tff

TFF 2. Lig (Turkish Football Federation Second League) or TFF 2. Lig (in Turkish), is the third level in the Turkish football league system. It was founded in the 2001–02 season with the name of Turkish Second League Category B as a continuation of the then second level division. In the 2005–06 season the name of the league was changed to Lig B. Since the 2007–08 season the league's current name is used along with sponsor names.
Turkish Second Football League (in Turkish: Türkiye İkinci Futbol Ligi or shortly İkinci Lig or 2. Lig) is a defunct football league in Turkey. It was the second level division in Turkish football since its foundation in 1963–64 until the formation of the new league system in 2001–02. The Second Football League was divided into two categories in the 2001–02 season: Category A and Category B. Since 2007–08 Category A has continued as the TFF First League and Category B has continued as the TFF Second League.

View More On Wikipedia.org
  1. Its Pancho

    TFF naona mmesahau kumchunguza mchezaji huyu dume linalojifanya jike kwanini??

    Nawasilisha
  2. ngara23

    TFF kufungia mchezaji wa Yanga Princess, Jeanine Mukandayisenga kisa utata wa jinsia ni hujuma kwa timu yetu

    Tunajua Karia na TFF yake wana kidonda kizoto moyoni baada ya msimu uliopita Yanga kuwa bingwa na kampeni yake ya kugomea derby iliyohairishwa kihuni, hili linamkera sana Karia na TFF yake Kumbuka Yanga ndo timu pekee ambayo haikumuunga mkono Karia kwenye uchaguzi wa utapeli wa TFF, ambapo...
  3. MwananchiOG

    Maajabu ya soka la TFF, Msimu mpya unaanza tuzo za msimu uliopita hazijatolewa

    Kipindi cha nyuma tuzo zilikuwa zikitolewa kwa wakati, ila kuna kiongozi akasogeza mbele utaratibu wa tuzo kwa kigezo cha kuboresha, sasa unajiuliza huyo kiongozi alikuwa. Anafahamu sababu zilizosababisha tuzo hizo kutolewa mapema? Aliweka katika consideration na alitazama mbele kwamba kwa...
  4. Meja Jenerali Isamuhyo

    Ila TFF ni watu wa hovyo sana

    Tangu lini Fadlu akawa nahodha wa Simba. 😂😂
  5. DuaZaMama

    TFF yatoa orodha ya mawakala wa Tanzania wanaotambulika na FIFA

    Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) leo limetoa orodha ya mawakala 12 wa wachezaji waliofaulu na kupata leseni ya kufanya shughuli za uwakala wa wachezaji ya Shirikisho la soka duniani (FIFA). Mapema mwaka huu, Amos Mlandali maarufu kama Sizo alikuwa mmoja kati ya walifaulu mtihani wa...
  6. GENTAMYCINE

    TFF tumieni muda huu huu wa kutolewa kwetu CHAN 2004/2005 kumfuta Kazi pia Kocha Hemed Suleiman Morocco kwani hakuna Kocha hapo

    Tuachaneni na huu Ushamba kuwa hata Makocha wazalendo wana Ubavu wa Kufundisha Timu zetu za Taifa. Afukuzwe.
  7. Vincenzo Jr

    Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

    Tukutane tarehe 16 Septemba ni Simba SC vs Yanga SC
  8. A

    Haya mambo ya kupangiana kucheza usiku TFF mwisho ikatae kuburuzwa

    Sisi ndio Host kwenye haya mashindano...na mwenyeji ana haki zake... Haki zake ni pamoja na kuhusishwa kupanga muda sahihi wa mechi kuchezwa katika nchi yake. Kucheza saa mbili usiku sio desturi yetu...hili ni jambo geni..na hata inapotulazimu kucheza bas iwe as emergency...isiwe ndio...
  9. President of China

    Yanga hawajapongeza ushindi wa Karia mpaka sasa - Simba na timu zingine zote wamempongeza Rais wa TFF kwa ushindi mnono

    Bango limejieleza hapo juu.
  10. GENTAMYCINE

    Soka la Tanzania ni la Kubalansi Simba na Yanga kwenye kila Kitu hivyo wenye Akili tulijua bado Nyamlani angekuwa Makamu Rais TFF

    TANGA; RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amemteua tena Athumani Nyamlani kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa shirikisho hilo. - Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, Rais anateua wajumbe wanne wa Kamati ya Utendaji ambao wanathibitishwa na Mkutano Mkuu wa TFF na miongoni mwa...
  11. B

    Raisi karia kashinda uraisi wa TFF

    Habari ndo hiyo.. Yule msomalia kashinda tena
  12. Waufukweni

    Mawakili washindwa Kesi ya kuzuia Uchaguzi wa TFF, Uchaguzi kuendelea kesho Tanga

    Mawakili waliofungua kesi ya kusimamisha uchaguzi mkuu wa TFF ambao unatarajia kufanyika siku ya kesho wameshindwa kesi, Mawakili hao wametakiwa pia kulipa gharama za kesi. Uchaguzi Mkuu wa TFF utaendelea kama kawaida siku ya kesho ya Agosti 16 hapa Jijini Tanga katika Hoteli ya Tanga Beach Resort.
  13. Ileje

    TFF iadhibiwe na FIFA endapo haitaiadhibu Yanga kwa kushiriki kampeni za CCM!

