GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,793
Ismail Aden Rage (boss wa zamani) Simba SC aliona mbali sana, na alipatia mno kutuita wana Simba SC (GENTAMYCINE) nikiwemo mimbumbumbu (mipan'gang'a), kwani tunastahili kuitwa hivyo.
Hivi kweli mtu aweke Msimbazi 20B ndiyo tusajili takataka na mizigo akina Kapama na Okwa? Yaani 20B iwekwe klabuni ( Simba SC ) na Panjuani halafu tushindwe kumpa Adebayor 850M, tushindwe kumpa Aziz K 500M na Manzoki 450M kweli?
Yaani kuwekwe kweli hiyo 20B Msimbazi tushindwe kuwa na benchi zuri la ufundi na tumpe deiwaka Kocha mhamasishaji na mjanjamjanja (muongo muongo) Juma Mgunda aiongoze klabu /timu?
Mzee Bakhressa (tajiri Tanzania nzima na ukinibishia hili kapimwe Ubongo) aliitaka Simba SC kwa 45 ila Panjuani Kibyongo akahonga waandishi wa habari za michezo ili wampambe, wamchafue Mzee Bakhressa huku akiwahonga pesa ndefu tu waliokuwa wajumbe wa mchakato akina Mulamu na chawa akina Said Tully.
Waanze kumsifia na kufanya propaganda za kila aina ili wana Simba SC wamkubali na wamuamini kwa 100% kama mwekezaji wetu.
Hakuna mtu ambaye kwa sasa yeye, familia yake na hawara yake mkubwa ambaye pia anashea na mabosi wa CAF na FIFA anafaidika pakubwa na Simba SC kama Panjuani Kibyongo, ila amefanikiwa kutunyamazisha mimbumbumbu (wana Simba SC wote) kwa nguvu ya pesa za ukoo wake.
GENTAMYCINE nasisitiza tena kwa kusema kuwa Yanga SC iliyojipanga vyema ndani na nje ya uwanja ndiyo mabingwa tena wa NBC Premier League.
Ukiona huu uzi unakukwaza na huupendi tafadhali tafuta upesi sumu ya panya, iweke katika kikombe chako cha chai kisha imeze yote ili utupunguzie idadi ya mambumbumbu (fools) walioko Simba SC.
'Panjuani Kibyongo' hajaweka 20B.
Hivi kweli mtu aweke Msimbazi 20B ndiyo tusajili takataka na mizigo akina Kapama na Okwa? Yaani 20B iwekwe klabuni ( Simba SC ) na Panjuani halafu tushindwe kumpa Adebayor 850M, tushindwe kumpa Aziz K 500M na Manzoki 450M kweli?
Yaani kuwekwe kweli hiyo 20B Msimbazi tushindwe kuwa na benchi zuri la ufundi na tumpe deiwaka Kocha mhamasishaji na mjanjamjanja (muongo muongo) Juma Mgunda aiongoze klabu /timu?
Mzee Bakhressa (tajiri Tanzania nzima na ukinibishia hili kapimwe Ubongo) aliitaka Simba SC kwa 45 ila Panjuani Kibyongo akahonga waandishi wa habari za michezo ili wampambe, wamchafue Mzee Bakhressa huku akiwahonga pesa ndefu tu waliokuwa wajumbe wa mchakato akina Mulamu na chawa akina Said Tully.
Waanze kumsifia na kufanya propaganda za kila aina ili wana Simba SC wamkubali na wamuamini kwa 100% kama mwekezaji wetu.
Hakuna mtu ambaye kwa sasa yeye, familia yake na hawara yake mkubwa ambaye pia anashea na mabosi wa CAF na FIFA anafaidika pakubwa na Simba SC kama Panjuani Kibyongo, ila amefanikiwa kutunyamazisha mimbumbumbu (wana Simba SC wote) kwa nguvu ya pesa za ukoo wake.
GENTAMYCINE nasisitiza tena kwa kusema kuwa Yanga SC iliyojipanga vyema ndani na nje ya uwanja ndiyo mabingwa tena wa NBC Premier League.
Ukiona huu uzi unakukwaza na huupendi tafadhali tafuta upesi sumu ya panya, iweke katika kikombe chako cha chai kisha imeze yote ili utupunguzie idadi ya mambumbumbu (fools) walioko Simba SC.
'Panjuani Kibyongo' hajaweka 20B.