taiwan

Taiwan, officially the Republic of China (ROC), is a country in East Asia. It shares maritime borders with the People's Republic of China (PRC) to the northwest, Japan to the northeast, and the Philippines to the south. The main island of Taiwan has an area of 35,808 square kilometres (13,826 sq mi), with mountain ranges dominating the eastern two-thirds and plains in the western third, where its highly urbanised population is concentrated. The capital is Taipei, which, along with New Taipei and Keelung, forms the largest metropolitan area of Taiwan. Other major cities include Kaohsiung, Taichung, Tainan and Taoyuan. With 23.45 million inhabitants, Taiwan is among the most densely populated countries in the world.
Austronesian-speaking ancestors of Taiwanese indigenous peoples settled the island around 6,000 years ago. In the 17th century, large-scale Han Chinese immigration to western Taiwan began under a Dutch colony and continued under the Kingdom of Tungning. The island was annexed in 1683 by the Qing dynasty of China, and ceded to the Empire of Japan in 1895. The Republic of China, which had overthrown the Qing in 1911, took control of Taiwan on behalf of the World War II Allies following the surrender of Japan in 1945. The resumption of the Chinese Civil War resulted in the ROC's loss of mainland China to forces of the Chinese Communist Party (CCP) and retreat to Taiwan in 1949. Its effective jurisdiction has since been limited to Taiwan and numerous smaller islands.
In the early 1960s, Taiwan entered a period of rapid economic growth and industrialisation called the "Taiwan Miracle". In the late 1980s and early 1990s, the ROC transitioned from a one-party military dictatorship to a multi-party democracy with a semi-presidential system. Taiwan's export-oriented industrial economy is the 21st-largest in the world by nominal GDP, and 20th-largest by PPP measures, with major contributions from steel, machinery, electronics and chemicals manufacturing. Taiwan is a developed country, ranking 15th in GDP per capita. It is ranked highly in terms of political and civil liberties, education, health care and human development.The political status of Taiwan is contentious. The ROC no longer represents China as a member of the United Nations, after UN members voted in 1971 to recognize the PRC instead. Meanwhile, the ROC continued to claim to be the legitimate representative of China and its territory, although this has been downplayed since its democratization in the 1990s. Taiwan is claimed by the PRC, which refuses diplomatic relations with countries that recognise the ROC. Taiwan maintains official diplomatic relations with 14 out of 193 UN member states and the Holy See, though many others maintain unofficial diplomatic ties with Taiwan through representative offices and institutions that function as de facto embassies and consulates. International organisations in which the PRC participates either refuse to grant membership to Taiwan or allow it to participate only on a non-state basis under various names. Domestically, the major political contention is between parties favouring eventual Chinese unification and promoting a pan-Chinese identity contrasted with those aspiring to formal international recognition and promoting a Taiwanese identity, although both sides have moderated their positions to broaden their appeal.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Jeshi la China lafanya mazoezi zaidi karibu na Taiwan

    Jeshi la China lilisema lilifanya mazoezi zaidi karibu na Taiwan siku ya Jumatatu wakati kundi la wabunge wa Marekani lilipotembelea kisiwa hicho kinachodaiwa ni himaya ya China na kukutana na Rais Tsai Ing-wen, katika kile Beijing ilisema ni ukiukaji wa uhuru wake. Wabunge hao watano wa...
  2. Mathanzua

    Yanayotokea katika mgogoro wa Taiwan, China na Marekani. Chanzo na hatima ya mgogoro

    Kwa mara nyingine tena Marekani imetuma wajumbe wa Baraza la Congress kwa ndege ya kijeshi hadi Taiwan tarehe 14 Agosti 2022. Kwa kitendo hiki,Marekani inafanya uchokozi wa wazi kwa China. Ujumbe huu mwingine wa Bunge la Congress ulikwenda Taiwan kwa kutumia ndege ya kijeshi, moja kwa...
  3. MK254

