Hadi lini tutaendelea kubaki chini? mpaka lini tutaendelea kushuhudia mataifa mengine yakipiga hatua ya kimaendeleleo, ikiwemo, uchumi, viwanda, sayansi na teknolojia, diplomasia, afya, elimu pamoja na usalama wa watu wake? na ilihali sisi tukiendelea kubaki pale pale! Mataifa kama China, India...