Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari leo baada ya kuondolewa zuio la kutofanya siasa, Aprili 15, 2026 amesema kuwa Bila Teknolojia tusingesikika kokote kule, tunashukuru Teknolojia ilitufanya tuendelee kusikika maana tulikuwa tunajirekodi na kurusha mitandaoni. Nguvu ya Teknolojia ni kubwa kwani ukiweka kitu baada ya muda mfupi hufikia maelfu na ndio kitu tulikuwa tunafanya kuendelea kusikika.
Dunia ya sasa huwezi kuuficha ukweli, ndio maana huwa nawaasa hata waandishi wa habari kuwa dunia ya sasa huwezi kudanganya sababu ukiweka kitu mtandaoni ndani ya muda mfupi kipo kila mahali.
Pia soma
Dunia ya sasa huwezi kuuficha ukweli, ndio maana huwa nawaasa hata waandishi wa habari kuwa dunia ya sasa huwezi kudanganya sababu ukiweka kitu mtandaoni ndani ya muda mfupi kipo kila mahali.
Pia soma
- Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini
- Heche: CHADEMA ndio chama kikuu nchi hii namna ya kukidhibiti nikutumia jeshi na polisi