uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    Miradi mingi kuelekea uchaguzi 2025 ni kama wanashika huku wanaacha huku husasani barabara zinazojengwa

    Ni mimi tu au kuna wengine mnaoweza kutuelezea yani wanabomoa hapa wakisha bomoa wanakwenda kwengine yani kama vurugu. Ni kwamba haya ni kwa ajili ya kuzindua kampeni zenu CCM kuwa mnajenga barabara.
  2. M

    Baraza langu la Mawaziri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uchaguzi 2025

    Nitafurahi sana Baraza la Mawaziri likiwa hivi, watu wa kazi kabisa hawa 1. Pro Kitila Mkumbo - Waziri Mkuu 2. Jumaa Aweso - Waziri wa Maji 3. Hussein Bashe - Waziri wa Kilimo 4. David Kafullila - Waziri wa Mipango na Uwekezaji 5 Waziri wa Viwanda na Biashara - Kadogosa 6 Michezo na Utamaduni -...
  3. Alloyce PR

    Nukuu ya kabla ya uchaguzi mkuu

    "Usimchague kiongozi anayeanza kuonyesha upendo kwa wananchi uchaguzi unapokaribia, wala yule anayewasaliti wenzake kwa kuwazulia mabaya, maana uaminifu na ukweli havijengwi kwa hila wala muda wa kampeni." Alloyce, P.R.
  4. Damian Wayne

    PreGE2025 Martha Karua wa Kenya ameshikiliwa Tanzania kabla ya kesi ya mahakamani ya Tundu Lissu

    Mwakilishi wa Kenya, mwanasheria na mtetezi wa haki za binadamu Martha Karua amekamatwa Tanzania alipoingia katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tarehe 18 Mei 2025. Alikuja kumwakilisha kiongozi wa upinzani Tundu Lissu ambaye anakabiliwa na mashtaka ya kusaliti nchi ya...
  5. Mtunza siri zako

    PreGE2025 Achana na mihemuko, lete sababu zenye mashiko kwanini CHADEMA hawashiriki uchaguzi 2025

    Tokea usajili wake mwaka 1993 na katika historia ya Tanzania, hakuna chama cha siasa ambacho kimekua kwa kasi bila kurudi nyuma kama chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) mpaka pale Magufuli alipoanza kufinya uhuru wa shughuli zake za kiasiasa ili kukidhoofisha kati ya mwaka 2019 - 2021...
  6. DELETED ACCOUNT

    Kiongozi wa Yanga atishia kuvuruga amani na Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

    Nimesikiliza kwa umakini maelezo ya wanaoitwa viongozi wa Baraza la Wazee na wa matawi ya Yanga. Bila kusema mengi, kuna huyu jamaa mmoja ambaye sijamfahamu jina ila nadhani ni mmoja wa viongozi wa matawi alisema maneno yafuatayo "Sisi ni klabu kubwa, na ukubwa wetu unaakisi katika kila angle...
  7. RoadLofa

    Uchaguzi mwaka huu utaibwa kupitia wanafunzi na wakristo wengi hawatopiga kura...

    Juzi nimeota jinsi uchaguzi wa mwaka huu utakavyokuwa mgumu kutokana na wakristo wengi hawatopiga kura yaani wataususia ivyo CCM itawalazimu kuiba kura kwa kuwakusanya wanafunzi kuwapigia kura wasiopiga ila wanavitambulisho na huo uhuni utafanyikia madarasani kabisa mashuleni.....
  8. ntamaholo

    Natamani kusikia dini zinatutangazia kujitenga na mchakato wa uchaguzi 2025

    Kwa hali ya siasa na kiwango cha matukio ya uvunjwaji wa haki za kibinadamu nchini, natamani kusikia viongozi wa dini zote wakitoka na azimio la pamoja kuelekeza waumini na wafuasi wao kujitenga na michakato ya uchaguzi. Iwaachie wanasiasa wanao ishi kinafiki mchakato wao waendelee na mchakato...
  9. Just Pray

    PreGE2025 Deodatus Mwanyika amuomba Rais Samia amrejeshe tena Hussein Bashe kuwa waziri wa kilimo baada ya uchaguzi 2025

    Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge viwanda, biashara, Kilimo na Uvuvi Deodatus Mwanyika amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan mara baada ya Uchaguzi Mkuu amrejeshe katika nafasi yake ya uwaziri wa Kilimo,Hussein Bashe Ili aendeleze mazuri yanayofanyika katika...
  10. Erythrocyte

    PreGE2025 Ukweli ni kwamba Watanzania wote wanafahamu kwamba hakuna Uchaguzi

    Inawezekana kabisa kwamba viko vyama vya siasa vya Tanzania vinavyojiandaa na Kinachoitwa Uchaguzi mkuu wa 2025, Bila shaka baadhi ya Wagombea wao Washaanza hata Kulogana kama wanavyofanya mara zote, tunavitakia kila la heri kwenye mipango yao hiyo. Bali Watanzania wote Nchi Nzima wakiwemo...
  11. Genius Man

    Watanzania kama uchaguzi ukiwa huru na mabadiliko yatafanyika shirikini uchaguzi kama hakuna mabadiliko yoyote msishiriki

