tra

  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Usaili TRA Kutangazwa Aprili 25, 2025

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 kupitia tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na mshauri elekezi NBAA Aprili 23, mwaka huu...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Awalalamikia TRA kuwa kuna watu walikuwa na mitihani kabla ya interview, kaweka maswali yaliyotoka na majibu yake

    Katika ukurasa wa TRA kuna mdau katoa taarifa kwamba kuna watu walishakuwa na pepa kabla ya kuingia chumba cha mtihani. kaweka ushahidi wa marking scheme ya maswali yaliyotoka na majibu yake, ikumbukwe watahiniwa hawakuruhusiwa kuondoka na karatasi la maswali. Comment ipo kwenye chapisho...
  3. U

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Picha hii inayodaiwa ni watu walienda kwenye interview ya TRA

    Je picha hii ni halisi au sio halisi? Hawa watu ukiwaangalia vizuri sura zao kama zinafanana hasa wanaume, hata nguo walizovaa wengi zinafanana, na kikawaida mistari haiwezi kunyooka kiasi hiki.
  4. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Eid Mubarak kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

    EID MUBARAK Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawatakia Waislamu wote Sikukuu njema ya Eid El Fitr
  5. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania TRA meseji za kukumbusha Deni, mnatuma mara SITA kwa siku?!

    TRA,Tunajua mnatafuta Hela kwaajili ya maendeleo yetu,ila kumtumia mteja meseji za malipo ya VAT,mara SITA Kwa siku sio jambo zuri! Angalieni mifumo yenu,inakuwa kero Sasa.
  6. Chongeni

    JamiiForums Tanzania Usaili wa TRA Ulikuwa wa Haki

    Kwa maoni yangu, usaili ulikuwa wa haki, pepa ilikuwa fair, haikuwa ngumu wala haikuwa rahisi. Halafu ndo nini sasa kutuhesabisha vidole namna ile, wanatoa calculation halafu marufuku kutumia Calculator…..!!! Toa maoni yako, pepa ilikuwaje kwako… Nimeiweka Screenshot ya Calculation question kwa...
  7. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Ofisi za TRA kuwa wazi nchi nzima jumamosi na jumapili tarehe 29 na 30 machi 2025

    OFISI ZA TRA KUWA WAZI NCHI NZIMA JUMAMOSI NA JUMAPILI TAREHE 29 NA 30 MACHI 2025 Tupo wazi Jumamosi na Jumapili tarehe 29 na 30 Machi 2025 ⏰ Saa 2:00 Asubuhi hadi Saa 11:00 Jioni Karibu Tukuhudumie Kwa mawasiliano zaidi: Simu Bure: 0800 780 078 / 0800 750 075 Barua Pepe: huduma@tra.go.tz...
  8. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Jinsi wenzetu wanavyorenew leseni za udereva. TRA, Trafiki chukueni notice hapo tusichoshane

    Tanzania ukitaka kupata leseni utataga. Uende VETA, ukimaliza VETA unaenda police, police wanakutuma TRA, ukitoka TRA unatumwa tena police, ukifika huko mara unaambiwa mfumo hauko sawa, sijui nenda urudie ya ilimradi uchoke tu basi, au utoe pesa kidogo. Mifumo Bongo Haisomani.
  9. khmbrzy

    JamiiForums Tanzania Interview TRA Risk Officer

    Habari zenu wakuu, Nimechaguliwa kufanya interview ya Risk Officer TRA, naombeni techniques na formula jinsi maswali yanavyotolewa na jinsi ya kupita hyo interview 🙏🙏🙏
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mnyukano ligi kuu ya TRA sio wa kitoto !! kama huna connection hakikisha nje ya uwezo wako umshikilie sana Mungu wako ama urudi kwa babu kujiongeza

    LIGI KUU YA KUWANIA AJIRA ZA TRA Academic officer II= 3/2375 - Atapita moja kwenye kundi la watu 791 Accountant = 2/712 - Atapita moja kwenye kundi la watu 356 Accounts officer II = 12/2894 - Atapita moja kwenye kundi la watu 241 Administrative officer II = 3/2045 - Atapita moja kwenye kundi...
  11. Influenza

