taifa

The taifas (singular taifa, from Arabic: طائفة‎ ṭā'ifa, plural طوائف ṭawā'if, a party, band or faction) were the independent Muslim principalities of al-Andalus (Spain) that emerged from the decline and fall of the Umayyad Caliphate of Córdoba between 1009 and 1031. They were a recurring feature of Andalusian history. Conquered by the Almoravids in the late 11th century, on its collapse many taifas re-appeared only to be subsumed by the Almohads. The fall of the latter resulted in a final flourishing of the taifas, but by the end of the 13th century only one remained, Granada, the rest being incorporated into the Christian states of the north.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Msimamo wa Yanga Taifa Kubwa,Hatuchezi hadi bodi ya Ligu ijiuzuru!

    MSIMAMO WA YANGA (TAIFA KUBWA) 👉Zipi sababu za kuahirisha mchezo wa kwanza wa dabi ya Simba na Yanga tarehe 8 Machi 2025. 👉Kwa nini bodi ya ligi wamepanga mchezo mwingine bila suluhisho la sababu ya kuhairishwa mechi ya tarehe 8 ya Simba na Yanga? 👉kwa nini bodi ya ligi haikuchukua hatua za...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kwa maslahi mapana ya Taifa CCM imakinike sana na vijana

    Ni lazima na ni muhimu sana wasome upepo ulivyo kwasasa.. Na kundi la kuchunga sana ni hili kundi la vijana... Lina ndoto nyingi.. Lakini pia changamoto za maisha ni nyingi na halioni mwanga mbele. Tofauti na makundi mengine hili ni kundi ambalo halina cha kupoteza maana bado halijafikia mahali...
  3. DR Mambo Jambo

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tunalisukuma Taifa kwenye Inevitable Collapse? Moshi mweusi unapoonekana, Busara ni Kushusha Mapanga & Kurejea Mezani "Mungu Ibariki Tanzania"

    Nimekuwa nikifuatilia kwa makini mwenendo wa mijadala inayozunguka kauli ya “No Reform, No Election” ambayo sasa imekuwa gumzo mitandaoni na imeanza kujitokeza pia kwenye majukwaa ya wazi, hasa Jana Usiku kwenyr Tamasha la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kama Mtanzania ninayeamini katika utulivu...
  4. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Tumechoka na hivi visa vya watu kutekwa na kupotezwa. Kwa mfano, aliyerekodi msafara na kuchoma picha ya Rais alikuwa na tishio gani kwa usalama?

    Yaan Picha, thamani ya Picha ya MTU Inakua juu ya UHAI wa MTU??. Yaan Video, video ya magari ya Msafara ,inakua na thamani kushinda Uhai??. Sasa tumechoka, watanzania wanasimamia na wote wenye kuitetea Haki. Rais Samia na wengineo wote. Tumechoka! Yaan Kwa mfano, alochoma picha ya Rais...
  5. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Majina ya Timu za Taifa Afrika

    Nimepitia majina ya timu za taifa kwa mataifa yote ya Afrika nikahisi kuwa Tanzania, Ghana na Kenya inabidi tubadilishe majina yatu; neno "stars" linakuwa monontonous. Somalia na South Sudan wamelitumia pia lakini kwao wamelitumia taifauti na sis. Hebu angalia halafu utoe maoni yako. Algeria -...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Shujaa Aliyeibeba TANU, Akasalitiwa na Taifa

    BIBI TITI MOHAMMED SALUM MANDANGWA Shujaa Aliyeibeba TANU, Akasalitiwa na Taifa Na MALEKOGJ “Wanawake amkeni! Tokeni majumbani tupambane pamoja na wanaume mpaka uhuru upatikane... Msiogope!” — Bibi Titi Mohammed, Mnazi Mmoja, 1957 Wengi wanamkumbuka Mwalimu Julius Nyerere kama baba wa Taifa...
  7. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mchungaji Msigwa: Tulilalamikia miradi mikubwa haigusi maisha ya watu huku chini, Rais Samia amefuata nyayo za waasisi wa taifa

    Wakuu Akiwa sehemu ya ujumbe wa Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Makalla anayeendelea na ziara ya kikazi kwenye mikoa ya Kanda ya Kaskazini, Kada wa chama hicho Mchungaji Peter Msigwa akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Babati, mkoani Manyara ameeleza...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwanini siku hizi Idara ya Usalama wa Taifa ya Kisiwa maarufu cha 'Puerto Rico' Watendaji wake WANACHUKIANA mno na kuna MPASUKO mkubwa sana?

    Na chuki kubwa inasemekana ni kwa miaka takribani Mitatu Minne hivi 75% ya Watendaji wa Idara hiyo kutokea Mji wa Ponce anakotoka Rais na siyo Mji Mkuu wa San Juan. Na taarifa ambazo Mtanzania Mimi GENTAMYCINE niliye na Marafiki huko Kisiwani Puerto Rico nilizonazo ni kwamba CHUKI hii kubwa na...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Nukuu za Mwalimu Nyerere zimeadimika kwenye televisioni na radio za Taifa?

