KLABU 185 ZA WAPINGA RUSHWA ZIMEANZISHWA MASHULENI
Katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai, 2024 hadi Machi, 2025,
Klabu 185 za wapinga rushwa zilifunguliwa na 5,474 ziliimarishwa katika shule za msingi, sekondari na vyuo.
Vilevile, TAKUKURU imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama cha...