takwimu

  1. youngkato

    JamiiForums Tanzania Fursa za Uwekezaji Zinazoibuliwa na Takwimu za Mauzo ya Nje ya Mazao ya Kilimo Tanzania (2023/24)

    Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Kilimo Tanzania Mei 22, 2025, zinaonyesha mwelekeo muhimu wa mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa mwaka wa fedha 2023/24. Kwa ujumla, mazao ya kilimo yamechangia zaidi ya trilioni 2 katika mapato ya kigeni, yakionyesha ukuaji thabiti wa sekta hii na kutoa mwanga...
  2. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Takwimu za Mashambulizi yetu Iran zidi ya Mazayuni

    TUENDELEE KUIOMBEA IRAN ILI IWEZE LIPIZA KISASI KWA WALICHOTUFANYA HAWA MAZAYUNI. WAMETUTIA VIDOLE TUMEISHIA KUWARUSHIA MAWE. Mashambulizi ya Iran dhidi ya Israel (Juni 13-14, 2025) Aina ya Mashambulizi Iran ilirusha zaidi ya 100 droni, makombora ya balistiki, na makombora ya cruise. Baadhi...
  3. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kama takwimu zinadai tunaongoza kwa kupokea Watalii inakuwaje TANAPA na NGORONGORO hawajaongoza katika kutoa Gawio kwa Serikali?

    Something is wrong somewhere! Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio...
  4. Torra Siabba

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uongozi wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika, unatuvuruga baadhi ya Wanafunzi, wanadai tumelipa fedha “hewa”

    Sisi ni wanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Sayansi ya Data kutoka Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika. Tunaomba msaada wa haraka kuhusu changamoto kubwa ya fedha zilizokwisha lipwa na bado tuanendelea kutozwa kila mwaka wa masomo lakini huduma zake hazikutolewa kama inavyotakiwa...
  5. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Jarida la World Visualized Limetoa Takwimu Za Nchi 10 zenye kuongoza kwa Uchumi Haramu (Shadow Economy), Tanzania yashika nafasi ya 7 Duniani

    Shughuli za magendo na zisizotozwa kodi sasa zinachangia asilimia 11.8 ya Pato la Taifa Duniani (GDP), ikiwa ni punguzo kutoka asilimia 17.7 mwaka 2000, lakini bado zinawakilisha thamani ya kiuchumi ya matrillion ya Shilingi. Uchumi wa kivuli (Shadow Economy) unajumuisha aina mbalimbali za...
  6. ESCORT 1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu za Berkane Vs Simba kuelekea mchezo wa Final kombe la Shirikisho

    Hizi hapa takwimu za Berkane Vs Simba kuelekea mchezo wa Fainal ya kwanza hapo Jumapili. Kubwa la kuzingatia ni kuwa Berkane kafungwa mchezo mmoja tu na kuruhusu magoli mawili tu msimu huu wa mashindano ya Kombe la Shirikisho.
  7. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye takwimu za vitongoji visivyo na umeme Mtwara na Lindi

    Wakuu natafuta sana takwimu za vitongoji visivyo na umeme mtwara na Lindi. Nahitaji sana hizi taarifa kwa ajili ya matumizi fulani ya kitaaluma. Nilikuwa nahitaji walau majina au source nayoweza kupata hizo data. Asante.
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Takwimu zinavyomkataa Ibra Traore kama mkombozi wa Burkinabe na Waafrika

    Huyu kijana wa Burkina Faso anayesifiwa sana na Waafrika wanaolishwa fake news ni kama sanamu tu Burknafso. Burkinafaso ni nchi ya 182 katika ya 185 katika orodha ya nchi masikini duniani. GDP ya Burkinafaso wakati kijana Ibra anachakua madaraka mwaka 2022 ilikuwa $b19 sasa hivi baada ya miaka...
  9. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Asilimia 70% ya wamarekani( USA) ni masikini. Takwimu hizi ni za ukweli?

    Haya si maneno yangu. Ni maneno ya 👇👇👇
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kanda ya Ziwa tatizo la Saratani ni kubwa, Wizara ya Afya itoke hadharani iweke takwimu halisi na chanzo

    .
  11. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu za Al Masry ni za kawaida wala hazitishi

    Kuelekea mchezo wa Al Masry dhidi ya Simba katika Kombe la Shirikisho Afrika, hizi ni takwimu za Al Masry na Simba katika hatua ya Makundi. Kwenye michezo sita ya makundi, Al Masry kafanya ifuatavyo; Kashinda - 2 Kadroo - 3 Kafungwa - 1 Kafunga goli - 7 Kafungwa goli - 4 Clean sheet - 2 Hii...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Iran ana uwezo mkubwa kijeshi ana jumla ya askari 1,180,000 wakati Israel anayesifiwa kukicha anao 670,000 pekeyake

