uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    GE2025 PICHA: Rais Samia ni nuru. Hakuna kiongozi amewahi kupata mapokezi ya aina hii Mtwara tokea kuumbwa kwa Dunia

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Rais Samia ni Kama Nuru na Mwanga Gizani, ni Tumaini la Watanzania, ni kipenzi cha watu. Anakubalika ,kupendwa na kuaminika utafikiri Nabii mwenye Kibali cha Mungu mkononi pake. Upendo anaopewa na kuonyeshwa na watanzania ni upendo wa kipekee,ni zaidi ya...
  2. DuaZaMama

    GE2025 JKT kuja na mafunzo mapya kukuza uzalendo wa vijana mitandaoni

    Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele amesema jeshi hilo litaanzisha masomo ya uzalendo wa kidigitali kutokana na ukweli kwamba vijana wengi hupatikana kwenye mitandao ili kuwajengea na kukuza uzalendo katika mambo wanayofanya wakiwa kwenye mitandao ya kijamii. Meja...
  3. 100 others

    GE2025 Ni muda sasa kuzungumza siasa vijiweni, migahawani, vyombo vya Usafiri, sehemu za biashara na sehemu zote zenye mikusanyiko

    Ni muda muafaka sasa kuanza kuzungumza siasa vijiweni, vijiwe vya kahawa, sehemu za biashara, migahawani, kwenye vyombo vya usafiri na hata kwenye mikusanyiko. Huu upuuzi wa kuogopesha Watanzania kila siku mpaka lini? Huu utaratibu ni mzuri, kama mtu ana hoja ya kupinga uongozi uliopo...
  4. R

    GE2025 Albert Msando: Ni kweli Ufisadi upo nchini lakini Rais Samia anapambana nao

    Mkuu wa wilaya ya Ubungo Albert Msando akizungumza kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba ameeleza kuhusu kuwepo na mapambano dhidi ya ufisadi nchini “Ni kweli ufisadi upo Nchini lakini Rais Samia anapambana nao, na anakereka na...
  5. Cute Wife

    GE2025 Media kupiga kelele raia kugomea maandamano, Serikali na CCM wamepaniki kuwa safari hii Watanzania wapo serious?

    Wakuu salam, Vuguvugu la maandamano lilianza miezi michache iliyopita baada ya CHADEMA kuja na kampeni ya "No Reforms, No Reforms" huku Lissu akisema watawashawishi watanzania waingie barabarani siku ya uchaguzi na kupinga uchaguzi huo kufanyika mpaka pale mabadiliko ya sheria na katiba...
  6. W

    GE2025 Polisi: Padre aliyedai ametekwa, hakutekwa. Alisafiri mwenyewe kwa basi na kwenda Mbeya

    Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia padre Jordan Kibiki wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga, kwatuhuma za kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa na watu wasiojulikana. Kamanda wa Polisi mkoa wa Iringa, SACP Allan Bukumbi, amethibitisha kukamatwa kwa padre huyo na kueleza kuwa uchunguzi wa...
  7. Mindyou

    GE2025 Peter Msigwa: CCM kinaweza kuongoza nchi. Upinzani hawana sera

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mch. Peter Msigwa amewaomba wananchi kukichagua kwani ndicho chama chenye sera za ukombozi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi tofauti na vyama vya upinzani. Msigwa ameyasema hayo leo Septemba 23 wakati wa mkutano wa kampeni, Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM...
  8. Mindyou

    GE2025 Huyu bodaboda aliyejitolea kubeba watu bure siku ya Uchaguzi ni bodaboda kweli?

    Hivi ni bodaboda gani anaglow hivi wakuu? ================= Rajab Mvita Ally ambaye ni Mwenyekiti wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) kijiji cha Nakapanya amesema siku ya Uchaguzi atajitolea kuwasafirisha watu bure watakaokuwa na nia ya kwenda kupiga kura. Amesema shauku yake ni kuhakikisha...
  9. Mindyou

    GE2025 Hivi aina hii ya kampeni ni Tanzania tu au na nchi nyingine pia hali iko hivi? Viuno vya Kangi Lugola kwenye kampeni

    Wakuu, Huyu hapa Kangi Lugola akiwa anatoa burudani kwenye kampeni zake huko Jimbo la Mwibara Aina hii ya kampuni utakutana nazo Tanzania tu
  10. Mindyou

    GE2025 Kiliba wa TAHLISO: Ni muhimu kufanya maamuzi ya kuchagua viongozi walio bora bila kujali hisia na mihemko

    Wakuu, Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Geofrey Kiliba, amewataka vijana nchini kutambua nafasi yao katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, akisema matokeo ya uchaguzi huo yatakuwa na mchango mkubwa katika mustakabali wao. Akizungumza katika kipindi cha...
  11. Mindyou

    GE2025 Mmasai kwenye kampeni: Hatuna sababu ya kukupa kura ya kutiki kwa sababu tunaitambua kazi yako.