    Taiwan watunishia China misuli, meli zao za kivita zatazamana na za China

    Ni mwendo wa kutishiana misuli na mikwara, Mchina amepiga piga mabomu kwenye bahari, ila sasa amesogezewa meli za Taiwan ole wake aguse moja, leo ndio siku ya mwisho Mchina anageuza.... ================ TAIPEI (Reuters) -Chinese and Taiwanese warships played high-seas "cat and mouse" on Sunday...
  4. Willima

    China yaanza mazoezi ya kijeshi karibu na Taiwan

    China imeanza mazoezi makubwa ya kijeshi ya baharini na angani kuzunguka kisiwa kinachojitawala cha Taiwan, saa chache baada ya Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi kuondoka Taipei. Vyombo vya habari vya serikali viliripoti mazoezi ya kuzima moto katika maeneo sita karibu na Taiwan yalianza...
  5. L

    Ziara ya Pelosi katika sehemu ya Taiwan yaleta hasara kwa pande zote

    Spika wa Baraza la Wawakilishi la Bunge la Marekani Nancy Pelosi hivi karibuni alifanya ziara Taiwan, China, na kuongeza hali ya wasiwasi ya kikanda na ya kimataifa. Kitendo hiki cha kisiasa kinacholeta hasara kwa pande zote kimeonyesha kuwa, mfumo wa kisiasa wa Marekani ni kama mgonjwa. Kwanza...
  6. Lusungo

    Nancy Pelosi aondoka Taiwan

    Hatimaye mwanasiasa wa ngazi ya juu wa marekani ameondoka Taiwan mchana huu. Ziara ya Pelosi ilileta gumzo duniani kote na kufuatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni kote. China imeachwa na kitendawili nini cha kufanya baada ya mwanasiasa huyo kutua salama salimini licha ya vitisho vyote vya...
  7. JanguKamaJangu

    Spika wa Bunge la Marekani awasili Taiwan kwa ndege ya Kijeshi, Urusi yadai ni uchochezi

    Licha ya vitisho kutoka kwa China, Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi amewasili katika Kisiwa cha Taiwan. Amewasili kwa kutumia ndege ya Jeshi ambayo ilitokea Malaysia alipokuwa katika ziara kisha kutumia njia ndefu ili kuikwepa bahari ya Kusini ya China. Aidha, Urusi imeshutumu ziara...
  8. MK254

    China kuanza zoezi la kulipua mabomu baharini, huku Pelosi ametua Taiwan bila shida

    Baada ya mikwara kila siku kwamba Nancy Pelosi akithubutu kuingia Taiwan, basi China itafanya jambo la kweli, wameishia kuandaa maandalizi ya kufyatua makombora kwenye bahari, wanasubiriwa wafanye kweli maana kwenye Taiwan, Marekani ana mkataba kabisa wa kulinda, hivyo atahusika moja kwa moja...
  9. The unpaid Seller

    Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

    Leo ndio leo msema kesho mchawi, Zaidi ya watu laki tano wanaiouatilia roupe/safari ya Pelosi kuelekea Taiwan ambapo China imekemea vikalh hatua hiyo kwa kurusha ndege za kivita kuizunguka Taiwan huku U.S.A nao wakisogeza meli na manuari zao. Ungana na maelfu ya watu kufuatilia kitakachojiri...
  10. M

    Taiwan iko kwenye hatari ya kuingizwa mkenge ikawa kama mikono na damu itakayotumiwa na Marekani kujaribu kuidhoofisha China Kijeshi na kiuchumi!!

    Marekani iko katika vita ya kiuchumi na kijeshi na China lakini haiko tayari kutumia mikono na damu ya Wamarekani, kama ilivyokuwa kwenye vita ya kiuchumi na kijeshi na Urusi lakini haikuwa tayari kutumia mikono na damu ya Wamarekani. Kama ambavyo Ukraine iliingizwa mkenge ikajikuta katika...
  11. ShL

    Historia fupi ya Taiwan

    By Shusa Luck Historia fupi ya Taiwan Historia ya awali, Era ya kisasa, na Kipindi cha Vita vya baridi Ikopo maili 100 kutoka pwani ya China, Taiwan imekuwa na historia ngumu na uhusiano na China. Monetized by optAd360 Historia ya awali Kwa maelfu ya miaka, Taiwan ilikuwa nyumbani kwa...
  12. ShL

    Je, yanayoendelea Urusi, Ukraine, China na Taiwan yanaweza kusababisha Vita ya Tatu ya Dunia?

