taiwan

Taiwan, officially the Republic of China (ROC), is a country in East Asia. It shares maritime borders with the People's Republic of China (PRC) to the northwest, Japan to the northeast, and the Philippines to the south. The main island of Taiwan has an area of 35,808 square kilometres (13,826 sq mi), with mountain ranges dominating the eastern two-thirds and plains in the western third, where its highly urbanised population is concentrated. The capital is Taipei, which, along with New Taipei and Keelung, forms the largest metropolitan area of Taiwan. Other major cities include Kaohsiung, Taichung, Tainan and Taoyuan. With 23.45 million inhabitants, Taiwan is among the most densely populated countries in the world.
Austronesian-speaking ancestors of Taiwanese indigenous peoples settled the island around 6,000 years ago. In the 17th century, large-scale Han Chinese immigration to western Taiwan began under a Dutch colony and continued under the Kingdom of Tungning. The island was annexed in 1683 by the Qing dynasty of China, and ceded to the Empire of Japan in 1895. The Republic of China, which had overthrown the Qing in 1911, took control of Taiwan on behalf of the World War II Allies following the surrender of Japan in 1945. The resumption of the Chinese Civil War resulted in the ROC's loss of mainland China to forces of the Chinese Communist Party (CCP) and retreat to Taiwan in 1949. Its effective jurisdiction has since been limited to Taiwan and numerous smaller islands.
In the early 1960s, Taiwan entered a period of rapid economic growth and industrialisation called the "Taiwan Miracle". In the late 1980s and early 1990s, the ROC transitioned from a one-party military dictatorship to a multi-party democracy with a semi-presidential system. Taiwan's export-oriented industrial economy is the 21st-largest in the world by nominal GDP, and 20th-largest by PPP measures, with major contributions from steel, machinery, electronics and chemicals manufacturing. Taiwan is a developed country, ranking 15th in GDP per capita. It is ranked highly in terms of political and civil liberties, education, health care and human development.The political status of Taiwan is contentious. The ROC no longer represents China as a member of the United Nations, after UN members voted in 1971 to recognize the PRC instead. Meanwhile, the ROC continued to claim to be the legitimate representative of China and its territory, although this has been downplayed since its democratization in the 1990s. Taiwan is claimed by the PRC, which refuses diplomatic relations with countries that recognise the ROC. Taiwan maintains official diplomatic relations with 14 out of 193 UN member states and the Holy See, though many others maintain unofficial diplomatic ties with Taiwan through representative offices and institutions that function as de facto embassies and consulates. International organisations in which the PRC participates either refuse to grant membership to Taiwan or allow it to participate only on a non-state basis under various names. Domestically, the major political contention is between parties favouring eventual Chinese unification and promoting a pan-Chinese identity contrasted with those aspiring to formal international recognition and promoting a Taiwanese identity, although both sides have moderated their positions to broaden their appeal.

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    Rais wa Taiwan ajitapikia akiwa kwenye maadhimisho ya sikukuu

    Hivi hawa wazee nilijua Afrika tu hadi hizi nchi za Taiwan Huyu mzee kajichokea amejitapikia dakika chache tu baada ya kusimama na wenzie kusimama kuadhimisha sikukuu yao.
  2. Munch wa Annabelle

    Trump kamwambia Xi kama anaweza ibeba Taiwan, ni juu yake tu

    Donald Trump says it is “up to” Chinese President Xi Jinping whether China takes over Taiwan. “He (Xi) considers it to be a part of China, and that’s up to him what he’s going to be doing,” Trump told The New York Times. “But I’ve expressed to him that I would be very unhappy if he did that.”...
  3. R

    Inashangaza kuona China anayeikalia Taiwan na Russia aliyevamia Ukraine anailaumu USA kuivamia Venezuela

    Russia imeivamia Ukraine, inaua watu, uchumi etc etc China "inaikalia" Taiwan kinyume na matakwa ya wananchi wa Taiwan. Leo wanatoka na matamko ya kuilaani USA. Moral authority hawana kuisema USA!
  4. MK254

