GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Leo Klabu ya Simba imekabidhiwa Tuzo ya Klabu Bora kwenye Mitandao ya Kijamii Tanzania ambayo imetolewa na kampuni ya Serengeti Bytes. Tumeshinda tuzo hii baada ya kuvishinda kura vilabu vya Azam FC, Mbeya City, Ruvu Shooting na Yanga SC.
Chanzo: Simba SC Tanzania
Mnatumia nguvu Kubwa kufanya 'Ushawishi' kwa Makampuni mbalimbali ili tu wawe wanaitangaza sana Simba SC au hata kuwapa Tuzo fulani ili muwapoze Mashabiki hasa baada ya kufanya Vibaya Msimu huu kutokana na Uzembe wenu na Dharau zenu za Kutowasikiliza Watu wanaoijua Simba SC kuliko nyie mliojazana hapo Klabuni lakini mmejaa Unafiki, Uchawa na Upigaji mtupu tu..
Kwa Mashabiki wa Simba SC wenye Akili Kubwa na Ufahamu mbalimbali wa Masuala huu tunauita ni Upuuzi mtupu!!!!!!!
Chanzo: Simba SC Tanzania
Mnatumia nguvu Kubwa kufanya 'Ushawishi' kwa Makampuni mbalimbali ili tu wawe wanaitangaza sana Simba SC au hata kuwapa Tuzo fulani ili muwapoze Mashabiki hasa baada ya kufanya Vibaya Msimu huu kutokana na Uzembe wenu na Dharau zenu za Kutowasikiliza Watu wanaoijua Simba SC kuliko nyie mliojazana hapo Klabuni lakini mmejaa Unafiki, Uchawa na Upigaji mtupu tu..
Kwa Mashabiki wa Simba SC wenye Akili Kubwa na Ufahamu mbalimbali wa Masuala huu tunauita ni Upuuzi mtupu!!!!!!!