tetemeko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Supu ya kokoto

    Tetemeko la ardhi limetokea Katavi na Mpanda

    Tetemeko LA ardhi limeutikisa mji wa Mpanda,katavi muda huu. Tupate taarifa zaidi please. ===== Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 4.6 katika vipimo vya Ritcher, limeyakumba maeneo ya Katavi na Mpanda. Bado madhara ya Tetemeko hilo hayajafahamiaka.
  2. support wpn

    Tetesi: Tetemeko la ardhi Kigoma leo alfajiri

    Kuna tetemeko dogo limepiga Leo kigoma wilaya ya buhigwe alfajiri
  3. K

    Tetemeko maeneo ya Ziwa Rukwa

    Tetemeko la ardhi limetokea leo saa 2:50 asubuhi maeneo la Ziwa Rukwa. Mliopo maeneo hayo mtujuze.
  4. beth

    Pakistan: Tetemeko la Ardhi laua takriban 20 na kujeruhi zaidi ya 200

    Ripoti za awali zinasema takriban watu 20 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa kufuatia tetemeko la ukubwa wa 5.7 lililotokea mapema leo Kusini mwa Pakistan. Imeelezwa, idadi kubwa ya waliopoteza maisha ni Wanawake na Watoto ambao walikuwa wamelala. Majengo kadhaa yakiwemo ya...
  5. Malaika Gabrieli

    Tetemeko la ardhi Arusha, kuna mwingine alilihisi?

    Habari wanafamilia wa JamiiForums. Muda 3:48 am kishindo cha kasi sana/ tetemeko la ardhi limepita maeneo ya Arusha. Je, kuna yeyote aliyepo Arusha amelisikia?
  6. MC44

    Geita: Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa Richa 4.8 latikisa

    Limepita saa hii 05:38am na kudumu kwa sek 10 hv. Sijui maeneo mengine vipi.
  7. beth

    Haiti: Tetemeko la Ardhi laua watu 304

    Takriban watu 304 wamepoteza maisha kufuatia tetemeko la ardhi la ukubwa wa 7.2 huku wengine wapatao 1,800 wakijeruhiwa. Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Ariel Henry ametangaza Hali ya Dharura kwa mwezi mmoja Mbali na vifo pamoja na majeruhi, Nyumba 949, Makanisa 7, Hoteli 2 na Shule 3 zimeharibiwa...
  8. heartbeats

    Nani aliyehisi tetemeko la ardhi tarehe 22 Machi, 2021 jijini Dar es Salaam?

    Hope mko njema, Binafsi jana nikiawa nimetulia kibarazanii mida ya saa mbili usiku nilihisi mtikisiko wa nguvu tu uliodumu kama sekunde 10 hivi. Sikutilia maanani maana nilikua nipo bize na simu ila nilihis kama tinga tinga la kushindilia lami limepita kwa ule mtikisiko Nikasema niingie ndani...
  9. T

    Mara (na maeneo jirani): Muda wa saa 4:47am tetemeko limepita

    Tupeane taarifa zaidi toka maeneo mengine kama kuna madhara au taarifa zozote kuhusu. Nipo Mwanza. ==== UPDATE
  10. S

    Jengo Maarufu Zanzibar kwa utalii, Beit Al Ajaib laporomoka

    Jengo hili lilikua ndio sura ya mji Mkongwe Zanzibar na kivutio Kiki kikubwa cha utaliii, lakini serekali imeshindwa kulitunza. Serekali ya Oman 🇴🇲 ilikua tayari kulikarabati lakini inaonekana wamefanyiwa urasimu na watendaji wenye tamaa. === Jengo la Beit al Ajaib lilijengwa na sultan wa...
  11. Shadida Salum

    Tetemeko lenye ukubwa wa 7.0 laipiga Uturuki, 14 wafariki

    Tetemeko la Ardhi lililotokea mchana wa Ijumaa ya tarehe 30 Octoba 2020 katika ukanda wa Bahari ya Aegean limeharibu miundombinu katika miji ya pwani. Watu katika Mji uliopo Magharibi mwa Uturuki , Izmir wamekusanyika katika mitaa baada ya kuyakimbia majengo yao wakitafuta usalama. Meya wa mji...
  12. chiembe

    Kuna mradi wa kukarabati Shule Kongwe nchi nzima. Je, fedha za kukarabati shule ya Ihungo na Nyakato zilizoathiriwa na tetemeko Kagera zinatoka huko?