    Wakuu, Wamasai nao wameunga tela kumsifia wagombea wa CCM na kuichagua CCM Huyu hapa Mmasai akiwa anamnadi Samia kwenye kampeni “Hatuna sababu ya kukupa kura ya kutiki kwa sababu tunaitambua kazi yako. Bila ya beach boy au bila ya Mmasai hakuna utalii kwa sababu wao hawawezi kujua mpaka...
  12. Mindyou

    GE2025 James Mbowe: Mkinichagua kila mmoja atanufaika na Mlima Kilimanjaro

    Wakuu, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai kupitia CHAUMMA, James Mbowe amesema endapo atachaguliwa kuwa Mbunge wa Hai, atahakikisha vijana wa kata zote 17 za Jimbo hilo wananufaika moja kwa moja na fursa zinazotokana na Mlima Kilimanjaro. Ameeleza kuwa atatenga fedha za asilimia 10 za Halmashauri...
  13. Hance Mtanashati

    GE2025 Movement for change ingefanya kazi kubwa mno kipindi hiki cha Nywi nywi ,nywi, Lowasa angebeba nchi kiwepesi sana

    Nikikumbuka mbilinge mbilinge za kipindi kile cha movement for change (M4C) na jinsi presha ya uchaguzi ilivyokuwa juu, nina thubutu kusema laiti kama mheshimiwa Edward Lowasa angekuwa hai basi hiki kilikuwa kioindi sahihi zaidi cha yeye kuongoza nchi. Mpaka sasa sijaona mtu sahihi ambaye...
  14. R

    GE2025 Wahitimu JKT Wahimizwa kujiepusha na Matumizi mabaya ya Mitandao ya Kijamii hasa wakati wa uchaguzi

    Wameona mambo ni mengi sana Mtandaoni wananchi wanakabia juu kwa juu, sasa kazi ni kufanya brain washing kwa vijana wanaotoka kambini na kurejea mtaani Natumai mmewaambia namna ya kuja kupambana na mafisadi wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi yao --------------- Vijana kote nchini Pamoja na...
  15. Chamoto

    GE2025 Polepole: Tarehe 29 sitaonekana kwenye kituo chochote cha kupiga kura kwa sababu hakuna Uchaguzi ni kiini macho

    Anaandika Humphrey Polepole kupitia ukurasa wake wa Instagram: "Ukiona ukiwasikiliza ndani ya moyo wako hawakupi amani ya moyo, ukiona wanatumia nguvu kubwa kukushawishi hata kwa mambo ya kawaida na bado unahisi na kuona kutokuwaamini, ukiona wakitajwa unahofia usalama wako, ukiona hauwezi...
  16. BLACK MOVEMENT

    GE2025 TLS wanahitaji support ya Umma ila kwa ujinga wetu tumekaa kimya, watu wako busy kujadili Kocha wa Simba

    Kitendo cha TLS kutangaza maandamano ya amani ncni nzima pale pale ilikuwa umma utoe sapoti ya kutosha, ila haipo hio sapoti. Ofisi zao kule Dar zimevamiwa hakuna Keybord worrior hata mmoja alioko frontline kutoa sapoti. Hakuna raia wanao sema watoke wakaone kuna nini pale hakuna.TLS wameachwa...
  17. tonicimmobility

    GE2025 Kama tutafanikiwa kuiondoa kijani ni nani anatazamiwa kushika kijiti? Au tutajua siku kipofu akiona jua?

    Wakuu nimejaribu kuwaza mbali, tusije tukaishia kutoa mapepo na kumuingiza shetani! Itakuaje sasa, kwa mfano tukawatoa kijani, tumeshawaza ni nani tutakayempa dhamana ya kuwa mbeba maono wa kutufikisha Kaanani? Tukishasafisha njia, tukaziba mashimo yote na kutoa miba na mawe njiani, kukawa...
  18. McLaren

    GE2025 Samia: Tutajenga reli ya kilomita 1,000 ambayo itapita kwenye maeneo ya Liganga na Mchuchuma

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya awamu ya sita imeanza mpango wa ujenzi wa reli ya zaidi ya Kilomita 1,000 kutoka Mtwara mpaka Mbamba Bay mkoani Ruvuma. Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya...
  19. McLaren

    GE2025 Mgombea wa Urais NLD: Mkinichagua barabara zenu zitajengwa kwa zege na sio lami

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NLD, Mhe. Doyo Hassan Doyo, akiwa katika ziara za kampeni Wilaya ya Serengeti, aliwahutubia wakazi wa Mji wa Mugumu. Katika hotuba yake, Mhe. Doyo alisema kuwa ni fedheha kwa wananchi wa Serengeti kukosa miundombinu bora ya...
  20. McLaren

    GE2025 Salim Bimani: Wagombea wetu wote ACT ni halali. CCM mkome kuwafuata fuata

    Salim Bimani amewataka viongozi wa CCM waache kuwafuatafuata wanachama wa ACT WAZALENDO na kuwarubuni kwa pesa kwani wanachama hao hawawezi tena kudanganywa na kurubuniwa kwa pesa.
Back
Top Bottom