tin

Tin is a chemical element with the symbol Sn (from Latin: stannum) and atomic number 50. Tin is a silvery metal that characteristically has a faint yellow hue.
Tin is soft enough to be cut with little force. When a bar of tin is bent, the so-called “tin cry” can be heard as a result of twinning in tin crystals; this trait is shared by indium, cadmium, zinc, and frozen mercury.
Pure tin after solidifying presents a mirror-like appearance similar to most metals. In most tin alloys (such as pewter) the metal solidifies with a dull gray color.
Tin is a post-transition metal in group 14 of the periodic table of elements. It is obtained chiefly from the mineral cassiterite, which contains stannic oxide, SnO2. Tin shows a chemical similarity to both of its neighbors in group 14, germanium and lead, and has two main oxidation states, +2 and the slightly more stable +4. Tin is the 49th most abundant element on Earth and has, with 10 stable isotopes, the largest number of stable isotopes in the periodic table, thanks to its magic number of protons.
It has two main allotropes: at room temperature, the stable allotrope is β-tin, a silvery-white, malleable metal; at low temperatures it is less dense grey α-tin, which has the diamond cubic structure. Metallic tin does not easily oxidize in air and water.
The first tin alloy used on a large scale was bronze, made of 1⁄8 tin and 7⁄8 copper, from as early as 3000 BC. After 600 BC, pure metallic tin was produced. Pewter, which is an alloy of 85–90% tin with the remainder commonly consisting of copper, antimony, and lead, was used for flatware from the Bronze Age until the 20th century. In modern times, tin is used in many alloys, most notably tin / lead soft solders, which are typically 60% or more tin, and in the manufacture of transparent, electrically conducting films of indium tin oxide in optoelectronic applications. Another large application is corrosion-resistant tin plating of steel. Because of the low toxicity of inorganic tin, tin-plated steel is widely used for food packaging as tin cans. Some organotin compounds can be extremely toxic.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Naomba utaratibu wakubadili tin number kutoka non businesses kwenda business

    Samahani nilikua naomba kazi kampuni x vigezo vikawa tin number nikampa mtu anitengenezee yeye akatengeneza ya non businesses Sasa imekataliwa nafanyaje kubadili msaada jaman
  2. P

    Naombeni maelekezo jinsi ya kupata TIN na leseni ili nikasajilie lain za uwakala

    Nahitaji kusajili laini za UWAKALA hivyo nilikua na omba maelekezo wapendwa naanzia wapi ? Mpaka nipate Tin,lesen pamoja na laini Je kuvipata vyote hivyo inaweza chukua gharama kiasi gani.? Laini ya Vodacom,Tigo, Airtel na halotel
  3. Smith Rowe

    Kupata Tin number na tax clearance kwa kampuni

    Naomba kuuliza Wiki iliyopita huku nyanda za kaskazini nilienda TRA kwa ajili ya kupata TIN number na tax clearance ya kampuni, baada ya kulipa rental tax na stamp duty nikaambiwa nitafute muhasibu aniandalie provisonal return statement ndo nitapata tin number pamoja na tax clearance. Au nimpe...
  4. J

    Nina TIN Number ambayo sijawahi kuitumia kwa biashara yoyote zaidi ya kupatia leseni ya udereva, Je Tax Clearance nitadaiwa?

    Kama heading inavyojieleza, Tangu nipate TIN Number, Haijawahi kutumika kwa biashara isipokuwa tu ilitumika kipindi nahitaji leseni ya udereva, Je TIN hiyo naweza kuitumia kufungulia biashara sasa? Je katika kupata Tax Clearance kutakuwa na complications zozote? Nawasilisha.
  5. tripleec

    TRA: Usajili wa TIN kwa mwananchi mwenye miaka kuanzia 18 siyo kwa ajili ya biashara bali utambuzi

    Mamlaka ya Mapato Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusu wanaostahili kuwa na TIN na namna gani takwa hilo kisheria limesemwa. Ni kuwa ukiwa na miaka 18 unastahili kuwa na TIN na haimaanishi kuwa utalipishwa kodi sababu inaweza kuwa huna biashara au hujaajiriwa na hata kama unabishara pengine hujafika...
  6. BigTall

    TRA: Usajili wa TIN kwa mwananchi umri kuanzia miaka 18 siyo kwa ajili ya biashara bali ni kwa utambuzi

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema hadi kufikia Desemba 31, mwaka huu kila mtu mzima nchini anatakiwa kuwa na Namba ya Mlipa Kodi (TIN). Hayo yameelezwa na Ofisa Mkuu wa Usimamizi wa Kodi (TRA), Hamadi Mteri wakati wa ufunguzi wa semina kwa wanachama wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa...
  7. jahanbaksh

    Utaratibu wa kuhamisha TIN number kutoka mkoa mmoja hadi mwingine

    Habarini wakuu, kama uzi unavyojieleza naomba kujua utaratibu wa kuhamisha Tin number ya biashara kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, natanguliza shukrani
  8. OLS

    Je, kupewa TIN ni sawa na kodi ya kichwa?

    Waziri wa Fedha na Mipango amependekeza kugawa TIN kwa watu wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, na taarifa hizi ziende sawa na NIDA ili kulipa kodi kwa usahihi. Baadhi ya watu wamehusianisha namna hii ya ukusanyaji kodi na Kodi ya kichwa, kitu ambacho naona ni kupotosha ukweli kuhusu kodi ya...
  9. kidereko

    Jinsi ya kupata TIN NUMBER ONLINE

    Wakuu habari, Kuna mtu anaitaji TIN ya TRA , Je! anaweza kuipata ONLINE wakuu?! Kwa namna zipi
  10. King Sae

    Msaada mwepesi na waharaka wa kubadili TIN namba isiyokuwa ya kibiashara kwenda ya kibiashara

    Naona Staff wa TRA wa uku nilipo siwaelewi kabisa,wanafanya mambo yawe magumu... Mwaka 2017 nikiwa Dar es salaam nilipata TIN namba lakini ilikuwa si kwa ajiri ya biashara (non business use),niliipata nkiwa ktk harakati za mafunzo ya udereva. Kwa sasa nipo mkoa wa nyanda za juu uku ktk...
  11. Infopaedia

    Kusajili TIN online bado ipo?

    Nawauliza TRA, ile huduma yenu ya kusajili TIN number online bado ipo?. Siku ya tatu leo nimesajili TIN online lakini bado naambiwa ombi linashughulikiwa. Kipindi kile mmeanzisha hii huduma ilikuwa ndani ya masaa kadhaa unapata TIN number yako. Kwenye tovuti yenu kuna number ya whatsapp...
Back
Top Bottom