    Taiwan yaiunga mkono Israel kuitambua Somaliland

    Taiwan inaonekana kuwa nchi ya kwanza kuunga mkono uamuzi wa Israel kuitambua Somaliland. Ijumaa Israel ilitangaza kuitambua rasmi Somaliland kama taifa huru, na kuwa nchi ya kwanza duniani kufanya hivyo, hatua ambayo imekosolewa vikali na mataifa yanayoiunga mkono serikali ya Mogadishu...
  5. W

    Kimbunga Ragasa chafika China baada ya kuua watu 17 Taiwan

    Kimbunga kikubwa Ragasa kimeingia nchini China na kusababisha taharuki kubwa, huku watu wapatao milioni mbili wakilazimika kuhamishwa. Huko Taiwan, takriban watu 17 wamefariki dunia baada ya bwawa la maji kuvunja kingo zake na kusababisha mafuriko makubwa mashariki mwa kisiwa hicho. Wataalamu...
  6. HIMARS

    China kuivamia Taiwan muda wowote - Makamu Wizara NJE Taiwan

    Makamu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Taiwan asema kuwa China iko karibu kuivamia, hii inatokana na mitikasi ya China kuizunguka Taiwan hivi karibuni. Je Taiwan itaweza mzuia China asifanye jambo lake? China atakubali aibishwa na Taiwan? Je washirika wa Taiwan watamsaidia?
  7. Msela Wa Kitaa

    Taiwan, Koxinga na vita ya Uchina dhidi ya Japan: Historia inayodhihirisha mvutano wa leo

    Kwa sasa tunaiona Taiwan kama eneo linalovutana na China, huku kila upande ukidai uhalali. Lakini je, historia ya Taiwan ni ipi hasa? Ilikuwaje sehemu ya China? Je, Nationalists walifika vipi kule? Na walikuwa na msimamo gani wakati wa vita dhidi ya Japan? --- 1. Je, China Ilikuwa Chini ya...
  8. Dalton elijah

    Japani Imezindua Mpango Kuwahamisha Raia 100,000 Kutoka Visiwa Karibu Na Taiwan iwapo Kutatokea Mzozo

    Japani kwa mara ya kwanza imetoa mipango ya kuwahamisha zaidi ya raia 100,000 kutoka baadhi ya visiwa vyake vya mbali karibu na Taiwan iwapo kutatokea mzozo katika eneo hilo, huku kukiwa na mvutano unaoongezeka kati ya Beijing na Taipei. Chini ya dharura hiyo, meli na ndege zitahamasishwa...
  9. Mi mi

    Kituo kinachofuata Taiwan napata mashaka

    Kwa huu mwenendo wa marekani kwa sasa mwenye uhakika wa usalama,ukaribu na utafiki na marekani naona ni Israel pekee. Hawa wengine wanatumika tu kiurafiki wa kinafiki na marekani kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Canada kazi ya marekani wameiona, Mexico wameiona, Denmark wameiona, umoja wa...
  10. C

    Full funded scholarship in Taiwan

    Habari zenu, TaiwanICDF Scholarships zimefunguliwa kwa sasa. Ni full funded kwa masters na PhD Ukitaka hatua zote za application zipo kwa website Yao, nenda google alafu search TaiwanICDF scholarships, utakuta maelezo yote pale. Kama utakwama sehemu wakati wa application nitafute Whatsapp kwa...
  11. C

    Taiwan Full funded scholarship opportunity

    TaiwanICDF Scholarship is now open till 1st march. The scholarship is full funded for masters and PhD and covers flight expenses go and return. The programs are English taught. It's so easy to apply all you need is to visit TaiwanICDF website and download the guidebook there you'll find all the...
  12. Sir John Deere

    China yaweka vikwazo kwa makampuni 13 ya kijeshi ya Marekani kwa kuiuzia silaha Taiwan

    Makampuni 13 ya Marekani yanayo jihusisha na uuzaji wa silaha yamekumbana na rungu la China kwa kuiuzia silaha Taiwan. == China imewekea vikwazo kwa kampuni zaidi ya kumi na tatu (13) za ulinzi za Marekani pamoja na maafisa wa sekta ya ulinzi wa Marekani Alhamisi hii (Disemba 5), ikiwa ni...
  13. Mi mi

    Ni kwa namna gani Taiwan ataweza kukabiliana na China ki vita kama ambavyo Ukrainein?

