Haki za binadamu zikiwamo za kuishi, usalama, kulindwa, kujilinda, kusikilizwa n.k, si hisani. Anasema beberu: "Human rights aren't negotiable."
Hizo haziombwi. Zaidi sana anasema beberu: "Human rights are enforceable."
Tunataka Katiba Mpya. Ni haki yetu. Haki hupiganiwa.
Hatuwezi kuwa...