CHECHEFU MAHAKAMANI TENA
Safari hii ni kampuni ya NAS HAULIERS iliyokopa bilioni 50 ikakataa kulipa na kukimbilia mahakamani ikiishitaki benki iliyofanikisha mkopo
- ikitetewa na wakili yule yule mzee wa Mikopo chechefu, Mahakama ikaipa ushindi
- Leo inapandishwa kizimbani Mahakama ya Rufaa...