    Ni wazi Yanga imekiuka kanuni za FIFA kwa kushiriki kampeni za CCM katika uchaguzi mkuu wa kisiasa kupata viongozi wa serikali. Kwa hiyo ili kuepuka rungu la FIFA na kulinda heshima ya nchi kimichezo lazima TFF ichukue hatua za kuiadhibu Yanga ikiwa na pamoja na kuifungia kushiriki mashindano yo...
  14. DuaZaMama

    TFF yapigwa Rungu na CAF kulipa faini ya USD 10,000 kwa Kuvunja Taratibu za Usalama mechi dhidi ya Burkina Faso

    Bodi ya Nidhamu ya CAF imefungulia mashitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kuvunja masharti ya Usalama na Ulinzi kama yalivyoainishwa katika Kanuni za Nidhamu za CAF, Ibara ya 82 na 83, pamoja na Ibara ya 24 na 28 za Kanuni za Usalama na Ulinzi za CAF. Mashitaka hayo...
  15. Mstahiki Mea

    TFF fanyeni jambo tumpate huyu kocha wa kenya

    Hii timu(kenya) haina wachezaji tishio sana lakini ukiangalia kuna kitu wanakionyesha , jamaa wapo kundi la kifo lakini wanaonesha upinzanI mkali sana. Huyu atatufaa sana kuelekea Afcon 2026
  16. GENTAMYCINE

    Kuna Timu safari hii imekosea (imechemka) sana katika Usajili wake na itakuja kupata Mafanikio kwa nguvu za Wabunge wenye Kuogopwa na TFF

    Sijaitaja sasa Wewe shoboka kuwa unaijua kwa kujifanya upo Akilini mwa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Malaika wa Kizanaki (Mara Tanzania), Kiyao (Mtwara Tanzania) na Kitutsi (Gisenyi Rwanda) sawa?
  17. M

    Simba na Yanga na TFF kubalianeni timu moja isifungwe zaidi ya mara tano mfululizo

    Kwa maslahi mapana ya soka letu ni vema kukaandaliwa kanuni itakayozui timu zetu hizi kutokuifunga timu mojawapo zaidi ya mara tano mfululizo. Kutokana na ukubwa wa hizi timu hakika zimebeba idadi kubwa sana ya mashabiki. Sio jambo jema kukuta kuna shabiki analia na kukosa furaha kwa zaidi...
  18. Mwanongwa

    Msimamo wa waziri & BMT umenyooka kuzuia miaka 12 ya uongozi TFF na vyama vyake kinyume na sera ya maendeleo ya michezo* *Msajili ajibu barua ya TFF

    Ndugu yenu Mwanongwa Leo nilikuwa napitia pitia hizi mambo . Imebainika kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo alitoa maelekezo Sera ya Maendeleo ya Michezo ya Taifa iendelee kuheshimiwa kuhusu ukomo wa madaraka usiozidi miaka 9 kwa kwa viongozi wa vyama vyote vya michezo nchini...
  19. Mwanongwa

    Barua ya TFF kuomba miaka 12 ya uongozi BMT yanaswa, Karia na genge lake wakumbuka shuka kumeshakucha

    Ni kama mtu anayejifunza kuogelea siku meli inazama. Too late!!! Imebainika kuwa uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ulianza kushinikiza Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kubadilisha Sera ya Michezo ya Taifa kuongeza ukomo wa madaraka ya uongozi wakati tayari Katiba yao...
  20. MwananchiOG

    Sisi mashabiki wa Yanga tunasimama na Mangungu, TFF iingilie kati wanaotaka kumtoa, Mangungu mitano tena, Mangungu for Life

    Tumesikitishwa sana na kitendo cha baadhi ya mashabiki kutaka kumchafua na kumlazimisha Mh. Mangungu, Mtu wa maana kabisa! Mtanzania mwenzetu aliyepata nafasi yake kihalali kabisa, Mtu wa watu, Mtu makini, Bila yeye leo hii Ligi yetu ingepata wapi burdani saaafi kutoka kwa SGR Budo sanchez...
Back
Top Bottom