    Mfumo wa kiuchaguzi wa sasa hauwezi kuzingatia kura ya mtu, kama mabadiliko yatafanyika nendeni mkapige kura kwa wingi, lakini kama hakuna mabadiliko yoyote msiende waachieni wajipigie kura wenyewe acha vituo vya kupiga kura wazi. Kilicho hamasishwa ni mabadiliko sio vurugu kama hakuna...
  12. Mtoa Taarifa

    𝗟𝗶𝘀𝘀𝘂 𝗺𝗼𝘃𝗲𝗱 𝘁𝗼 𝗺𝗮𝘅𝗶𝗺𝘂𝗺 𝘀𝗲𝗰𝘂𝗿𝗶𝘁𝘆 𝗽𝗿𝗶𝘀𝗼𝗻

    ◾Tanzania Prisons Services causes unnecessary confusion after 24-hour silence on his whereabouts ◾Authorities finally confirm that the CHADEMA leader has been shifted to Ukonga prison from Keko prison ◾Treason charges against the main opposition leader in an election year, and...
  13. Cute Wife

    PreGE2025 Hizi hapa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi za Mwaka 2025

    Wakuu, Naambatisha hapo chini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi za Mwaka 2025 wananchi tujue kweli zina maadili na waliosaini walikuwa na mwili wenye vichwa vinavyowasaidia kufikiria na kupembua vitu au ni kama alivyosema Heche kuwa Kanuni zenyewe hazina maadili! Pia soma Pre GE2025 - Kanuni za...
  14. ILAN RAMON

    PreGE2025 Uchaguzi wa Tanzania Utazidisha Kukatishwa Tamaa Kuhusu Demokrasia

    Zaidi ya miaka miwili iliyopita, mnamo Machi 2023, Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, alitembelea Tanzania. Akiwa huko, alipokelewa kwa ukarimu na Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye alikuwa amepanda madarakani kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa kiimla, John Magufuli. Rais Samia alielezea...
  15. A

    John Mnyika awajibu kisheria wanaohoji kuhusu CHADEMA kutokusaini kanuni za maadili ya uchaguzi 2025

    Anaandika JJ Mnyika Katibu Mkuu. Kujibu andiko la Wakili Msomi Jonathan Mndeme ——————— Kabla ya vifungu vya 162(2) na (3) vya Sheria ulipaswa kuanza na 162 (1). Kifungu cha 162(1) kinaeleza Tume baada ya kushauriana na vyama vyote vya siasa na Serikali itandaa na kuchapisha katika Gazeti la...
  16. Vitalis Msungwite

    PreGE2025 CHADEMA yatawakuta ya uchaguzi mdogo Jimbo la mbarali 2023

    Habari wanajukwaa na heri ya sikukuu ya matawi. Ndugu wanabodi kama mtakumbuka mwaka 2023 ilitokea ajali ya pawatila na pikipiki iliyopelekea kifo Cha mbunge wa Jimbo letu ndg. Mtega. Tukio Hilo lilivuta hisia na kuleta majozi makuu katika Jimbo la mbarali na kuacha mijadala katika maeneo...
  17. GoldDhahabu

    Kama mzee Kikwete angechagua kusimama upande wa wananchi 2015, CHADEMA

    Simlaumu, ila nahisi amechangia pakubwa mtatiziko wa kisiasa uliopo nchini kwa sasa. CHADEMA wameamua kususia uchaguzi kwa sababu ya mapungufu yaliyopo kwenye mfumo mzima wa uchaguzi. Inaaminika kuwa Katiba ya Wananchi ingeweza kutibu mtatiziko huo. Kwa bahati mbaya, ingawa mzee Kikwete...
  18. Binti wa zamani

    PreGE2025 Mdomo huponza kichwa - Tundu Lissu

    Kama mtanzania ambaye nimempigia kura Mheshimiwa Lissu mara mbili kwenye chaguzi zilizopita (jimboni na uraisi), naamini hajafanya kosa la uhaini na hayo ni mashtaka ni ya kutengeneza na hewa, THAT BEING SAID sikubaliani na kauli ambazo Mh. Lissu amekua anazitoa kwenye mikutano hivi karibuni...
  19. Upekuzi101

    PreGE2025 Je utashiriki kupiga kura kwenye uchaguzi 2025 baada ya CDM kutokuwepo kwenye mchakato?

    Sasa rasmi chadema hawatashiriki uchaguzi 2025 kwa kutosaini fomu ya maadili. Je hapo ulipo umejiandaa kupiga kura? Wananchi waliokuzunguka hapo ulipo wanasemaje? Unadhani Kuna namna ushiriki utapungua?
  20. Influenza

    PreGE2025 Mnyika: Sitakuwepo kuwakilisha Chama kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi 2025 kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi

    Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa X (zamani Twitter), Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema hatakuwepo katika kusaini maadaili Uchaguzi ya 2025 na hajateua Afisa au Kiongozi yeyote kwenda kushiriki kwa niamba yake Ameandika “Katibu Mkuu CHADEMA sitakuwepo kwenye kikao cha tarehe 12...
Back
Top Bottom