Kwa taasisi kubwa kama TRA inakosa back up, eti wanaweza wasifanye kazi siku nzima eti mtandao hakuna seriously
Yaani unaenda asubuhi mpaka mchana wakati mwingine siku nzima hawatoi huduma eti mtandao hakuna, Are you serious? Ina maana TRA inakosa back up?
Bora ingekuwa tatizo la Mara moja...
TRA wakishirikiana na maafisa wa wilaya ya Songwe wamekuwa wakiwahuhujumu wafanya biashara wadogo wa wilaya ya Songwe wamekuwa wakiwafungia biashara zao hasa mama na kuwalazimisha walipie sh 50,000 ya kufuli na kuwapiga faini ya 50000, ya usumbufu, 50000 kupata TIN namba na Sh 50000 kwa ajili...
Mamlaka ya Mapato (TRA) imefuta adhabu na riba kwa vyombo vyote vya moto vilivyoingizwa nchini bila kufuata taratibu za forodha, huku wamiliki wakitakiwa kusajili rasmi vyombo vyao hadi kufikia Juni 30, 2022.
TRA imesema lengo la hatua hiyo ni kujenga ushirikiano na uhusiano mwema kati yao na...
TRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi.
=====
DARESSALAAM: Timu ya Wataalam wa Kampuni ya meta inayomiliki mitandao ya @facebookapp instagram pamoja na Whatsapp leo 21...
Kama mnavyo ona ndugu zetu waliopata ajira TRA hili tangazo ni la ukweli maana mwanzo walisema makao makuu TRA walioitwa kazini wanapaswa kufika leo Wanasema ITA Mikocheni na masharti km yote
Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema.
Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo sijabahatika kuitwa ila jamaa zangu wengi kutoka familia zetu za hali ya chini wamepata kwa jitihada binafsi...
POST TAX MANAGEMENT ASSISTANT II – 71 POST
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING TAXATION AND SOCIAL PROTECTION
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To process application for new taxpayers’...
POST TAX MANAGEMENT OFFICER II – 184 POST
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES TAXATION AND SOCIAL PROTECTION
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To...
CUSTOMS OFFICER II - 45 POST at TRA
POST CUSTOMS OFFICER II – 45 POST
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES HR & ADMINISTRATION LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION TRADES AND SERVICES
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION...
POST ICT OFFICER II (DEVELOPER/PROGRAMMER) – 50 POST
POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To assist in capturing user Customers Requirement Specifications;
ii. To...
POST CUSTOMS ASSISTANT II – 80 POSTS
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING HR & ADMINISTRATION, LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To examine goods;
ii...
POST DRIVER II – 45 POST
POST CATEGORY(S) DRIVERS
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
xi. To drive motor vehicles in accordance with road traffic Rules and Regulations;
xii. To inspect motor...
Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf?
======
#HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati...
Mida ya usiku pale kwenye geti la kutokea Tanzania kuingia Rwanda maafisa wetu wa forodha huwa wanafanya uzembe unaohatarisha usalama wa taifa letu kwa wao kwenda majumbani ama nyakati zingine kwenda kuangalia mpira na pengine kwenda bar na mhuri huo hapo juu huachiwa vijana wa ving'amuzi...
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! !
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo
Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)
Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona na kuuhakiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.