Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,987
- 144,319
Ni kupitia mtandao wa twitter ambapo ameandika maneno haya:
Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1
Ujumbe wake mwingine ni huu:
Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU
Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:
Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.
Ujumbe kwa TISS: Kila mtu ana saikolojia yake.
1. Sio kila mtu anakuwa MOTIVATED na PESA
2. Sio kila mtu anaFLIGHT kuna wengine wanaFIGHT
3. Sio kila mtu anaOGOPA kufa. Kuna wengine wanajiuwa wenyewe.
4. Sio kila mtu ana AKILI kama zako.
5. Madhehebu yote yameanzishwa na mtu1
Ujumbe wake mwingine ni huu:
Nilivyoweka somo la PGO jana wengi wameuliza “Nani atayemfunga paka kengele?” Kwenye DEMOKRASIA lazima kuwe na TUME HURU YA KUCHUNGUZA MAOVU YA POLISI. Na pia Rais hana MAMLAKA ya kufukuza au kupandisha vyeo Polisi isipokuwa IGP na kwa RIDHAA ya TUME na BUNGE. MIFUMO ni DHAIFU
Amefafanua hivi akimjibu mchangia mmoja:
Polisi hafukuzwi kwa AMRI. Anapitia DISCIPLINARY PROCEDURE.