Point of No Return 19
Senior Member
- Jul 2, 2023
- 194
- 454
Nahitaji kusajili laini za UWAKALA hivyo nilikua na omba maelekezo wapendwa naanzia wapi ?
Mpaka nipate Tin,lesen pamoja na laini
Je kuvipata vyote hivyo inaweza chukua gharama kiasi gani.?
Laini ya Vodacom,Tigo, Airtel na halotel
Mpaka nipate Tin,lesen pamoja na laini
Je kuvipata vyote hivyo inaweza chukua gharama kiasi gani.?
Laini ya Vodacom,Tigo, Airtel na halotel