TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.
Waarab wa Sudan wamekua wakizunguka nyumba kwa nyumba na kuchinja watu wa kabila la Masalit, ambao asili yao ni weusi, tena waislamu yaani dini ya hao waarabu, wanakata vichwa na kuua kila kitu kinachotamba.
Waarabu weusi wa Bongo akina brazaj kutwa wanalia lia kuhusu Waarabu wa Palestina...
Kwa mujibu wa chanzo changu muhimu kilichopo kambini Ivory Coast kimesema kwa furaha iliyoko sasa kambini kwani hata wachezaji nao kuanzia nahodha Samatta walikuwa hawamkubali na hawamtaki kocha mkuu dalali Adel Amrouche.
Wamesema wanaenda kuwafunga Zambia na hata Congo DR ili tu kuwaheshimisha...
Inasikitisha kuleta humu lakin naona imekuwa kama mchezo unaojiriudia.
Ndugu zangu wa tigo haya mnayotufanyia hayapendezi.
Binafsi n mteja wenu wa siku nyingi miaka mingi. Hiki ndicho kinaendelea kuntokea mara ya nne leo.
Ninaponujua vifurushi vya internet mnaaniandikia kifurushi chako...
Ni ukweli mchungu najua wafia chama watapingana na huu ukweli lakini hii ndio fact yenyewe kabisa! Chadema kwa sasa imebaki ndani ya mioyo ya wanufaika wa ruzuku tu! Ndio unawaona wanatoa povu la kupigania kipande cha mkate.
Kwa Watanzania wa sasa. Hata kama chadema itatoa pesa za kuwalipa watu...
Ninachojua na kukiamini katika maisha ya kila mmoja, ni kule kupambana saana ili mtu uweze kurahisisha maisha, na kwa sababu hiyo ili uwe na uhakika wa kufanya mambo mengine mhimu ya maendeleo, lazima uishinde njaa kwanza na ndipo utapata balansi ya fedha za kuanzisha vitu vingine kama kujenga...
Huenda mimi ni mmoja kati ya wale watu wanaosahau mambo haraka, kwa jinsi mambo yanavyosonga ni wazi kabisa nakosa maana halisi ya neno Maisha. Navurugwa na kupata mtungo wa maswali ndani ya kichwa change, nakosa majibu nabaki nakuna kichwa kwa mishangao mikubwa mikubwa.
Unaweza kupata mgonjwa...
Jeshi la Marekani linaendelea na mashambulizi ya ziada dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen, siku moja baada ya kuanzisha wimbi la mashambulizi katika maeneo karibu 30 nchini humo ili kudhalilisha uwezo wa kundi la waasi linaloungwa mkono na Iran kushambulia meli za Bahari Nyekundu, maafisa...
Wanabodi hi ni Makala ya Nipashe ya Jumapili ya tarehe, 29 January 2023
Kwa Maslahi ya Taifa, bado inajikita kwenye Katiba yetu,
Makala ya leo ni kuhusu hiki kinachoendelea Bungeni kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kupokea maoni ya sheria mpya ya uchaguzi, Mwenyekiti wa Kamati hiyo...
Aiseeh wanajamvi habari zenu
Jana niliachwa hoi na kitu kilichonitokea yaan Imani imekua kitu cha kuchezewa na watu waliopewa dhamana.
Jana nilishinda mitaa ya Leaders Club nikipoteza mawazo na washkaji mpaka mida ya saa sita usiku nikarudi zangu kwetu huku Country side Ilala vijijini.
Wakati...
Magaidi ya kidini yanaendelea kupigwa huku yaking'aka kwamba yatalipa kisasi......
The US military early Saturday struck another Houthi-controlled site in Yemen that it had determined was putting commercial vessels in the Red Sea at risk, a day after the US and Britain launched multiple...
Dunia iwazuie hawa mayahudi. Wameua yena Kamanda Mwandamizi (Senior Commander) wa Hezbollah huko Lebanon.
Jamaa wanapiga kila sehemu hawa Waisrael nashindwa waelewa. Wanaenda piga kuua maadui hadi nchi nyingine? Dunia inaangalia tu. Ni nini hiki jamani? Hali ni mbaya kwa sasa jamaa wameamua...
Kuna mikoa unaenda mara unatishika, watu wanachomana visu, kila bar lazima ugomvi utokee.
Wasichana wanavuta bangi, wanapigana na punda hadi punda anakufa.
Arusha sina hamu
God bless.
Mashabiki wa Ninja tumefurahi sana kwa alicho kifanya mwamba kwenye mkwaju Nasikia harufu.
Huyu ndio Chidy tulie mjua.
Chidy umefunika sana kwenye hilo goma. Kwa ulicho kifanya Chidy kwenye hilo Goma kama ni mchezaji basi we Pacome.
Simu ziite simu ziite.
# Maurine sio mtamu...
- Kukatika katika hovyo kwa umeme
- Fukuza fukuza ya machinga
- Kuongeza nauli hovyo hovyo
- Ubovu wa miundombinu ya barabara
- Kukwama kwa miradi mbalimbali
- Mfumko wa kutisha wa bei
- Rushwa iliyokithiri
Mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? Yaani CCM mmepoteza...
tena sioni aibu.. kukutaja hadharani..
wew wangu tabibu ..tamu yangu kitandani..
mke wangu mahabubu.. hebu tuache utani..
kwako wew -mimi bubu,nabaki kukutamani..
kila kitu nahusudu ... nje hadi ndani
Baada ya kupotea kwa muda mrefu sasa nimerudi tena mjengoni.
Kwanza heri ya mwaka mpya kwenu wote! Yaani waibo wa naija tunasema 'UMUOFIA KWENU' unaitika 'YAA'
Leo napenda kuzungumzia kuhusu nauli kwenda Same,, nashindwa kuelewa kwa nini unalazima kulipa nauli ya Arusha wakati unaishia hapo...
Wazee
Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana ..
Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi mbalimbali.
Angalau basi hata hao wachezaji wawe wamoto sana ila ndiyo vile ndugu mangungu amekuwa ni...
Hivi Yale makelele ya Iran yameishia wapi. Mara ooh Israeli akiivamia Gaza atakuwa amevuka mstari mwekundi. Yale maneno hatuasikii tens, kuna nini?
Wanaume wapo ndani huko. Mji wa Gaza majengo yote yamebomolewa na magaidi 8000 yamekufa na wengine kujisalimisha.
Mataifa ya Kiarabu mbona yapo...
Hawa hawa waliokua wanarusha mamia na maelfu ya rockets, wamesalia kurusha roketi moja kwa siku tena kwa kujificha sana maana kila wakifyatua, hapo ilipotokea panasambaratishwa kwa majibu ya Israel.
Wamefifia maana kuna siku zinapita hawajarusha chochote, wamepoteana na kusakamwa...
Pamoja na uzee wake Rais Biden atagombea tena na uwezekano wa kushinda ni mkubwa.
Katika kipindi cha miaka mitatu ya uraisi wake, Biden ameweza vizuri kumdhibiti Rais Putin kuwa tishio barani Europe.
Mpango wa Putin ulikuwa kuichukuwa Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi. Vile vile huyo mpango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.