    Katika muendelezo wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyo simama kwa sasa baina ya hizi serikali mbili moja iliyopo Beijing na nyengine ilipo katika kisiwa cha Taiwan. Siku vita hivi vikizuka kwa mara nyingine tena kwa ukubwa wa vita kamili ukiondoa hizi choko choko za sasa. Je, ni kwa namna...
  14. M

    Hawa Taiwan na Hongkong wanakera sana

    Inakuwaje ndani ya nchi moja wao kuwa na kauli ya "nchi yetu" wakati nchi ni China. Na hii hata hapa Tanzania wenzetu hawa Wazanzibari na kauli zao za kusema "nchi yetu" inakera sana! Kwa hiyo kumbe Rais Samia ametoka nchi nyingine ya Zanzibar kuja kuitawala nchi nyingine ya Tanzania...
  15. U

    Kiongozi Mkuu wa Hezbollah Sayyed Hassan Nasrallah kutoa hotuba nzito mbele ya waandishi wa habari duniani kesho alhamisi Septemba 19

    19:30 TODAY THURSDAY SEPTEMBER 19,2024 LATEST UPDATES FROM THE SPEECH OF HEZBOLLAH CHIEF NASRALLAH: Israel strikes southern Lebanon as Hezbollah leader condemns fatal device attacks Israel has launched air strikes on southern Lebanon as Hezbollah leader Hassan Nasrallah condemns this week’s...
  16. ward41

    Ziara ya Nancy Pelosi nchini Taiwan ilitoa jibu

    Raisi Xi wa China alitoa vitisho kuhusiana na ziara ya bi Perosi nchini Taiwan. Wote tulisikia. Pamoja na vitisho vyote, Marekani wakapuuza, bi mkubwa akaingia Taiwan. Wote tuliona, mchana kweupe. Wote tulifuatilia msafari wa bi Perosi. Ndege, meli za kivita zilikuwa zimeizunguka Taiwan, lakini...
  17. Mathanzua

    China state television declares "Will take Taiwan in early June" warns u.S. To end visits to Taiwan and adhere to the one China Policy

    CHINA STATE TELEVISION DECLARES "WILL TAKE TAIWAN IN EARLY JUNE" AND WARNS THE US TO END ALL VISITS TO TAIWAN AND ADHERE TO THE ONE CHINA POLICY MAY 25, 2024 The video below shows Chinese State TV declaring today that China will reclaim Taiwan, likely in early June. It has begun preparing...
  18. Yoyo Zhou

    Lithuania yajuta kuchokoza China katika suala la Taiwan

    Rais wa Lithuania Gitanas Nauseda hivi karibuni amesema kuna haja ya kubadilisha jina la “Ofisi ya Uwakilishi wa Taiwan nchini Lithuania” ili kutuliza uhusiano kati ya nchi hiyo na China. Baada ya kujihusisha katika suala la Taiwan, ambalo ni maslahi kuu ya China, hatimaye Lithuania inajuta...
  19. G

    Seneti ya Marekani yapitisha msaada wa trilioni 152 Ukraine, Trilioni 35 Israel, Trilioni 22 Palestina, Trilioni 12 Taiwan

    $60 billion Ukraine $14 billion for Israel $9 billion Gaza + West bank $4.83 billion Taiwan --- Senate gives $60 billion for Ukraine, $14 billion for Israel, $9 billion in humanitarian assistance for Gaza and nearly $5 billion for the Indo-Pacific. Meanwhile Biden is putting veterans behind...
  20. TPP

    TPP KULETA UPINZANI MKALI UCHAGUZI MKUU TAIWAN MWAKANI(2024) ?

    ( Mgombea kiti cha urais 2024 bwana Ko Wen-je kupitia chama cha TPP ). Chama cha kisiasa cha Taiwan ambacho kiliundwa miaka minne(2019) iliyopita kimepanda nafasi mbele ya chama kikuu cha upinzani Kuomintang na kuwa chama cha pili maarufu zaidi katika kisiwa hicho. Chama cha watu wa...
Back
Top Bottom