Nilitandika vibinti enzi hizo,na vikazaa hovyo tu,.
Mi nikaendelea tu kibabubabu na kibibibibi.
Mi ndoa nilishakataa.
Sasa X zaidi ya saba wanataka kurudi ntawapeleka wapi?
Huku nna x wa mwisho nae anandai hela nyingi tu.
Kwenda mahakamani kujitetea ni kila siku,ni mke wa ndoa kabisa...