KERO Huduma ya faiba TTCL haitendi haki

KERO Huduma ya faiba TTCL haitendi haki

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

CopsTz

New Member
Joined
Jun 2, 2026
Posts
1
Reaction score
0
Wahusika wa huduma ya ttcl faiba hamtendi haki. Toka Jumapili Asubuhi hakuna huduma maeneo ya Chang'ombe maduka mawili. Inafikirisha sana. Labda mnataka wateja wahamie kwa kampuni zingine. Hili shirika linataka overhaul kubwa sana.
 
Back
Top Bottom