    Nasikia kuna mradi mkubwa unaofadhiliwa na mataifa ya nje ili kukarabati Shule Kongwe hapa nchini. Mradi huu hutoa pesa kwa ajili ya shughuli hii. Shule ya Sekondari Nyakato pamoja na Ihungo ni moja ya shule kongwe na hivi karibuni zimezua mjadala. Shule hizi zilipigwa na tetemeko lililoikumba...
  13. Mwanahabari Huru

    Watanzania hatujasahau na hatutasahau yaliyotokea katika tetemeko la Kagera

    1. Rais uhuru kenyata alichangia wahanga million 200. 2. Serikali ya korea iliwachangia wahanga million 108. 3. Serikali ya uingereza iliwachangia wahanga billion 6 4. Askofu mkuu wa EAGT dkt brown mwakipesile alichangia million 10. 5. Mh Freeman Mbowe million 5. 6. Waziri mkuu wa india...
  14. S

    CCM tayarisheni mashine za kupumulia, mmelisikia tetemeko huko visiwani ?

    Wazee wenye elimu wametujuvya ya kuwa mara hii CCM inaanguka na sehemu ambayo itapigwa na chini ni Zanzibar ni baada ya kutokea tetemeko la ardhi baharini hivi majuzi, wazee hao walienda mbali zaidi na kusema hii sio dalili nzuri kwa CCM na kwa ishara hizi halina dawa wakubali tu bora nusu shari...
  15. masopakyindi

    TETEMEKO: Ni wakati wa kujitayarisha kwa yajayo

    Tetemeko lililtokea majuzi limewashangaza wengi hasa wanaoishi ukanda huu wa Pwani. Kama sikosei hili ni tetemeko la pili katika muda wa miaka takriban minne au mitano nlilolisikia lakini kumbe yamekuwepo mengi. Nimekaa Dar es salaam kwa kipindi kirefu sana lakini sikumbuki kuona tetemeko...
  16. ze future

    Mambo Unayotakiwa kufanya linapotokea tetemeko la ardhi

    Kwa mujibu wa tafiti za jiolojia tetemeko hutokea mara kwa mara, lakini mara nyingi ni hafifu mno, haisikiki na binadamu ila tu inapimwa na mitambo ya wataalamu. Mara nyingine huweza kusababisha madhara kama uharibifu wa makazi na mali. Tetemeko likitokea katika eneo la bahari, basi huweza...
  17. Determinantor

    Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

    Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu? Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC) -- Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro Pia soma: Tetemeko la ardhi 14:57Hrs lapita mkoani Tabora Tetemeko dogo...
  18. Sigara Kali

    Kanda ya Ziwa: Tetemeko la Ardhi la ukubwa wa 4.5 kwa vipimo vya Richa latikisa

    Jamanii muda si mrefu tumepitiwa na tetemeko la ardhi hapa Ushirombo Ni tetemeko Dogo limedumu kwa sekunde kadhaa Tuwaombee wenzetu wa Bukoba/Kagera na Chato.
  19. chiembe

    Tuzidishe maombi ili corona iyeyuke, fedha zinazochangwa zitunzwe zikajenge hospitali au shule ya kisasa, Bukoba wanafaidi shule ya hela za tetemeko

    Nahimiza watanzania tupige gombo la kutosha, tufanye maombi Mungu atajibu. Tukeshe mabarabarani, makanisani, misikitini na kila mahala. Hakuna haja ya kupoteza hela zinazochangwa kupambana na corona, pesa hizo zikusanywe ziachwe baadae zitumike kujenga mashule na hospitali. Yalichangwa...
Back
Top Bottom