Serikali mkoani Tanga imesema imeshaanza mchakato wa kufanyiakazi ahadi za Rais Samia Suluhu Hassani alizotoa wakati wa kampeni zake mkoani humo,ikiwemo ya kusaidia vijana ajira,na kujiendeleza kiuchumi na biashara
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batilda Buriani amesema hayo wakati akiongea...