TRA toeni Bonus kwa kila mwenye Risiti 100 za EFD, Mtaongeza mapato maradufu kuliko kutumia nguvu!

muafi

JF-Expert Member
Oct 6, 2015
2,114
4,798
TRA kwa muda mrefu wamekua wakilalamika kupoteza mapato mengi kutokana na wauzaji wa bidhaa kutotoa risiti za Kielektroniki

hii imesababishwa na wananchi wenyewe kutojua umuhimu wa kudai risiti za EFD

nilisikia TRA wameanzisha mchongo kwa baadhi ya wakazi wa dar kwamba ukikutwa na TRA umenunua mzigo na unarisiti nasi unapewa zawadi,

fanyeni hivi,

Tangazeni kwa watanzania kwamba mtu yoyote akinunua bidhaa yoyote atunze risiti yake ya EFD zikifika risiti 100 aje nazo TRA impe bonus!


mkifanya hvyo mtakua mmewamaliza hakuna mtu atakayenunua bidhaa aache kuomba risiti




FB_IMG_16580694499828157.jpg
 
This will lead to the increase of cost of collection of Tax-alisikika boss wa TRA akiongea kwa jazba.
 
Tuliambiwa awamu hii ya sita kodi itakusanywa kidijitali sasa haya ya kutumia nguvu yanatoka wapi.kumbe ukusanyanyi wa kodi hata kidijitali ni issue maana waziri mkuu amesema wapo wataalamu wa kizima mifumo kisha wanachota cha kwao then wanawasha mfumo tena.Nchi hii kazi ipo usitukane mamba kabla ya kuvuka mto.
 
Serikali ipige marufuku matumizi ya risiti za EFD maana zinawazuia wafanyabiashara kulamba asali
 
Serikali ipige marufuku matumizi ya risiti za EFD maana zinawazuia wafanyabiashara kulamba asali
Na imeonekana kulamba Asali ni mihimu sana kwa afya maana hata akina Mbowe baada ya kulamba asali,asali imegeuka kizima akili hata habari ya katiba mpya haiongelewi tena kwa msisitizo unaostahili.kazi ipo nchi hii.Asali haifai tumesikia na Tundu Lisu na asali tayari kalamba kazi tunayo.
 
Na imeonekana kulamba Asali ni mihimu sana kwa afya maana hata akina Mbowe baada ya kulamba asali,asali imegeuka kizima akili hata habari ya katiba mpya haiongelewi tena kwa msisitizo unaostahili.kazi ipo nchi hii.Asali haifai tumesikia na Tundu Lisu na asali tayari kalamba kazi tunayo.
Mabadiliko ya kweli huwa inaletwa na watu

Ova
 
TRA kwa muda mrefu wamekua wakilalamika kupoteza mapato mengi kutokana na wauzaji wa bidhaa kutotoa risiti za Kielektroniki

hii imesababishwa na wananchi wenyewe kutojua umuhimu wa kudai risiti za EFD

nilisikia TRA wameanzisha mchongo kwa baadhi ya wakazi wa dar kwamba ukikutwa na TRA umenunua mzigo na unarisiti nasi unapewa zawadi,

fanyeni hivi,

Tangazeni kwa watanzania kwamba mtu yoyote akinunua bidhaa yoyote atunze risiti yake ya EFD zikifika risiti 100 aje nazo TRA impe bonus!


mkifanya hvyo mtakua mmewamaliza hakuna mtu atakayenunua bidhaa aache kuomba risiti




View attachment 2294350
Siyo rahis kihivyo unavyodhania.
 
Nitahakikisha unaweza kutoa risiti popote ulipo kirahisi zaidi kwa garama nafuu hata kama hauna bando utaweza kutumia mfumo wa VFD. Huu mfumo umethibitishwa na TRA kutoa risiti halali za EFD zenye QR CODE kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta.

Garama zake ni Tsh. 300,000 pamoja na printer yake.

Piga au whtsp 0753688348.
 
Back
Top Bottom