mna raha gani na huku Mchengerwa, mkwe wa Rais katuma barua kwa wakuu wa mikoa wote wapeleke listi ya wachungaji ambao hawapo na Samia. Yani ni hivi Mchengerwa anataka listi ya majina ya wachungaji ambao hawapo upande wa Samia na list itaenda ikulu...
  15. McLaren

    GE2025 Mgombea Ubunge Jimbo la Mvumi: Watu wanapewa tu cheo kidogo, wanatembea kama wana majipu

    Wakuu, Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mvumi, Livingstone Lusinde maarufu Kibajaji, amesema baadhi ya viongozi wa umma wakishapewa nafasi za uongozi wanasahau utu kwa wananchi wanaowaongoza. Kibajaji ameyasema hayo jijini Mbeya, alipokuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za CCM Jimbo la...
  16. McLaren

    GE2025 Aliyekuwa mtiania Jimbo la Ulanga Abdallah Kirungu amuombea radhi mgombea aliyesema Ulanga watamroga mtu ambaye hatampigia kura Samia

    Wakuu, Aliyekuwa mtia nia wa Ubunge jimbo la Ulanga na Mshindi wa Pili wa Kura za Maoni Mkoani Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdallah Kirungu, amemuombea radhi mgombea wa nafasi ya Ubunge wa jimbo hilo Mhe Salim Alaudin Hasham kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  17. McLaren

    GE2025 Rais Samia alivyokwepa kumrushia vijembe Zitto Kabwe kufuatia maneno ya Baba Levo

    Mgombea Urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan amesema kwa Jimbo la Kigoma Mjini Wagombea Ubunge wa mwaka huu wa CCM Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Babalevo na Zitto Zubeir Kabwe wa Chama cha ACT Wazalendo wote ni wanae na wananchi ndio watakaoamua nani awaongoze. Dkt. Samia ameyasema...
  18. McLaren

    GE2025 Wanu Hafidh Ameir: Nimegombea Jimbo la Makunduchi maana tuko nyuma kwenye kila kitu

    Wakuu, Wanu ameyasema hayo huko Viwanja vya Mtende kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho kwa Wilaya ya Kusini Unguja, uzinduzi huo Mgeni rasmi ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla.
  19. McLaren

    GE2025 Masanja Kadogosa: Shida na changamoto za wananchi ndio zimenifanya niache kazi kwenye Shirika la Reli

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bariadi Vijijini, mkoani Simiyu kupitia CCM, Masanja Kadogosa, amesema sababu kubwa ya kuacha kazi katika Shirika la Reli Tanzania (TRC) ni kutokana na shida na changamoto zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo. Kadogosa, ambaye aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TRC...
  20. McLaren

    GE2025 Mgombea Urais CUF: Mtoto akizaliwa kabla hajapewa jina tutampa NIDA

    Mgombea wa CUF Gombo Samandito Gombo ameahidi endapo atashinda atahakikisha kila mtoto atakayezaliwa nchini kabla hata ya kupewa jina na wazazi wake atapewa kitambulisho cha taifa cha Nida ili kumuondolea usumbufu pindi atakapokuwa mtu mzima Gombo Samandito Gombo ameyasema hayo leo Septemba 14...
Back
Top Bottom