Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, akiwa katika Kata ya Guruka, Jimbo la Kigoma Kusini, mkoani Kigoma, ameahidi kuwa serikali yake itaweka nguvu katika kupambana na umaskini kwa kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani ya...
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa JKT, Mhe. Dkt. Stergomeana Tax, amewataka maafisa usafirishaji kwa njia ya pikipiki (bodaboda), kote nchini kuwa mabalozi wazuri wa kulinda amani ya nchi, hususani katika kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi mkuu wawapo katika shughuli zao kwani...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira miongoni mwa sababu za Watanzania kymchagua Mgombea urai wa CCM Dk. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na uwezo wake kutumia juhudi binafsi kuleta maendeleo ya Watanzania.
Aidha, kupitia CCM chini ya Dk. Samia, Watanzania...
Wakuu,
The reason Tanzania watu wengi hawataki kuandamana na hawataki kushiriki kwenye siasa ni kwa sababu mfumo hauwagusi direct.
Yaani mtu ana barber shop yake. Halipi kodi. Yeye ananyoa tu watu. Habugudhiwi na mfumo kwa hiyo anaona kila kitu ni sawa NA majority ya hawa watu ndio wanajaza...
Kuna muda unasikiliza sera za CCM unaweza kudhani kuwa kwa miaka 60 iliyopita nchi ilikuwa chini ya CHADEMA au chama kingine
Sasa suala la umeme
=====================
Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwa ndani ya miaka mitano ijayo ikiwa watanzania watampa...
Mh Rais Samia ilani ya ccm inasemaje kuhusu utekwaji na kuuwa kwa vijana wa kitanzania?
Lejea mdude, SOKA shyrose na wenzake?
Je vijana msio na ajira mtampa ajira Samia Suluhu hassani?
Hivi hawa viongozi wanatuonaje kwa mfano. Na hao wananchi wako tu hapo wanasikiliza na kupigia ujinga makofi. Ni kwamba kero zote Arusha zimetatuliwa au?
================
Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema katika kusherehesha shamrashamra za...
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa Kenya ni miongoni mwa mataifa yenye demokrasia nzuri na mahakama huru akieleza kuwa nchi hiyo haipo tena kwenye vita ya kuteka na kuua raia bali wapo kwenye vita ya kiuchumi.
Ameyasema hayo leo Septemba 19,2025 wakati akizungumza kwa njia ya...
Chaguzi 2025 Barani Afrika: Orodha
Hizi ndizo chaguzi zijazo kwa muundo wa orodha.
Januari 2025
12 Januari 2025: Comoro – Bunge la Muungano
Februari 2025
2 Februari 2025: Togo – Seneti [imeahirishwa]
Februari 2025: Togo – Rais
Machi 2025
5 Juni 2025: Burundi – Bunge la Taifa
Agosti...
Katika mchakato wa Kidemokrasia, Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na Tume huru ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inachukuliwa kama nguzo kuu ya uaminifu wa wananchi. Lakini hatua ya Tume kuwapatia wagombea wa Urais magari kwa ajili ya kampeni inaleta maswali mazito kuhusu mustakabali wa Demokrasia na...
Taarifa kutoka Zanzibar zilizopatikana zinaeleza kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa EFM na TVE, Francis Ciza maarufu kama Majizzo amepata ajali mbaya ya gari iliyopelekea vifo vya watu wawili.
Tukio hilo lililotokea katika harakati za maandalizi za kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nungwi...
Kwahiyo hapa Kamanda ndio ametuambia kimtindo kwamba CCM washashinda hata wananchi tufanye nini? Yaani wameshachagua upande wao kwa maana mwingine, tuwatake tusiwatake hakuna kitu kitabadilika!
Hawa ndio wananchi wanataka waweke imani zao kwao kuwalinda hasa inapotokea kuna mtazamo tofauti...
Brigedia Jenerali Paul Masinde amewataka vijana waliohitimu mafunzo ya Operesheni Nishati Safi katika Kikosi cha Mgambo 835 JKT wilayani Handeni, mkoani Tanga, kutumia ipasavyo mitandao ya kijamii na kujiepusha na kujiunga na vikundi vya uhalifu.
Kwa upande wake, Kaimu Kamanda wa Kikosi hicho...
Ameandika Mangekimambi
"Amkeniiiiiii, mnalala mna raha gani na huku Mchengerwa, mkwe wa Rais katuma barua kwa wakuu wa mikoa wote wapeleke listi ya wachungaji ambao hawapo na Samia.
Yani ni hivi Mchengerwa anataka listi ya majina ya wachungaji ambao hawapo upande wa Samia na list itaenda ikulu...
Wakuu,
Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mvumi, Livingstone Lusinde maarufu Kibajaji, amesema baadhi ya viongozi wa umma wakishapewa nafasi za uongozi wanasahau utu kwa wananchi wanaowaongoza.
Kibajaji ameyasema hayo jijini Mbeya, alipokuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za CCM Jimbo la...
Wakuu,
Aliyekuwa mtia nia wa Ubunge jimbo la Ulanga na Mshindi wa Pili wa Kura za Maoni Mkoani Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdallah Kirungu, amemuombea radhi mgombea wa nafasi ya Ubunge wa jimbo hilo Mhe Salim Alaudin Hasham kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Mgombea Urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan amesema kwa Jimbo la Kigoma Mjini Wagombea Ubunge wa mwaka huu wa CCM Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Babalevo na Zitto Zubeir Kabwe wa Chama cha ACT Wazalendo wote ni wanae na wananchi ndio watakaoamua nani awaongoze.
Dkt. Samia ameyasema...
Wakuu,
Wanu ameyasema hayo huko Viwanja vya Mtende kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho kwa Wilaya ya Kusini Unguja, uzinduzi huo Mgeni rasmi ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bariadi Vijijini, mkoani Simiyu kupitia CCM, Masanja Kadogosa, amesema sababu kubwa ya kuacha kazi katika Shirika la Reli Tanzania (TRC) ni kutokana na shida na changamoto zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo.
Kadogosa, ambaye aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TRC...
Mgombea wa CUF Gombo Samandito Gombo ameahidi endapo atashinda atahakikisha kila mtoto atakayezaliwa nchini kabla hata ya kupewa jina na wazazi wake atapewa kitambulisho cha taifa cha Nida ili kumuondolea usumbufu pindi atakapokuwa mtu mzima
Gombo Samandito Gombo ameyasema hayo leo Septemba 14...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.