Uganda and Tanzania have agreed to remove all trade barries a bid to fix trade relationship between the two countries signed by Uganda’s minister of state for foreign affairs Mr John Mulimba and Tanzanias foreign minister Mr Mahmoud Thabit Kombo.
This decision emerged from the 5th session of...
A lawsuit has been filed against CS Kinyanjui for neglecting to enforce a Finance Act 2025 clause that exempted raw glass used by regional producers from excise duty.
Source: Nation Media Group
Tanzania is advancing its ambitious vision to become East and Central Africa’s premier logistics and trade hub. At the heart of this strategy is the massive integration of 11 key ports—on the Indian Ocean, Lake Victoria, Lake Tanganyika, and Lake Nyasa—with a modern, unified railway system...
Tunaingia mwezi wa 9 ambapo kumbukumbu za shambulizi la kigaidi huko marekani zitafanyika huko manhattan kwenye zero ground. Nikaona sio mbaya kuleta picha na kumbukumbu mbalimbali za tukio hilo tujikumbushe kidogo.
Sehemu ya upande wa kaskazini mwa jengo la WTC muda mfupi baada ya...
1. Pata TIN Number kutoka TRA
Hatua ya kwanza ni kuhakikisha unayo Namba ya Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN) kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hii ndiyo nyaraka ya msingi inayothibitisha kuwa wewe ni mlipa kodi halali. Bila TIN, huwezi kuendelea na mchakato wa maombi ya leseni ya biashara...
To manage all aspects of the assigned moderately complex TxB solutioning portfolio, managing multiple complex processes to achieve the solution performance indicators and revenue targets, where the solutioning capability requires negotiating change across direct area of responsibility and others...
Rais wa marekani Donald Trump amesema
President Trump says he will not make a deal with China unless the trade deficit is solved.
https://x.com/spectatorindex/status/1909022166731141277?t=NKV8PAmCQhY4sLH63OopKQ&s=19
Haya nchi ya Vietnam ambayo ilikuwa comminist kama sisi, masikini kama sisi leo hii ina trade deficit ya 100 billion dollars na USA, yaani vietnam ina export goods kwenda US zaidi ya USA inavyouza Vietnam, na tofauti ya hiyo import vs export ni 100 billion dollars US.
Tofauti ya Tanzani na...
Tunakumbuka Trump alipoingia madarakani moja ya jambo alitaka ni kuona Panama Canal itumike kwa kuinufaisha Marekani.
Changamoto ipo kwenye kumiliki bandari 2 za kimkakati zilizo karibu na Panama Canal zinazomilikiwa na kampuni binafsi ya Hong Kong.
Bandari hizi zimekaa eneo zuri sana...
Walmart kampuni ya kimataifa inamilikiwa na Walton family inashikilia rekodi ya kuwa muajiri mkubwa zaidi duniani ikiwa imeajiri watu zaidi ya milioni 2 katika nchi tofauti tofauti, na ina stores zaidi ya 10,000 sehemu mbalimbali duniani.
Biashara yao kubwa ni kuuza bidhaa za aina tofauti...
Ukiulizwa sababu za China kuendelea na kujitegemea unaweza taja utitiri wa sababu lakini sababu kuu ya China kuendelea ni kuichukia historia nzima wao wanaiita "Century of Humiliation"
https://en.m.wikipedia.org/wiki/Century_of_humiliation
Hiki ni kipindi wachina waliishi katika maisha ya...
TORONTO (AP) — Ontario’s premier, the leader of Canada’s most populous province, announced that effective Monday it is charging 25% more for electricity to 1.5 million American homes and businesses in response to U.S. President Donald Trump’s trade war.
Ontario provides electricity to...
Dr. Umud Shokri
Energy Strategist & Senior Visiting Fellow at George Mason University, U.S.
The U.S.-China trade war grew more intense in 2018 due to several factors, including concerns about trade imbalances, intellectual property theft, and restrictions on market access. These issues led to...
China suspends soybean imports from three US companies, including Louis Dreyfus, one of the world’s biggest agricultural trading companies.
More than half of all soybean exports from the US go to China. (60-65% of US soybean export is to China!)
China imposes retaliatory tariffs on...
Mimi na miaka 14 kwenye soko la forex ila sio mafanikio ya haraka watu wanavofikilia.nimeona malalamiko mengi hapa JF bora kueleza ukweli.
Asilimia kubwa forex ni High risk na inaweza kukuweka maskini kwa sekunde tu. Sababu kubwa kinacho changia ni watu kutokuelewa na kuwa na haraka ya...
Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za Biashara ya utumwa, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok
Hili Taifa la Marekani linanuka laana ya dhuluma waliotendewa mababu zetu kipindi cha biashara ya utumwa
Taifa la Marekani limekuwa ni Taifa lisilotaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.