tra

  1. CHEF

    JamiiForums Tanzania TRA mfumo wenu wa e-fillling na utendaji kazi wenu ni Mbovu sana

    Kwa taasisi kubwa kama TRA inakosa back up, eti wanaweza wasifanye kazi siku nzima eti mtandao hakuna seriously Yaani unaenda asubuhi mpaka mchana wakati mwingine siku nzima hawatoi huduma eti mtandao hakuna, Are you serious? Ina maana TRA inakosa back up? Bora ingekuwa tatizo la Mara moja...
  2. hamza mahundu

    JamiiForums Tanzania Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka?

    Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka au
  3. Njaa kali30

    JamiiForums Tanzania TRA na Maafisa Biashara wa Wilaya ya Songwe acheni kuwaibia wananchi

    TRA wakishirikiana na maafisa wa wilaya ya Songwe wamekuwa wakiwahuhujumu wafanya biashara wadogo wa wilaya ya Songwe wamekuwa wakiwafungia biashara zao hasa mama na kuwalazimisha walipie sh 50,000 ya kufuli na kuwapiga faini ya 50000, ya usumbufu, 50000 kupata TIN namba na Sh 50000 kwa ajili...
  4. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania TRA yavifutia riba vyombo vya moto ambavyo havijasajiliwa

    Mamlaka ya Mapato (TRA) imefuta adhabu na riba kwa vyombo vyote vya moto vilivyoingizwa nchini bila kufuata taratibu za forodha, huku wamiliki wakitakiwa kusajili rasmi vyombo vyao hadi kufikia Juni 30, 2022. TRA imesema lengo la hatua hiyo ni kujenga ushirikiano na uhusiano mwema kati yao na...
  5. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania TRA Kuanza Kuzitoza Kodi, Facebook, Instagram na Whatsapp

    TRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi. ===== DARESSALAAM: Timu ya Wataalam wa Kampuni ya meta inayomiliki mitandao ya @facebookapp instagram pamoja na Whatsapp leo 21...
  6. comte

    JamiiForums Tanzania TRA mfumo wenu wa e-filing hasa kwenye VAT unasumbua-rekebisheni

    TRA mmeweka mfumo mpya wa E filing ikiwemo VAT - unasumbua mrekebishe kama siyo njia ya kusumbua walipa kodi
  7. King_Villa

    JamiiForums Tanzania Kwa mliobahatika kuitwa kazini TRA someni hili Tangazo na mlielewe

    Mliopata kazi TRA someni hilo Tangazo tena.
  8. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Barua za kuomba ajira za TRA utumishi tunaandika kwa mkono au Microsoft Word?

    Marafiki naomba kuuliza. Hivi barua za kuomba ajira za TRA utumishi tunaandika kwa mkono au Microsoft Word?
  9. Wababa13

    JamiiForums Tanzania Nina Diploma ya Community Development. Kwa course hii naruhusiwa kuomba kazi ya Tax Management Assistant ya TRA?

    Habari za muda huu kwa mara nyingine, nina cha NTA Level 6 course ya Maendeleo ya Jamii. Naruhusiwa kuomba kazi ya Tax Management assistant II?
  10. Hunteroflove

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli hapa

    Kama mnavyo ona ndugu zetu waliopata ajira TRA hili tangazo ni la ukweli maana mwanzo walisema makao makuu TRA walioitwa kazini wanapaswa kufika leo Wanasema ITA Mikocheni na masharti km yote
  11. Mr_positive

    JamiiForums Tanzania Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa. Hongereni mliopata utumishi mwema

    Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema. Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo sijabahatika kuitwa ila jamaa zangu wengi kutoka familia zetu za hali ya chini wamepata kwa jitihada binafsi...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Tax Management Assistant II at TRA (71 Posts)

    POST TAX MANAGEMENT ASSISTANT II – 71 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To process application for new taxpayers’...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Tax Management Officer II at TRA (184 Posts)

    POST TAX MANAGEMENT OFFICER II – 184 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Customs Officer II at TRA (45 post)

    CUSTOMS OFFICER II - 45 POST at TRA POST CUSTOMS OFFICER II – 45 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES HR & ADMINISTRATION LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION TRADES AND SERVICES EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania ICT Officer II (Developer/Programmer) at TRA (50 Posts)

    POST ICT OFFICER II (DEVELOPER/PROGRAMMER) – 50 POST POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To assist in capturing user Customers Requirement Specifications; ii. To...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Customs Assistant II at TRA (80 Posts)

    POST CUSTOMS ASSISTANT II – 80 POSTS POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING HR & ADMINISTRATION, LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To examine goods; ii...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Driver II at TRA (45 Posts)

    POST DRIVER II – 45 POST POST CATEGORY(S) DRIVERS EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES xi. To drive motor vehicles in accordance with road traffic Rules and Regulations; xii. To inspect motor...
  18. L

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

    Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf? ====== #HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati...
  19. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Aibu kwa TRA idara ya forodha Rusumo; Mhuri nyeti huachiwa nyoka (kijana)

    Mida ya usiku pale kwenye geti la kutokea Tanzania kuingia Rwanda maafisa wetu wa forodha huwa wanafanya uzembe unaohatarisha usalama wa taifa letu kwa wao kwenda majumbani ama nyakati zingine kwenda kuangalia mpira na pengine kwenda bar na mhuri huo hapo juu huachiwa vijana wa ving'amuzi...
  20. CONSULT

    JamiiForums Tanzania Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!

    Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! ! Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD) Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona na kuuhakiki...
Back
Top Bottom