    Iran ana uwezo mkubwa kijeshi ana jumla ya askari 1,180,000 wakati Israel anao 670, 000 Wadau hamjamboni nyote? Takwimu zinaongea mayahudi wasithubutu kumchezea muiran hata siku moja kwani wataumia Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Israel has 170,000 active military personnel, along...
  13. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Magufuli alikuwa anajifanya serikali yake ya viwanda lakini wajenga viwanda akawafukuza na kuwafilisi. Samia kajenga viwanda 30k ila takwimu zinagoma

    Ma TV, redio na magazeti muda wote, usiku na mchana kipindi cha Magufuli yalikuwa yakimwaga sifa kuwa serikali ya Magufuli ni ya viwanda. Matakwimu ya uongo kutoka wilayani, mikoani yalikuwa yakipikwa na kupelekwa NBS. Kwa muda mfupi tu tukaambiwa viwanda vya Magufuli vimeajiri vijana million 2...
  14. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu za Soka la Ulaya wiki hii, Haaland, Guardiola, Nuno, Mbappé

    Erling Haaland ni Mchezaji wa kwanza wa Premier League kuhusika katika Magoli 100 akiwa na chini ya Michezo 100 zaidi. Amefunga Magoli 84 na kutoa Asisti 16 katika Michezo 94 Manchester City imefungwa Magoli 40, ni mengi kwa timu hiyo kuwahi kufungwa ndani ya msimu mmoja katika Premier League...
  15. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu za Ulaya wiki hii, Bruno Fernandes, Raheem Sterling, Mohamed Salah

    Hat-trick ya Bruno Fernandes dhidi ya Real Sociedad ni ya kwanza kwa Manchester United katika Michuano ya Ulaya tangu Marcus Rashford alivyofunga vs. RB Leipzig (2020), pia ni ya kwanza Europa League tangu Zlatan alivyofunga vs. St-Etienne (2016) Raheem Sterling ni Mchezaji wa Kwanza wa...
  16. JamiiCheck

    JamiiForums Tanzania Thibitisha Taarifa zinazohusisha Takwimu kutoka Vyanzo Sahihi kuepuka Upotoshaji

    Wapotoshaji wanaweza kutengeneza taarifa zisizo za kweli kwa njia ya takwimu katika sekta tofautitofauti, hivyo ni vema kuthibitisha taarifa za kitakwimu unazokutana nazo ili kudhibiti upotoshaji. Unapohitaji msaada wa uhakiki wasilisha taarifa yako katika jukwaa la JamiiCheck.com ili ipatiwe...
  17. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Takwimu mbalimbali za soka la Ulaya wiki hii

    Takwimu za mshambuliaji Lamine Yamal wa Barcelona katika LaLiga, amecheza dakika 1,795, amefunga Magoli 5, ametoa asisti 11. Liverpool ni timu ya kwanza ndani ya Miaka 90 kufunga magoli 2+ katika mechi 18 mfululizo za michuano yote, pia ndio timu ya kwanza kufikisha Magoli 101 ya michuano yote...
  18. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya uhamasishaji uwazi na uwajibijaki katika rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI) yatoa mafunzo matumizi ya takwimu

    Taasisi ya uhamasishaji uwazi na uwajibijaki katika rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI) imetoa mafunzo maalum ya kuelimisha wananchi wasioona kuhusu ripoti na matumizi ya takwimu zinazotolewa na taasisi hiyo ili kuweza kuhoji na kufahamu mchango wa rasilimali hizo na fursa...
  19. Replica

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kiwango cha kukosa ajira nchini ni 7.8% kama takwimu za NBS zinavyosema?

    Leo nimetembelea tovuti ya NBS, katika pititia pitia nimeona kiwango cha ukosefu wa ajira nchini kipo asilimia 7.8, takwimu ambazo zilikusanywa kutoka kwenye sensa ya watu na makazi. Chapisho husika limetolewa Feb, 2024. Nauliza hizi asilimia za NBS zinaakisi uhalisia uliopo kwa ground? Kwamba...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote ya halali. Napatikana Dar es Salaam

    Habari za wakati huu ndugu zangu. Naombeni mnisaide kazi, mahali pa kujitolea au hata ushauri, Nina Shahada ya Uchumi na Takwimu na nipo vizuri hasa kwenye masuala ya hesabu. Iwe ndani ya fani au nje ya fani muhimu ya halali tu. Napatkana Dar es Salaam Mawasiliano yangu ni; 0784990919...
Back
Top Bottom