Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Rais Samia ni Kama Nuru na Mwanga Gizani, ni Tumaini la Watanzania, ni kipenzi cha watu. Anakubalika ,kupendwa na kuaminika utafikiri Nabii mwenye Kibali cha Mungu mkononi pake.
Upendo anaopewa na kuonyeshwa na watanzania ni upendo wa kipekee,ni zaidi ya...
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele amesema jeshi hilo litaanzisha masomo ya uzalendo wa kidigitali kutokana na ukweli kwamba vijana wengi hupatikana kwenye mitandao ili kuwajengea na kukuza uzalendo katika mambo wanayofanya wakiwa kwenye mitandao ya kijamii.
Meja...
Ni muda muafaka sasa kuanza kuzungumza siasa vijiweni, vijiwe vya kahawa, sehemu za biashara, migahawani, kwenye vyombo vya usafiri na hata kwenye mikusanyiko.
Huu upuuzi wa kuogopesha Watanzania kila siku mpaka lini?
Huu utaratibu ni mzuri, kama mtu ana hoja ya kupinga uongozi uliopo...
Mkuu wa wilaya ya Ubungo Albert Msando akizungumza kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba ameeleza kuhusu kuwepo na mapambano dhidi ya ufisadi nchini
“Ni kweli ufisadi upo Nchini lakini Rais Samia anapambana nao, na anakereka na...
Wakuu salam,
Vuguvugu la maandamano lilianza miezi michache iliyopita baada ya CHADEMA kuja na kampeni ya "No Reforms, No Reforms" huku Lissu akisema watawashawishi watanzania waingie barabarani siku ya uchaguzi na kupinga uchaguzi huo kufanyika mpaka pale mabadiliko ya sheria na katiba...
Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia padre Jordan Kibiki wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, kwatuhuma za kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa na watu wasiojulikana. Kamanda wa Polisi mkoa wa Iringa, SACP Allan Bukumbi, amethibitisha kukamatwa kwa padre huyo na kueleza kuwa uchunguzi wa...
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mch. Peter Msigwa amewaomba wananchi kukichagua kwani ndicho chama chenye sera za ukombozi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi tofauti na vyama vya upinzani.
Msigwa ameyasema hayo leo Septemba 23 wakati wa mkutano wa kampeni, Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM...
Hivi ni bodaboda gani anaglow hivi wakuu?
=================
Rajab Mvita Ally ambaye ni Mwenyekiti wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) kijiji cha Nakapanya amesema siku ya Uchaguzi atajitolea kuwasafirisha watu bure watakaokuwa na nia ya kwenda kupiga kura.
Amesema shauku yake ni kuhakikisha...
Wakuu,
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Geofrey Kiliba, amewataka vijana nchini kutambua nafasi yao katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, akisema matokeo ya uchaguzi huo yatakuwa na mchango mkubwa katika mustakabali wao.
Akizungumza katika kipindi cha...
Wakuu,
Wamasai nao wameunga tela kumsifia wagombea wa CCM na kuichagua CCM
Huyu hapa Mmasai akiwa anamnadi Samia kwenye kampeni
“Hatuna sababu ya kukupa kura ya kutiki kwa sababu tunaitambua kazi yako. Bila ya beach boy au bila ya Mmasai hakuna utalii kwa sababu wao hawawezi kujua mpaka...
Wakuu,
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai kupitia CHAUMMA, James Mbowe amesema endapo atachaguliwa kuwa Mbunge wa Hai, atahakikisha vijana wa kata zote 17 za Jimbo hilo wananufaika moja kwa moja na fursa zinazotokana na Mlima Kilimanjaro.
Ameeleza kuwa atatenga fedha za asilimia 10 za Halmashauri...
Nikikumbuka mbilinge mbilinge za kipindi kile cha movement for change (M4C) na jinsi presha ya uchaguzi ilivyokuwa juu, nina thubutu kusema laiti kama mheshimiwa Edward Lowasa angekuwa hai basi hiki kilikuwa kioindi sahihi zaidi cha yeye kuongoza nchi.
Mpaka sasa sijaona mtu sahihi ambaye...
Wameona mambo ni mengi sana Mtandaoni wananchi wanakabia juu kwa juu, sasa kazi ni kufanya brain washing kwa vijana wanaotoka kambini na kurejea mtaani
Natumai mmewaambia namna ya kuja kupambana na mafisadi wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi yao
---------------
Vijana kote nchini Pamoja na...
Anaandika Humphrey Polepole kupitia ukurasa wake wa Instagram:
"Ukiona ukiwasikiliza ndani ya moyo wako hawakupi amani ya moyo, ukiona wanatumia nguvu kubwa kukushawishi hata kwa mambo ya kawaida na bado unahisi na kuona kutokuwaamini, ukiona wakitajwa unahofia usalama wako, ukiona hauwezi...
Kitendo cha TLS kutangaza maandamano ya amani ncni nzima pale pale ilikuwa umma utoe sapoti ya kutosha, ila haipo hio sapoti.
Ofisi zao kule Dar zimevamiwa hakuna Keybord worrior hata mmoja alioko frontline kutoa sapoti. Hakuna raia wanao sema watoke wakaone kuna nini pale hakuna.TLS wameachwa...
Wakuu nimejaribu kuwaza mbali, tusije tukaishia kutoa mapepo na kumuingiza shetani!
Itakuaje sasa, kwa mfano tukawatoa kijani, tumeshawaza ni nani tutakayempa dhamana ya kuwa mbeba maono wa kutufikisha Kaanani? Tukishasafisha njia, tukaziba mashimo yote na kutoa miba na mawe njiani, kukawa...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya awamu ya sita imeanza mpango wa ujenzi wa reli ya zaidi ya Kilomita 1,000 kutoka Mtwara mpaka Mbamba Bay mkoani Ruvuma.
Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NLD, Mhe. Doyo Hassan Doyo, akiwa katika ziara za kampeni Wilaya ya Serengeti, aliwahutubia wakazi wa Mji wa Mugumu.
Katika hotuba yake, Mhe. Doyo alisema kuwa ni fedheha kwa wananchi wa Serengeti kukosa miundombinu bora ya...
Salim Bimani amewataka viongozi wa CCM waache kuwafuatafuata wanachama wa ACT WAZALENDO na kuwarubuni kwa pesa kwani wanachama hao hawawezi tena kudanganywa na kurubuniwa kwa pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.