    Je, mizozo inayo endelea katika mataifa mbalimbali kama Russia na Ukraine, China na Taiwan inaweza pelekea vita ya tatu ya dunia?
  13. Narumu newz

    China itapata wakati mgumu sana kwa Taiwan kuliko Russia kwa Ukraine

    China kwanza wamechelewa sana kuivamia Taiwan ,wamezembea hadi US kajenga base yake pale,US ana marine combat's zaid ya 20,000 ,ndege za kivita zaid ya 200 ,manowari ,pia ana base nyingine kisiwa cha japani ambacho ni karibu sana na Taiwan ,yani kiufupi Taiwani wamejiweka sawa. Changamoto...
  14. The Dictator

    Rais Xi Jinping ampa onyo kali Rais Joe Biden akimuonya ''Asicheze na moto" sakata la Taiwan

    Baada ya mazungumzo kwa simu yaliyochukua masaa 2 na dakika 17 kati ya Rais wa Marekani, Joe Biden na Rais wa China, Xi Jinping, Xi atoa onyo kali kuhusu mgogoro wa Taiwan: "wale wanaocheza na moto bila shaka wataungua. China inapinga Vikali kuingiliwa katika masuala ya Taiwan na itatetea...
  15. SNAP J

    China yakemea vikali ziara ya Nancy Pelosi Taiwan

    Kumekucha. Mambo yanazidi kunoga. Msemaji wa Waziri wa mambo ya nje wa China Bwana Wang Wenbin ameionya Marekani kuwa endapo Nancy Pelosi (US house speaker) atafanya ziara ya kuitembelea Taiwan, August mwaka huu, basi taifa hilo linaloaminika kuwa ndio lenye nguvu ya kiuchumi kwa sasa duniani...
  16. beth

    Marekani: China inazidi kutumia mabavu na fujo

    Waziri wa Ulinzi, Lloyd Austin amesema Marekani itasimamia nafasi yake katika kudhibiti mvutano na China na kuzuia mapigano licha ya Beijing kuzidisha mabavu katika Ukanda wa Asia, ikiwemo karibu na Taiwan Uhusiano kati ya China na Marekani umekuwa tete miezi ya hivi karibuni, huku Mataifa hayo...
  17. The Sunk Cost Fallacy

    Vita nyingine kati ya China na Taiwan yanukia, USA kuingilia kati

    Dunia inakabiliwa na tishia la kuzuka kwa vita nyingine Kati ya China na Taiwan. China inadai Taiwan ni sehemu yake huku Taiwan wakisema wao ni Taifa huru sio sehemu ya China. Wakati huo huo Biden ameapa kutumia nguvu za kijeshi kuisaidia China ikiwa China itafanya uvamizi. Mamia ya Meli vita...
  18. beth

    China: Kauli za Marekani zitaiingiza hatarini Taiwan

    Jeshi la China limesema mazoezi na doria ambazo zimekuwa zikifanyika katika Anga na Bahari karibu na Taiwan ilikuwa hatua ya lazima kujibu kile ilichosema ni 'ushirikiano usio halali' kati ya Marekani na Taiwan China imesema hivi karibuni Marekani imekuwa ikitoa kauli zinazoashiria inaunga...
  19. JanguKamaJangu

    China yaanza mazoezi ya kijeshi kuzunguka Taiwan ili kutoa onyo kwa Marekani

    China imekiri kuwa imeanza kufanya mazoezi kuizunguka anga ya Taiwan ikiwa ni mkakati wao kutoa onyo kwa Marekani ambao wametoa kauli ya kuonesha wameanzisha mchakato wa kuilinda Taiwan. China imesema kuwa inachofanya Marekani ni unafiki na ni kazi bure kusema jambo moja na kufanya lingine...
Back
Top Bottom