    Salaam! Napitapita TBC na radio za Taifa, napata taabu kuona Nukuu za Mwl Nyerere zimeadimika, Kiongozi yule mwenye maono alishayaona mengi na kuyaongelea, Ni Imani YANGU, tukizipitia vizuri, tutapata namna ya kuondokana na Giza hili linaloigubika nchi yetu. Mungu ibariki nchi YANGU nzuri...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi liwe la wilaya au mkoa sio taifa

    Jeshi la Polisi liwe la wilaya au mkoa sio taifa ili wawe ni Polisi waliotoka kwenye jamii. Hii ndiyo maana ya jeshi la Polisi sehemu zingine Duniani. Hakuna haja ya kuwa na Polisi la nchi nzima maana linashusha imani kwa watu na wanaendeshwa bila kujali jamii. Kwa nchi nzima waache Jeshi la...
  11. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Huku mtaani kwetu, Gwajima kaibuka kuwa shujaa wa Taifa

    Kila sehemu Jina lake linatajwa kama shujaa kwa uthubutu wake wa kuweza kukemea utekwaji hadharani. Pia watu wanapongeza jinsi alivyoweza kuwatoroka Polisi pale Baraza la Maaskofu Kurasini na pale kanisani kwake Ubungo Gwajima Mmoja ana mbinu zaidi ya askari buku. Gwajima hakika ni Master of...
  12. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Visungura vinaua Taifa

    Kijana saa 12 asubuhi tayari macho mekundu kisungura kimeshamchapa. Mpaka saa 6 mchana anaongea pumba tupu. IGP intelejensia yako miaka 15 mbele Taifa linaonekana liko wapi? Viongozi mnaacha watoto wa maskini wapagawe kwa visungura ili watoto wenu wakirudi toka ULAYA wagawane majimbo kirahisi?
  13. pombe kali

    JamiiForums Tanzania Okoa taifa hiphop movement

    Amani iwe kwenu, Nitakuwa na upload free style na Cyphers zote humu ambazo zitakuwa zinatetea maslahi ya nchi (Taifa) ....na kama una free style ama Cyphers ambayo inaweza kuendana na hali ya sasa ya nchi tafadhali I upload humu zote zitasikilizwa kwa ajaili ya matumizi ambayo yatakuwa na...
  14. Uponyaji na uzima

    JamiiForums Tanzania Tuweke maombi yetu wana JF dhidi ya utekaji, mauaji na ukandamizaji mpaka wahusika wateketezwe

    Silaha zote zitumike, wanaoongea waziwazi, keyboard warriors na wenye imani mbalimbali tuendeleze mapambano. Hapa tuweke maombi yetu ya kiimani dhidi ya utekaji, mauaji na ukandamizaji. Wahusika waharibiwe.
  15. Mag3

    JamiiForums Tanzania Rais wa taifa kubwa akipewa makavu hadharani kwenye TV, lakini maisha yaendelea...

    Trump, Rais mjinga na mdhaifu zaidi katika historia ya Marekani... https://www.youtube.com/watch?v=BwvBFljn_vk Nakulilia Tanzania!
  16. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Putin akiendelea kuichekea Ukraine: NATO italisambaratisha taifa hilo siku chache zijazo

    Tukio la Drone za Ukraine kuteketeza madege ya thamani ya trillions za shilingi, Tena madege yaliyo ndani kabisa mwa Urusi ni tishio kuu ambalo likipuuzwa litakalofuata litavuja UTI wa magongo wa Jeshi la Russia. Hivi juzi nimesoma mamia ya document zenye picha na taarifa nyeti za Siri za urusi...
  17. 888I

    JamiiForums Tanzania Kufungia Kanisa kwa Sababu ya Hoja za Gwajima? Taifa Linapotea Mwelekeo wa Haki na Uhuru

    Tarehe 2 Juni 2025, nimeona barua inayojinasibu kuwa ni ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya kulifungia Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church @ Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Mbunge wa CCM, Askofu Josephat Gwajima. Kisingizio? Lakini kwa anayesoma hali kwa makini, hoja ya kweli ni moja tu...
  18. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sheikh Issa Ponda: Tunakuwa na taifa la namna gani kama mtu anachukuliwa tu nyumbani kwake na kwenda kuuliwa?

    Sheikh Issa Ponda akizungumza na waandishi wa habari baada ya mazishi ya Sheikhe Jabir ambaye mwili wake ulikutwa porini akiwa amefariki, Sheikh Issa amehoji kuwa tunakuwa na taifa la aina gani kama matukio haya yanaendelea na wanaofanya hivyo wana zana kabisa. Aidha ameeleza kuwa matukio...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Tafakari: Taifa linaloendeshwa kwa ujana wa bandiko na umbea—tumwangalie mtoto wa 2050

    Katika enzi hii ya kidigitali, tunashuhudia namna baadhi ya mataifa yanavyoweza kuendeshwa kwa mbinu nyepesi lakini hatarishi kwa mustakabali wake. Kinachohitajika ni kuhakikisha raia wana bando—ndiyo, intaneti—hata kama ni ya gharama kubwa. Wananchi wakishakuwa hewani, basi hupewa ‘connection’...
  20. U

    JamiiForums Tanzania Nashauri John Heche akamatwe haraka na kushtakiwa kwa . matamshi hatarishi yanayoharibu tashwira nzuri ya taifa na Rais wetu

    Wadau hamjamboni nyote? This is so serious, the man should be taken into jail Ni mtu anahatarisha Usalama wa ndani na kuharibu tashwira nzuri ya Rais wetru, he's so deadly dangerous judging by his statements . the law enforcement agency should do the needful before it's too late. It's now...
Back
Top Bottom