tiss

  1. Informer

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

    Rais Magufuli amewateua Dkt. Modestus Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu, Robert Msalika Naibu Mkurugenzi Idara ya Usalama wa Taifa. - Anaapaishwa leo mchana. Alikuwa anafanya kazi NIDA kama Mkurugenzi mkuu.
  2. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

    Idara ya Usalama wa Taifa (Tanzania Intelligence and Security Service) ndiyo idara maarufu na inayoogopwa sana na wananchi walio wengi. Kutokana na kutoifahamu vizuri idara hii, wananchi wengi wanaichukia na kuiogopa kwa kudhani kuwa hii ndiyo idara inayotumika katika kuwaua na kuwatesa watu...
Back
Top Bottom