    JamiiForums Tanzania TRA: Ambao hawajaitwa kwenye Usaili wa mchujo na wanadhani wana sifa, waasilishe malalamiko

    Kufuatia tangazo la kuitwa kwenye usaili wa Mchujo wa kuandika lililotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) tarehe 22.03.2025. Katika kuhakikisha kuwa kila mwombaji anapata haki anayostahili, Mamlaka inapenda kuwafahamisha waombaji ambao hawajaitwa kwenye usaili wa mchujo na wanadhani wana...
  12. KUNGUNIMSOMI

    JamiiForums Tanzania Hongera TRA kwa kuita watu interview,ila zipo changamoto za kutatua

    Tukiwa wahanga wa mda mrefu wa sahili za TRA ,na wengi kufanikiwa kupata nyakati za utumishi ila kwa kipindi ambacho wanasimamia TRA wenyewe, changamoto zilikuwa nyingi sana,nadhani kwa kipindi iki wanaenda kutatua ,tunaimani nao sana. Baadhi ya changamoto zinazopaswa kutatuliwa ni...
  13. Isenye

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kubadili kituo cha kufanyia usaili kwenye hizi ajira za TRA?

    Mko salama wakuu? Nilikua nauliza, inawezekana kubadili kituo cha kufanyia usahili kwa hizi ajira za tra? Mfano nimepangiwa dar ila kwa sasa niko Mwanza.je inawezekana nikafanyia kituo kilichopo mwanza? Ni hatua gani za kufuata? Mwenye kujua anijuze tafadhali.
  14. Kanye2016

    JamiiForums Tanzania Interview TRA 2025 (Walioitwa kwenye Usaili 29 na 30)

    Salaam!!!! Kwa wale walioomba nafasi mbalimbali zilizotolewa na TRA, Majina yametoka Kwa ajili ya Interview. List ya Majina ipo kwenye PDF hapo Chini. (Mb 11.4) Shukran. Pia unaweza pitia Uzi huu hapa Chini Kwa link ya Magroup ya kujisomea...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Orodha ya walioitwa kwenye Usaili wa mchujo TRA

    PDF
  16. haszu

    JamiiForums Tanzania Siku ya leo ngumu sana, wengine wanasubiri mshahara, wengine wasubiri PDF ya TRA

    Ni mwendo wa kuangalia notifications, Email na SMS tu, kila ukisikia mlio unashtuka
  17. Chongeni

    JamiiForums Tanzania TRA Yatumia Consultant Kusaidia Kuajiri na Sio Utumishi

    Kulikuwa na Haja Gani TRA Kuajiri/Kutumia Consultant Kama Haiwezi Ku-Handle Zoezi La Ajira Yenyewe. Inamaana Huyo Consultant wao ni Mtenda Haki kwa Watanzania Maskini Kuliko Utumishi….! Pitia Screenshot ya Taarifa yao..
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mrejesho inteview TRA

    Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Moshi Jonathan Kabengwe, amesema majina ya Waombaji wa ajira 1,596 zilizotangazwa na TRA hivi karibuni yatatangazwa rasmi kesho March 22 2025 kupitia tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) kwa ajili ya usaili wa kuandika...
  19. P

    JamiiForums Tanzania Je kuna professional recruitment managers TRA?

    Kuajiri watumishi/wafanyakazi ni mchakato ambao unafanywa na watu wenye elimu na uzoefu wa kazi hiyo. Sasa napata mashaka pale ninapoona kasoro katika mchakato wa kuajiri wafanyakazi kwenye sekta mbali mbali serikalini. Moja ya kosa kubwa sana ni ku select applicants wengi wanaoitwa kwenye...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Jedwali kamili la mishahara ya wafanyakazi wa TRA, Loooh !! 😋😋

Back
Top Bottom