Uaminifu Hauwezi Kulazimishwa, Unatoka Moyoni,Unaweza Kuwekeza Muda, Upendo Na Kujitolea Kwa Mtu, Lakini Hilo Halihakikishi Uaminifu Wake.
Watu Huamua Kuwa Waaminifu Si Kwa Sababu Wamelazimishwa, Bali Kwa Sababu Ndani Yao Kuna Msukumo Wa Dhati Wa Kuthamini Waliyonayo.
Ni Rahisi Kushikilia...