30 June 2026
Kigali, Rwanda
Rwanda imetanua wigo wake wa kupokea shehena ya mafuta yake, Na kwa mara ya kwanza mzigo wa tani 40,000 za bidhaa za petroli kupitia bandari ya Tanga
Mafuta hayo yaliyosafishwa kutoka nchini Oman yatafika mwisho wa mwezi Julai 2026, kupitia bandari ya Tanga...